Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br /> <br / Umejihakikishia wizi Mwita? That is very disappointing man, mi sina chama lakini kama mwananchi na kijana you are talking nonsense guy.Mimi Chadema ikishinda Igunga wallahi natembea uchi kutoka Ubungo mpaka Posta kwa miguu.
<br /><font size="4"><font color="#800000"><i>Kabla ya kutoa kauli yako ungefanya utafiti kwanza ili ujiridhishe kutetea mwono wako.<br />
</i></font></font><br />
<br />
<br />
<font color="#000080"><font size="3"><b>Kaulimbiu ya CHADEMA</b></font></font><br />
<font color="#000080"><font size="3">Viongozi na wanachama wa CHADEMA waliamua kutoa kaulimbiu isemayo: Kashindye ashinde, Kafumu afumuliwe.</font></font><br />
<font color="#000080"><font size="3">Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, alisema umati uliohudhuria katika uzinduzi wa kampeni hizo ni kielelezo kuwa chama hicho ni makini na kinapaswa kuiongoza serikali, hivyo ni vema CCM wakajiandaa kuondoka Ikulu.</font></font><br />
<font color="#000080"><font size="3">Alisema Rais Kikwete alipelekwa Ulaya kununuliwa suti, halafu akatoa maeneo kwa mwekezaji mwenye asili ya Uarabuni, wakati wananchi wake wako katika matatizo makubwa.</font></font><br />
<font color="#000080"><font size="3">Alibainisha kuwa wakati wa utawala wa awamu ya pili maisha angalau yalikuwa na nafuu, lakini alipokuja Mkapa mambo yakawa mabaya zaidi<br />
licha ya kutuambia uchumi unakua zaidi.</font></font><br />
<font color="#000080"><font size="3">Amekuja mzee wa kutabasamu (JK), mambo yamekuwa mabaya zaidi, miaka 10 ya Mkapa ilikuwa nafuu zaidi kuliko miaka sita ya Kikwete.</font></font><br />
<font color="#000080"><font size="3">Inakuwaje wakati wa Mwinyi mambo yalikuwa angalau kidogo, lakini kadri tunavyokwenda ndivyo mambo yanazidi kuwa mabaya zaidi tofauti na huko tulikotokea?</font></font><br />
<font color="#000080"><font size="3">Kila kukicha JK anakwenda Marekani kuombaomba, wakati hapa nchini kuna rasilimali lukuki. Kila akikosolewa anasema safari hizo zina manufaa makubwa sana kwani tunafadhiliwa sana, tunapata vyandarua vya nchi, Rais wa nchi anakwenda kuomba vyandarua wakati akiwaachia Wazungu wakinufaika na fedha zinazotokana na madini! CHADEMA hatutatumia muda wetu kuomba vyandarua, bali tutatumia rasilimali zetu kununua vyandarua na mahitaji muhimu kwa jamii.</font></font><br />
<font color="#000080"><font size="3">CCM ijiandae kukabidhi madaraka kwa taifa. Polisi tunawaomba mtuachie CCM tupambane nao, ukombozi wa taifa hautaletwa na rangi za bendera za vyama au uzuri wa watu, bali dhamira za kweli za viongozi wake. Hamjabebwa na watu kuja hapa kama wanavyofanya hao wenzetu, tunawashukuru, alisema Mbowe.</font></font>
<br />
<br />
Yaani picha za mwaka jana ndiyo unazijaza hapa?
wewe unaishi? hujawahi kusikia Dr wa ukweli akiongelea kuhusu nyumba za tembe na namna ya kuwasaidia wananchi kupata nyumba bora, hujawahi kusikia akiongea barabara, na si barabara tu hata reli tena kwa treni ziendazo kasi, lakini shule ameongelea sana kuboresha elimu.Sasa kama hawana ushahidi wa Kagoda watapata wapi ajenda za kuongea mikutanoni. Maana hawa jamaa ajenda yao kubwa ni ufisadi........ufisadi.........ufisadi. Sasa sijui hata hawajui kama kuna mambo mengine ya kuongelea kama barabara, maji, umeme, shule, hospitali...........
utembee uchi mara ngapi ? kuipenda ccm pekeyake ni sawa na kutembea UCHI MBELE YA WATOTO WAKO AMA WAKWE ZAKO.Mimi Chadema ikishinda Igunga wallahi natembea uchi kutoka Ubungo mpaka Posta kwa miguu.
Na wewe ujaona tatizo la LATIFA kila anavyoandika anaanza na herufi ndogo au kwa sababu Magwanda mwenzako? Kweli akili yako Masaburi matupuKwa hiyo mkuu haujaona typos kwenye post yako kama LAT alivyojitahidi kukuonesha? Basi kweli wewe utakuwa ni kilaza ....
<br />Mimi Chadema ikishinda Igunga wallahi natembea uchi kutoka Ubungo mpaka Posta kwa miguu.
<br />siko tayari kutumiwa na magamba tena
<br /><br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Hebu tukumbushane kidogo baadhi ya ufisadi alio ufanya
Kuchakachua itakuwa ngumu awamu hii. upepo mbaya sana kwa magamba!Ili wasichakachue JF reporter wawepo pale kuanzia malori y ao yapigwa picha na yatoke ktk vyombo vya habari; hii sasa ni lala salama wanajf tuamke hili la malori sasa liwe wazi; kupumbazwa tumechoka; wasiwasi wangu asije kujikuta anajihubiria mwenyewe