Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
hizo ndizo za Mkapa na Kikwete labda umesahau tukukumbushe...
 

Mkubwa unalosema ni la kweli!!ukichunguza sana humu JF watu wanaotetea magamba huenda mzazi au mlezi ni kada wa Chama Cha Mataahira(Magamba)sababu haiwezekani mtu mwenye akili timamu na upeo wa kina kufikiri ukawa unashabikia tukizingatia na mambo yanayofanyika sasa nchini chini ya utawala wa magamba!!
 

Kwenye kampeni zao walitangaza ushindi kwa ccm ni lazima, kwa kutumia pesa, dola na sasa imedhihirika damu za watanzania zilihitajika zaidi kufanikisha ushindi wa kishindo.
 
Jipe moyo. Adhabu ya CDM itatolewa tarehe 2/10/2011.
<br />
<br />

Kishongo, you won't make it - huwezi 'kutoka na' SIASA UCHWARA ALIZOKIMBIA Rostam, you're dreaming (in a daylight) whilst typing rubish! By the way how many moonlights have you seen? Ili nikuweke kwenye mzani.
 
Kazi kweli kweli,ndo mana waliahirisha jana ili wasombe wananchi?shame on them.
 
Kazi ipo na sio ndogo wa CCM...bahati nzuri wao pia washakiri kuwa hali ni ngumu kurudisha jimbo, ni afadhali waanze kuona picha halisi ya uchaguzi wa 2015..!
 
Hapo naona wanaostahili kupiga kura ni wawili tu ktk kundi zima hilo! Imekula kwa magamba hiyo, mweeeeeeeeeeeeee!

Wakitishia kumfungia biashara yake lazima aende. hana tofauti na mkapa, ni watu wanaokula matapishi yao wenyewe!
 
MWANANCHI, njaa yenu na umasikini wenu, usiwasababishe mkauza umahiri wenu ktk nyanja ya habari. Mlishwa shukiwa kuwepo ktk list ya vyombo vya habari vitakavyokatiwa kitu kidogo ili mpige kampeni kwa chama husika. Tutaendelea kufuatilia kuona ukweli huo, na ikiwa ni kweli basi mjue mwisho wenu umefika, mtakuwa kama Gazeti fulani kongwe lililobeba jina la miaka yetu 50 tunayoazimisha siku si nyingi zijazo.
 
Watavunja rekodi yakuwasomba watu kwenye malori na mafuso pamoja nakuwalipa posho ili waonekane wanaungwa mkono mwisho wa siku watapigwa chini coz kinachowapeleka watu ni hizo lifti pamoja na posho.
 
kwahiyo una kubali kuwa Igunga bado hawajaelimia....naamini wamekusikia mtakutana tarehe 2-10-2011

Omr, anatuthibitishia kuwa CCM wanavyowadharau wapiga kura, ambao ni walipa kodi wakubwa wa nchi hii. na kama kweli wana Igunga hawajaelimika, na nchi hii inatimiza miaka 50 ya uhuru nani wa kulaumiwa kama siyo ccm?

I am sure CCM will be treated accordingly by wana Igunga on 02-10-2011 through ballot box
 
Niko kwenye uzinduzi wa ccm.anaongelea uzuri wa sera za ccm,anamsifu sana kikwete,mchango wa tz kukomboa nchi nyingine.anapiga propaganda.eti kwa nn wanaongelea shirika la reli na ndege tu? Anasifu udom.amesema wamesema sikujenga barabara.amekwepa kusema wamesema nimefanya biashara ikulu au eti najua kagoda.amempiga dongo dr.slaa.kwa kweli ni fyongo tupu.masanja alipomaliza,umati wa watu umeondoka.anafikia hata kuuma maneno na kuönyesha kusahau point.ccm imeshindwa kwa viwango vyote kuifikia chadema kwa analysis ya mkutano wa uzinduzi.
 
................Taarifa za kutoka chini ya kapeti zinadai kuwa Ben kajilaumu kwanini ameenda huko...
 
Ma CCM bwana wana mambo ya ajabu sana kila wakati mh wacha tuone itakuwaje .Yes RA atakuwepo maana jana alielekea huko na bila aibu atasimama na kusema ichague CCM pamoja na kwamba anaituhumu .CCM kwa kulaa hawana akili hata moja wanaweza kukuua ili maradi wao wabakie .
 
................Taarifa za kutoka chini ya kapeti zinadai kuwa Ben kajilaumu kwanini ameenda huko...
Hivi huyo mkapa si alisema kaachana na mambo ya siasa? Imekuwaje tena? Au kumpigia mtu kampeni si kufanya siasa?
 
<br />
<br />
Unapata faida gani kuleta habari za uongo? Shame on you
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Hukuna serikali kwenye ardhi hii ambayo imetimiza miaka 50 bwaanaa acha kutuchanganya sisi ambao tunakaribia kufanya exmz form 4 Civics.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…