Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Hii ya maroli imekua ndio hadithi ya chadema, vipi tena magwanda,wasiwasi umeshaanza nini? Mbona wanaccmhawaja lalamiki kuhusu hao wavuta bangi wenu wa Arusha walio mwagia mtu tindi kali?

Madrasa al sul, crap crap crapiso
 
tunashukuru kwa hilo ila tunaomba yote atakayo sema Mh. MKAPA na wapambe wake usimung'unye maneno kwa sababu za uashabiki wa itikadi tunaomba uwe makini sana kiongozi
 
Umeishiwa chakuandika kabisa?
Mtu mzima ovyo kabisa!!

Rejao huo mkutano wenu saa ngapi mkuu??au mnafanya usiku??tuwekeeni photo tumwone mzee mzima fisadi la kizamani mMkapa akimwaga mambo kama alivyomwaga jagwani wakati wa kufunga kampeni mwaka jana
 
Huu ni utata,msiba,miss tanzania na magamba na kuzindua kampeni,all eyez on magamba,they can?
 
Wa Tanzania wa sasa si wale wazamani wa2 wameelimika kutokana na ugumu wa maisha CCM is no more
 
Rejao huo mkutano wenu saa ngapi mkuu??au mnafanya usiku??tuwekeeni photo tumwone mzee mzima fisadi la kizamani mMkapa akimwaga mambo kama alivyomwaga jagwani wakati wa kufunga kampeni mwaka jana
Ushindi kwa CCM lazima director,
Subiria updates baadaye!
Anzeni kuandaa maandamano ya kupinga matoke mapema kabisa!
 
Si mlishasema igunga ni yenu wanacdm? Na huyo mgombea wenu hana nyumba?

Labda shehe hataki nyumba ifukizwe msuba jamani?
 
Magamba msijidanganye kuwa rekod ya cdm inavunjwa kamwe haijawahitokea na haitotokea
 
Hivi udini kweli apo upo wapi labda udini maana yake ni pana! Igunga CDM sio wageni na juzi tumeona wamefanya mkutano mkubwa tu.
Mgombea ubunge wa CDM ni mkazi wa Igunga sidhani kama atashindwa kuwatafutia nyumba CDM wenzake, wewe ulioleta hii mada ndio mdini
 
Gazeti la mwananchi limeeleza kwa kirefu leo kuhusu maandalizi makubwa yaliyofanywa na ccm jana kuhusu kufanikisha uzinduzi wa mgombea wao leo. Waandishi wa gazeti hilo wameenda mbali zaidi na kutabiri mkutano wa CCM leo utavunja rekodi ya mikutano yote kuwahi kufanywa ktk uwanja wa sokoine.<br />
<br />
Kama vile haitoshi waandishi wa gazeti pendwa la mwananchi pia wamerudia taarifa ya mapokezi ya Mkapa juzi ambapo wamesema alilakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa.<br />
<br />
Source habari kuu Mwananchi leo.
<br />
<br />
Utabiri wa shehe yahaya..teh teh teh..!
 
nadhani una ugonjwa wa akili ila hujijui si kosa lako

hoja zakujadili hapa ni zipi we unaona ni sawa kupokea pesa kisha kurudisha eti kwa sababu ya chama unacho kipenda hakijapewa hiyo chance, jaribu kutafakari kwa kina hii post imekaaje

utoto bado unauota hadi sasa au ndiyo unatamani ku compasent, tatizo fikra zako zimeganda changamka mkuu ooh !!!!

Kweli mkuu!!watu wa magamba utawajua tuu,kupewa suti za bure,pesa za kampeni,na magari ya misaada ya kampeni kutoka India!!basi wamekaa kukera watu tu!!
 
Uchaguzi wa Igunga, CCM, Ajali, Mwanafunzi na Misiba!!!

Siku mgombea wa CCM anaingia Igunga na kwenda kurejesha fomu, Ajali, MWANAFUNZI kagongwa na lori kafariki dunia, msiba Igunga nzima;

Leo Mh. Mkapa na CCM yote kwa ujumla wake wanajiandaa kuzindua kampeni kwa nguvu zote, Ajali, MSIBA nchi nzima, mamia ya watanzania wengi wao WANAFUNZI wamekufa maji!

Kama sielewi elewi hivi!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom