Pamoja na Tambo nyingi kwa Viongozi wa Chadema kwa kurusha makombora kwa CCM hakuna alie thubutu kugusa suala la Kagodaa kwenye uzinduzi wa kampeni Igunga. Hakugusia hata kidogo kashfa ya Kagoda!
Watalamu wa mambo ya siasa wanasema Chadema hawana ushahidi juu ya Kagoda kama Ushahidi wa Msema kweli! Imekua vigumu kwa CDM kuongelea Kagoda tofauti na hapo nyuma kwani suala la Kagoda kwa sasa halitakiwi porojo za kisiasa kinachotakiwa ni Ushidi uwe kama ule wa Msemakweli au Zaidi!
Suala la Kagoda linaipunguzia Chadema kuaminiwa kwani hawana ukweli wake.
Kwa kutumiwa kwake na kufanywa kipofu na Vijisenti vya Nape itafika mahali atawalaumu CDM kwa kushindwa kumfunga Rostam Azizi mpaka sasa hivi!<br />
<br />
Kweli cdM Balaa, kazi ya polisi wafanye wao!
Yaani Jamii forum members in kiboko cha njia hata kama ulikuwa na msongo wa mawazo kwa kukosa lishe na maisha magumu utacheka tuu,ilike this commenthuko ndiko kumpigia kampeni kafumu? kweli huyu mukapa hajui kupiga kampeni ndiyo maana alikuwa akiuzwa kama ndizi na Mwalimu Nyerere mwaka 1995.
Magwanda manake saa ya ukombozi ni sasa sasa Mkapa bin Kiwavi,bin mchwa,bin komba,bin panya maliza vyote wananchi watatjijua wenyewe atafanyajeSasa nyinyi mlitaka ajivunie kushona magwanda?
dah,
watu kweli wabunifu,
hiyo kitu imetulia sana.
Watu wana vipaji sana,
sema basi tu serikali yenyewe ndio hii isiyojali raia wake kwa kuweka mazingira mazuri kwa watunzi kama hao.