<br /><br /> <br /kwanini uteseke namna hii andika kiswahili
sawa, mimi ni boya nipo kwenye keyboard. leo ujue Bosi wako Nepi alivyo na hasira sidhani kama mtalipwa overtime<br />
<br />
Wewe boya sana
Igunga leo.
Msafara wa Mkapa ukiwasili mjini Igunga
Mashabiki wa CCM wakiwa kwenye msafara wa mapokezi ya Mkapa
Mwenyekiti mstaafu wa CCM Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akisalimia wananchi baada ya kuwasili kijiji cha Makomero nje kidogo ya mji wa Igunga.
Picha na HakiNgowi
msamee bure sio nape huyoooMkuu Nape,
Hii shida umeichangia kwa kiasi kikubwa baada ya kusema umetuma watu wengi mitandaoni kujibu mapigo, watu ambao ninaamini unawalipa fedha za chama, tangu hilo tangazo lako tukaanza kuona vituko hapa jamvini na mabingwa wa kusoma kila bandiko na kujibu kulingana na mapenzi yako. U should be ashamed first kabla hujashugulika na huyu. kwa hilo ulilolifanya na kulitangaza hadharani
<br /><b><font color="#0000ff">sawa, mimi ni boya nipo kwenye keyboard. leo ujue Bosi wako Nepi alivyo na hasira sidhani kama mtalipwa overtime</font></b>
kaka tunaongelea uzinduzi wa kampeni na sio ujio wa ccm igungaThe story is purely apocryphal although the booboisie might find it veracious and some of ninnyhammers will even dare to award it many thanks. The reality is CCM have landed Igunga by storm, the crowd was astonishing and jubilant populace waved the party's flags as a clear harbinger of, as usual, a landslide victory.
<br />kaka tunaongelea uzinduzi wa kampeni na sio ujio wa ccm igunga
Hujisikii aibu kujaza server mipost ya kingese kama hii?paw paw bun bun
kwa mashangingi na watoto wa shule kwenye mikutano CCM awajambo wakifa wanakwenda kushinda msibani kwao huku habari zikiwa covered na magazeti na TV ZOTE nchinikwa nini?
Wallahi Chadema wakichukua jimbo la Igunga mimi naacha kazi.
<br />Mkuu kuna tatizo hapa. Kwa nini watoto wadogo kama hawa wanaingizwa kwenye siasa? Halafu walipokaa kwenye hiyo gari ni hatari. Hope Nape anayaona haya. Tuachane na beef za kisiasa, sio fair kuwatendea watoto wadogo kama hawa hivyo. This is not right.
kingereza changu cha shule ya kata heri wewe mwenye kingereza ch darasa la nne ya zamani ,ndio maana manatuingiza kwenye mikataba mibovu kwa kujidai mwajua kumbe hovyo tu<br />
<br />
Kiingereza chenyewe unajua au umeishia kuona nyotanyota tu hapo? Mwambie Mbowe akulipie English course ili uelewe ninachoongelea hapo.
<br />KWANI UNAPATA NINI KUTOA TAARIFA ZA UONGO KAMA HIZII? shame on you<br />
<br />
<br />
<br /><br />
<br />