Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tufanyie msaada mdogo sana chukua picha maana hawachelewi kuja na mameno mengi hapa ooh tumefunika.......Yaani hapa naona malori makubwa yanaleta watu toka sehemu mbalimbali, kuja kuhudhuria kampeni zao CCM wananchi hapa Igunga wanamsemo wao sasa usemao.‎"UJINGA NI KURUDIA KOSA PINDI UNAPOPEWA NAFASI YA KUJISAHIHISHA"(Kauli ya wazee na vijana+mama kutoka IGUNGA.
CDM wanaweza kushinda iwapo CCM aka mafisadi wasipochakachua
Kuna msiba leo, hizo shamrashamra za nini? huyo atakaehutubia atajilazimisha kusahau meli iliyozama? au huko igunga hakuna redio?
chadema hamna kulala hadi kieleweke
<br />tufanyie msaada mdogo sana chukua picha maana hawachelewi kuja na mameno mengi hapa ooh tumefunika.......
Kwani Chadema wamenyimwa unyumba?Hii heading ina utata. jalini ndoa za watu jamani na heshima zao.
Still ccm is workin hard but cdm always works smart! IGUNGA
Hapa ndipo kuna hoja,ni dalili za vitisho ambavyo wanafanyiwa wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla ili kudhoofisha juhudi za vyama vya upinzanisidhani kama ni udini nafikiri ni umbumbu zaidi wa siasa za vyama vingi na ccm imekuwa ikitumia mwanya huo kuwatisha wahusika ili wasishirikiane na upinzani kwa kuwatisha kufunga biashara zao au kuwatisha kuwadai kodi zao za miaka yote ambazo wamekuwa hawalipi na vitu kama hivyo.
kwa watu tunaofuatilia vizuri mfumo wa vyama vingi ulivyoanza Tanzania ni kwamba vitu hivi havikuanza leo kwani huko miaka ya nyuma wagombea wa urais wa vyama vya upinzani walipokuwa safarini mikoani walinyimwa hadi mafuta kwenye baadhi ya vituo kwa sababu ya wahusika
kutishwa au kwa humbumbu wao kisiasa. ktk issue hii ya nyumba inaonekana wazi kuwa ni vitisho kwani kama walikuwa hawawataki chadema wangeshakataa pesa toka mwanzo lakini kupokea pesa na baadaye ghafla kuzikataa hiyo inaonhyesha wazi kuwa ni mchezo mchafu wa CCM.
Vipi cheche za Mkapa Igunga?. Tunaomba update.
Yaani hapa naona malori makubwa yanaleta watu toka sehemu mbalimbali, kuja kuhudhuria kampeni zao CCM wananchi hapa Igunga wanamsemo wao sasa usemao.
‎"UJINGA NI KURUDIA KOSA PINDI UNAPOPEWA NAFASI YA KUJISAHIHISHA"(Kauli ya wazee na vijana+mama kutoka IGUNGA.
CDM wanaweza kushinda iwapo CCM aka mafisadi wasipochakachua
<br />hivi mizimu ya ben inatambikiwa majini?mimi sijaelewa naomba mnijuze.mia