jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
tumetenganishwa na milima, mabonde, wilaya na mikoa, mlioko igunga tupeni hali halisi uwanja kujinadi, chenkapa yu hali gani, tunasikia baadhi ya watu waliobebwa na kuletwa igunga kwa mafuso wamekosa chakula, eti mwigulu amekalia fungu, alikuwa bize kwenye kikao na chenkapa, je ni kweli?