Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.

mwacheni akapige zake usingizi. na itakuwa kila akisimamishwa ili kuongea na wananchi, watu wa igunga watakimbia mbio kali kwa kuogopa SURA YAKE INAYOFANANA NA FARU wa porini
 
kwani igunga kuna bahari? hilo jahazi linasafirishwa kuelekea dar na gari gani? si wapeleke polisi tu na bunduki..... teh teh
 


Labda mimi sijui hesabu kwa kuwa nilifeli,lakini hebu jaribu kujumlisha hizo asilimia jumla zinakuwa ngapi?
 
Umetumia jina zuri sana TINGATINGA Mkapa sasa linataka kusafisha KOKOTO za Magwanda.
 
ha ha ha ha kazi kweli kweli, CCM hawato tuachia nchi yetu salama bila kuwanyanganya kwa nguvu ya umma, kila la heri kwa wana upinzani woote
 
Ukombozi u karibu,chenge na lowasa wanajivua lini?
 
Labda mimi sijui hesabu kwa kuwa nilifeli,lakini hebu jaribu kujumlisha hizo asilimia jumla zinakuwa ngapi?

Kwa wale wanaofahamu hesabu kidogo, ni kwamba:

John Maguma (SAU) 0.78% approx. 1%

Said Makeni (DP) 0.8% approx. 1%
 
@Malecela ameshindwa kwenda Igunga kwa sababu za kiafya na umri umeanza kumtupa mkono, lakini nasikia pia hataki kutumiwa tena kama "Tingatinga" kwani alifanya hivyo zamani lakini viongozi wenzie hawakuona thamani ya mchango wake kwenye chama (Hasa baada ya kumwekea zengwe mara 2 kwenye hatua za awali za kinyang'anyiro za urais 1995 & 2005) @Inatia huruma&kusikitisha sana kuona CCM kinafanya maamuzi yaliyokosa busara tena bila kufanya utafiti wa kutosha kuhusu Mkapa kuwa mpiga debe wa CCM Igunga. Kwa kifupi Uwepo wa Mkapa huko Igunga hautaongeza chochote kwa CCM, Zaidi unawapa nafasi wapinzani wake kupata la kuongea & kujiongezea umaarufu kutokana na kashfa kubwa zakutisha zinazomkabili Mkapa. Hivyo basi CCM wajiandae vyakutosha kumsafisha pia wakati na baada ya kampeni kwisha. Bahati mbaya gharama ya kumsafisha ni kubwa sana & sidhani kama inawezekana. Lets wait&watch the cinema...
 
Siku zote namfahamu Mwita wa Ukweli ambaye ni Mwita Maranya. Hiyu Mwita25 ambaye anaye shangazi yate Mbeya si Mwita kimeo kweli ilichakachuliwa????

Umetumia jina zuri sana TINGATINGA Mkapa sasa linataka kusafisha KOKOTO za Magwanda.
 
Huku hali si nzuri, CDM inaona aibu kuwajuza mlio mbali nje ya Igunga. Walifikiri mteremko, mpambano hapa ni CCM na CUF vyama vingine vimekuja kushiriki na si KUSHINDANA.

Acha uongo wewe una magambo usoni ndio maana huoni!!!
TBC1 jana walionyesha mafuriko ya wana-CDM pamoja na kufichaficha lakini bado ulionekana!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa kusoma tu hii thread nahisi kusinzia, ngoja nisepe zangu tusije ambukizana bure am not belong to magambaz




A friend of my enemy is my enemy too
 
yeye pekee ndie wameona at least bado ana mvuto ndani ya chama.
 
Mkuu, umeona mbali sana.
You deserve to be who you are.
Mkapa anaenda kupambana na zitto, mr. Two na mnyika. Hiyo ni akili au matope?
Anaenda kusema ccm imejenga lami dar to mwanza....my bad.
Wakulima wa pamba, karanga na warina asali wao wamefanyiwa nini?
 
Siku zote namfahamu Mwita wa Ukweli ambaye ni Mwita Maranya. Hiyu Mwita25 ambaye anaye shangazi yate Mbeya si Mwita kimeo kweli ilichakachuliwa????
<br />
<br />
Kwa ujinga wako unafikiri wakurya hawaruhusiwi kuishi Mbeya?
 
Kila mtu aombe mungu wake hiyo laana ipishe mbali tuchague CDM.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…