Hii ya maroli imekua ndio hadithi ya chadema, vipi tena magwanda,wasiwasi umeshaanza nini? Mbona wanaccmhawaja lalamiki kuhusu hao wavuta bangi wenu wa Arusha walio mwagia mtu tindi kali?
Umeishiwa chakuandika kabisa?Madrasa al sul, crap crap crapiso
Umeishiwa chakuandika kabisa?
Mtu mzima ovyo kabisa!!
Ushindi kwa CCM lazima director,Rejao huo mkutano wenu saa ngapi mkuu??au mnafanya usiku??tuwekeeni photo tumwone mzee mzima fisadi la kizamani mMkapa akimwaga mambo kama alivyomwaga jagwani wakati wa kufunga kampeni mwaka jana
Kina nani walio elimika? hivi wewe umefika Igunga?Wa Tanzania wa sasa si wale wazamani wa2 wameelimika kutokana na ugumu wa maisha CCM is no more
Hii sio hoja ya kujadiliwa na watu wazima hapa, mrusha thread nenda facebook kwa watoto wenzako haraka, "If you have nothing say nothing"
<br />Gazeti la mwananchi limeeleza kwa kirefu leo kuhusu maandalizi makubwa yaliyofanywa na ccm jana kuhusu kufanikisha uzinduzi wa mgombea wao leo. Waandishi wa gazeti hilo wameenda mbali zaidi na kutabiri mkutano wa CCM leo utavunja rekodi ya mikutano yote kuwahi kufanywa ktk uwanja wa sokoine.<br />
<br />
Kama vile haitoshi waandishi wa gazeti pendwa la mwananchi pia wamerudia taarifa ya mapokezi ya Mkapa juzi ambapo wamesema alilakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa.<br />
<br />
Source habari kuu Mwananchi leo.
Kwa hiyo mnajivunia ujinga wa watu, siku si nyingi wajinga watakwisha, na magamba kwishaKina nani walio elimika? hivi wewe umefika Igunga?
nadhani una ugonjwa wa akili ila hujijui si kosa lako
hoja zakujadili hapa ni zipi we unaona ni sawa kupokea pesa kisha kurudisha eti kwa sababu ya chama unacho kipenda hakijapewa hiyo chance, jaribu kutafakari kwa kina hii post imekaaje
utoto bado unauota hadi sasa au ndiyo unatamani ku compasent, tatizo fikra zako zimeganda changamka mkuu ooh !!!!
kwahiyo una kubali kuwa Igunga bado hawajaelimia....naamini wamekusikia mtakutana tarehe 2-10-2011Kina nani walio elimika? hivi wewe umefika Igunga?