hizo ndizo za Mkapa na Kikwete labda umesahau tukukumbushe...Uchaguzi wa Igunga, CCM, Ajali, Mwanafunzi na Misiba!!!
Siku mgombea wa CCM anaingia Igunga na kwenda kurejesha fomu, Ajali, MWANAFUNZI kagongwa na lori kafariki dunia, msiba Igunga nzima;
Leo Mh. Mkapa na CCM yote kwa ujumla wake wanajiandaa kuzindua kampeni kwa nguvu zote, Ajali, MSIBA nchi nzima, mamia ya watanzania wengi wao WANAFUNZI wamekufa maji!
Kama sielewi elewi hivi!!!!!!!
We jamaa,umekosa maneno ya kutumia kama mtu ambae yuko fit mentally.Hivi tukisema wewe unatumia masaburi kufikiri,tunakosea? Ustaarabu kitu muhimu.Afu nyie watu mnaotetea magamba humu JF Mna maslahi fulani huko kwa sababu katika hali ya kawaida haiwezekani ukawa mshabiki wa "the Cursed CCM"
Uchaguzi wa Igunga, CCM, Ajali, Mwanafunzi na Misiba!!!
Siku mgombea wa CCM anaingia Igunga na kwenda kurejesha fomu, Ajali, MWANAFUNZI kagongwa na lori kafariki dunia, msiba Igunga nzima;
Leo Mh. Mkapa na CCM yote kwa ujumla wake wanajiandaa kuzindua kampeni kwa nguvu zote, Ajali, MSIBA nchi nzima, mamia ya watanzania wengi wao WANAFUNZI wamekufa maji!
Kama sielewi elewi hivi!!!!!!!
<br />
<br />
wewe kichwa box
Chama cha demokrasia ya maandamano mbona mnapepeta mdomo sana kama mabinti wa saloon!
<br />Jipe moyo. Adhabu ya CDM itatolewa tarehe 2/10/2011.
Hapo naona wanaostahili kupiga kura ni wawili tu ktk kundi zima hilo! Imekula kwa magamba hiyo, mweeeeeeeeeeeeee!
kwahiyo una kubali kuwa Igunga bado hawajaelimia....naamini wamekusikia mtakutana tarehe 2-10-2011
Hivi huyo mkapa si alisema kaachana na mambo ya siasa? Imekuwaje tena? Au kumpigia mtu kampeni si kufanya siasa?................Taarifa za kutoka chini ya kapeti zinadai kuwa Ben kajilaumu kwanini ameenda huko...
<br />Yaani hapa naona malori makubwa yanaleta watu toka sehemu mbalimbali, kuja kuhudhuria kampeni zao CCM wananchi hapa Igunga wanamsemo wao sasa usemao.‎"UJINGA NI KURUDIA KOSA PINDI UNAPOPEWA NAFASI YA KUJISAHIHISHA"(Kauli ya wazee na vijana+mama kutoka IGUNGA.<br />
CDM wanaweza kushinda iwapo CCM aka mafisadi wasipochakachua
&lt;br /&gt;<br /><br />&lt;b&gt;&lt;font color=&quot;#0000cd&quot;&gt;Omr, anatuthibitishia kuwa CCM wanavyowadharau wapiga kura, ambao ni walipa kodi wakubwa wa nchi hii. na kama kweli wana Igunga hawajaelimika, na nchi hii inatimiza miaka 50 ya uhuru nani wa kulaumiwa kama siyo ccm? &lt;/font&gt;&lt;/b&gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;font color=&quot;#0000cd&quot;&gt;&lt;b&gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
I am sure CCM will be treated accordingly by wana Igunga on 02-10-2011 through ballot box&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;/b&gt;&lt;/font&gt;
<br />Yani wewe kweli.....wenzako wana majonzi huko wewe upo tu na ushabiki wa vyama.........ndo mmeamua muwatoe kafara ehhhhh???