Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Baada ya kumaliza madili yao ya kuuza migodi na madini yetu bure kwa wazungu sasa wanasaidiana kutafutiana ulaji bungeni siyo?? Nafikiri jitihaza za Mkapa siyo bure. Labda anataka aende huko ili akaongeze nguvu iwapo mambo yataibuliwa bungeni huko mbeleni.

Naomba kuuliza, hivi Mkapa alishawahi kumpigia nani mwingine kampeni zaidi ya JK?? So what is so special about this man??? Is he doing this for CCM, Igunga, himself or this guy???

Huyu Mzee analazimika kufanya hivi kwa sababu ya maovu aliyoyafanya angekuwa clean asingekubali kupigia kampeni chama kichafu namna hii.Anaogopa maana wenzake wanamtisha kuwa kama CCM ikianguka hata yeye hatapona kufikishwa mahakamani hata kama atakuwa kwenye Cage kama yule wa MISIRI.
 
CCM ni chama cha majambazi,vijana tumemaliza vyuo vikuu ajira hakuna,nafasi mnawapa watoto wenu tu.
 
kweli we mbufya ni zuzu yaani hujui hadi sasa ni ufisadi gani ulifanywa na huyu gamba nkapa? Unadhani purukashani za EPA Zilifanywa kipindi gani?
 
Huyu mzee anadhani watu ni wajinga, kama wale aliokuwa anawatawala yeye. Anatufanya sisi wajinga hatujui nini kazi ya serikali na ya ccm. Kujenga barabara ni wajibu wa serikali inayokusanya kodi zetu. Na pia lazima afamhamu kuwa serikali ni mtekelezaji tu ila fedha za kujenga barabra ni za watanzania na si za CCM.

Hawa magamba wamezoea kuwadanganya wananchi wa vijijini kwa statement kama hizi ili wapewe kura.

Chadema tunaomba muwaelimishe wanaIgunga kuhusu huu uongo wa wa huyu mzee. Lazima wananchi watambuwe kuwa hela ya kujenga barabra ni yao si ya CCM na hakuwa hisani kujengewa barabara bali ni lazima.
 
CCM IMETAFUTA NANI AENDE kuwawakilisha kule, imepekua mafaili yoote ya mtu msafi, ikaona Mkapa anauafadhali kwa usafi wake. tutizame usafi wake kidogo.
@MMILIKI WA KAMPUNI YA ANBEN ambayo ilitumia anwani ya Ikulu, na bila shaka haijawahi kutokea dunia nzima.
@huyu ndio mtuhumiwa wa kwanza wa sakata la kupora mgodi wa Kiwira , ambapo hadi leo hali si shwari , .
@Aliasisi EPA, akiwa yeye , Govana Balali na ccm wenzao, lakini huyu alikua mtoa kibali.
 
Kuna hoja! Mzee Mkapa hata sijui anatumika kama nani? Maana pia kuna swali kama iwapo waliopo sasa hawafai au?
 
CCM wameshajichokea. Wanatapatapa tu. Nimemdharau sana Mkapa, amekubali kulazimishwa kwenda kujidhalilisha bure! Inabidi waandae Malori ya kutosha kuwabeba watu na pesa za kuwalipa wapanda baiskeli na Pikipiki vinginevyo yanaweza kumkuta ya Rungwe kujikuta anahutubia Matairi.<br />
Namwonea huruma sana huyu baba.
<br />
<br />
mhe.HK, mbona unasalit kambi!
 
Hata kwenye kampeni za mwaka jana watu walijaza sana mikutano yenu lakini kilichofuata ni aibu kwenye matokeo. Kama wingi wa watu ndiyo ushindi, basi hongereni sana. Lakini ninachojua mimi watanzania wengi huwa wanafuata na wanachagua sera
Kushinda kwa chama tawala Sio kwamba kinashinda kiahalali.Kujazana kwa watu katika kampeni za CHADEMA ni kipimo tosha.Itakua maajabu kwa CCM kupanda mazao ekal 10 wavune 1000 na CHADEMA wapande 1000 wavune 10 ni maajabu ya Mussa na usaanii wa CCM.Vilele vile ni maajabu ya mtu waliemkataa na kumuhita gamba kuliko pelekea kujiuzuru ashiriki katika kampeni ya chama taawala CCM kukukinadi chama hicho.Kama waliona hafahi iweje waombe msaada wake kukinadi chama USANII WA CCM HAUNA MANTIKI.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
kweli we mbufya ni zuzu yaani hujui hadi sasa ni ufisadi gani ulifanywa na huyu gamba nkapa? Unadhani purukashani za EPA Zilifanywa kipindi gani?
<br />
<br />
Ahsante kaka mi nilitaka tukumbushane tuuu.
 
slaaa.JPG
apa .jpg
mbowe.JPG
5.jpg
4.JPG
9.JPG
315905_245861295450129_135719259797667_617237_167530387_n.jpg
 
Nina iman kuwa wakuu wa serikali nao huwa wanapita pita humu mtandaoni, hii ni aibu kubwa kwa viongozi tulionao kuendelea kuimba kilimo kwanza huku mapori mengi yakiendelea kufyekwa wilayani humo kwa shughuli za mkaa. Nikawaida unaposafiri unaposafiri katika barabara Nzega-Shinyanga kukutana na makundi makubwa ya waendesha baiskeli (zaidi ya 500) kila siku iendayo kwa Mungu wakitokea Nzega kuelekea Shinyanga na majunia ya mikaa. Mbaya zaidi hivi sasa wanafyeka hata miti ya Miembe ambayo ni urithi mkubwa kwa watu wa Nzega
Please nyie viongozi work up an act as soon as possible, Wilaya inaangamia kwa ukame miaka miwili mfululizo sasa
 
Inaelekea JF imeingiliwa. Kuna watu wamechomekwa humu JF kupitisha ajenda na propaganda za chama fulani humu ndani. Riport ya ndugu Mkama - Sasa Katibu mkuu wa CCM iliainisha kwamba JF ilikuwa inawabeba CDM. Ukweli ni kwamba JF haikuwahi kufanya hivyo bali watu walikuwa wanatoa maoni yao kutokana na uhalisia wa maisha ya watanzania. Sasa naamini ile riport ya huyu mheshimiwa imefanyiwa kazi na CCM na wameamua njia nzuri ya kupambana na watoa maoni wa JF ni kupandikiza mamluki wao humu ndani ili kujaribu kurekebisha uso wao. Watumiaji wa mtandao huu tuwe makini. La muhimu ni kwamba kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake na anayesoma atachambua na kufanya maamuzi yake mwenyewe. Mchele na pumba zitajionyesha tu zenyewe!! Long live JF.
 
Hata kwenye kampeni za mwaka jana watu walijaza sana mikutano yenu lakini kilichofuata ni aibu kwenye matokeo. Kama wingi wa watu ndiyo ushindi, basi hongereni sana. Lakini ninachojua mimi watanzania wengi huwa wanafuata na wanachagua sera
<br />
<br />
Nduguyangu unakazi kweli wewenikupambana na ukweli 2 lakini ujue ccm is no more
 
Hii picha inasikitisha saana, ukiiangalia kwa makini utaona hilo lory wengi ni watoto tena labda wamepanda ili kuona raha ya kupanda gari. pia ukiangalia zaidi utagundua asilimia kubya ya watu hao hawajavaa viatu, wamevaa yebo na ndala. wanahitaji ukombozi wa kweli
 
Sasa kama hawana ushahidi wa Kagoda watapata wapi ajenda za kuongea mikutanoni. Maana hawa jamaa ajenda yao kubwa ni ufisadi........ufisadi.........ufisadi. Sasa sijui hata hawajui kama kuna mambo mengine ya kuongelea kama barabara, maji, umeme, shule, hospitali...........
<br />
<br />
izo hospitali,maji ,umeme,shule,barabara etc. zinadorora kwa 7bu ya ufisadi. CDM hawaangalii ulipodondokea wanaangalia kisiki ulichojikwaa mpaka ukadondoka
 
Hivi Rais mstahafu bado anapokea mshahara kwa kodi ya wanachama wa Chadema?

Sasa kimbelembele cha kuwapigia debe Majambazi kimetoka wapi?
 
Hivi Rais mstahafu bado anapokea mshahara kwa kodi ya wanachama wa Chadema?

Sasa kimbelembele cha kuwapigia debe Majambazi kimetoka wapi?
Ndio chama chake Mkuu, hata wabunge wa CDM wanalipwa mshahara na serikali ya CCM!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom