Nimekubali...hapo bado makamanda hawaja tia timu wote....Wale wenye wivu, hasa wana Ndoa, mwaweza kujinyonga.....
Halafu wengine mlisema kuwa Wanyamwezi ni Chambio la Mafisadi...... Aibu Aibu hizoooo...... Hawakuletwa na Maroli Wanyamwezi.
Kwangu posts sio issue, angalia nimejiunga JF, lini na wastani wa posts zangu.
Kuna watu wana miezi mitatu JF, saizi wana posts 5000. ningekuwa kama wewe kila siku nimo humu JF, ningekuwa na posts 20.000. Turudi kwenye hoja ya msingi ebu jaribu na wewe kupiga simu Makao Makuu waulize ni kweli CDM wamekorofishana sawa mkuu wangu!
aiseee!!Alipata ajali, naona ana brain damage
jichunguze na wewe mwenyewe kama ni msafiNi sawa na kujisifia Eti! umejifunika blanket zito lisilopitisha baridi wakati lina kinyesi chenye harufu mbaya. Kipi nafuu kupigwa baridi ama kuogelea kinyesi na harufu. think outside the box. Hata Mkapa si msafi kwa tuhuma za ufisadi
<br />Zimewabana, kimya! Wameenda kumuuliza nauyo et waanze kuleta uongo gani mwingine utakaovuta atenshen ya wanajanvi.<br />
Tusubiri na tuone kitakacho tokea jmosi pindi dk. pimbi atakapohutubu.
<br />Unaham yakumwona akiwa amesinzia hee! Anaeza kusinzia jukwaani
Hii bado haitoi taswira ya ushindi kwa CDM, kazi bado tunayo ingawa tuna nafasi kubwa sana ya ushindi. Tukifanya hivyo, basi hata gazeti la RAI litakua sahihi.