Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
<span style="font-family: fixedsys">Tunaomba uongozi unaoratibu shughuli za kampeni CCM igunga kutujuza kwanini mwanasiasa mahiri na mjumbe wa NEC Edward Lowasa hakuhudhuria kwenye uzinduzi wa kampeni.Hii inatutia mashaka wazee na wananchi kwa ujumla kwa sababu viongozi wengi wakuu na wabunge wa CCM walihudhuria.Naomba kuwasilisha</span>
Tena kwa nini kijana mahiri kwa kuropoka hovyo na katibu mwenezi wa ccm Nape Nnauye hajahudhuria uzinduzi wa kampeni za chama chake huko Igunga!? Au Masanja ni muhimu ccm kuliko Nape?
 
ww si wa kwanza kuna tambe hiza alisema akirud ccm atalala na mama yake mzaz, lakin hakufanya hivyo
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kama kujaza watu ndiyo kushinda uchaguzi basi acha tusubiri na tuone!
<br />
<br />

Kuna uhusiano kati ya kujaza watu na ushindi lakini CCM wanalazimisha kujaza watu ili kujustify uchakachuaji!
 
Kweli Zitto hakuhudhuria katika ufunguzi wa kampeni, lkn siy yeye tu kuna viongozi wengine hawakuhudhuria.<br />
VIPI CCM:<br />
&gt;&gt; Kikwete alikuwepo kwenye uzindizi?<br />
&gt;&gt; mbona kikwete hakuenda Znz ? Lkn zitto leo katua huko.
Mwita 25 atakujibu kwamba Kikwete hakuwa Znz kwasababu sio askari wa kuokoa lol
 
Mwita 25 atakujibu kwamba Kikwete hakuwa Znz kwasababu sio askari wa kuokoa lol
<br />
<br />
Hapana nitamwelewesha kuwa Kikwete ni Rais wa nchi na anawakilishwa na Makamu Wa Rais awapo safarini.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hapana nitamwelewesha kuwa Kikwete ni Rais wa nchi na anawakilishwa na Makamu Wa Rais awapo safarini.
Ooo, ikiwa upande wako huwa una majibu ya busara!
 
hahahaha bado timu ya wasanii itakuja ccm kwishnei enzi za iyena iyena zimekwisha
 
Kiufupi CCM ndio imetufikisha hapa!!

Toa CCM kwenye ubongo wako na tutafika tu.
mimi sijasema kwamba CCM haijazeeka wala kwamba inafaaa kuendelea kutawala nchi hii. Pia kwenye ubongo wangu hakuna CCM wala CDM bali kuna Tanzania. Hoja yangu ni kwamba hoja za wagombea wetu kwenye kampeni za Igunga ni lazima zieleweke kuliko kutegemea mavungavunga ya vyama.
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Kama kujaza watu ndiyo kushinda uchaguzi basi acha tusubiri na tuone!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
duh umeandika kiupole! Kama nakuona vile sisiem mshakuwa sagulasagula ya mtumba.bila matarumbeta hakuna kitu
 
Tulishasema waende uko kueneza itikadi ya chdema na kuinua mwamko wa wakazi wa Igunga waliotopea kwenye lindi la usingizi.Hakika si lahisi kuchukua jimbo hilo toka kwa ccm,kwa kuwa wakazi wa Igunga ni waaaminifu sana kwa chama tawala.Ukileta na mambo yetu mengine ya kimikakati ya kutembeza hofu basi CCM kula ni za kujimwagia bwelele.

Chadema wakajipange na kuwaanda wana Igunga kwa Uchaguzi wa 2015.
 
CHAMA CHA MAPINDUZI:
UWAKILISHI WAKE MAJUKWAANI NA WANASIASA WENYE HAIBA ZA TANGU
MWALIMU NYERERE HADI AKINA JOTI WA 'ZE KOMEDI' IGUNGA

Mwita mbona unajiuliza swali na kujijibu mwenyewe kwa ID mbili tofauti hivo; ndio tuseme kufilisika kwenu huko au??? Hebu kaanze kushughulikia kwanza matatizo yenu humo ndani ukayamalize.

Katika maisha haya ni nani alikua anategemea kwamba kile chama kilichokua kikisemewa tu na wanasiasa mahiri na wenye heshma mithili yake Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa hili, leo hii kiwakilishwe katika uzinduzi jukwaani na KADA Mpya Joti wa Ze Komedi kule Igunga??????????

Nasema mpaka hapo mtu hahitaji kuelekezwa zaidi jinsi ambavyo CCM kimeshuka hadhi kisiasa nchini. Najua wakulima na wafanyakazi ambao ndio waliowahi kuwa wamiliki wa chama hiki huenda mpaka hivi sasa HAWAPATI KABISA PICHA HAPA.

Zitto ni mmoja tu katika timo yetu ambayo imesheheni wachezaji nyota kibao. Kwa ujumla huku CDM shida yetu kubwa si swala la mchezaji nyota atapatikana wapi akatuchezee bali kinachotukunisha vichwa muda mwingi huku ni swali ndogo tu ya kwamba sasa tumpange nyota yupi na tumache yupi kwenye dimba la kisiasa kama huko Igunga.

Sisi huku wala hatukuhisi kutokwepo kwa Zitto kwa sababu timu yake iliwakilishwa vema na wachezaji mahiri zaidi.

Lakini kwa upande wako naona kama huruma vile maana licha ya kumnyakua Tambwe hiza kutoka CUF ili akusaidie na bado injini ya CCM ikawa imegoma, naona hivi sasa umeanza wale
wachezaji ZILIPENDWA kama vile Mzee Mkapa amba siku nyingi tu alishatundika ukutani daluga la kisiasa nchini tayari kwenda kupumzika.

Pamoja na yote nakupongeza sana kwa kuweza kumnasa mchezaji chipukizi, Masanja wa Ze Orijino Komedi kwenda kuokoa jahazi Igunga. Hakika alitia fora kuliko hata Tambwe tuliemzoea.

Asante kwa mara nyingine kwa kutambua kwamba Wa-Tanzania sana sana tunachokihitaji ni kuchekeshwa tu na akina Joti na kesho yake kura zetu nje nje tu bila kufikiria hata matukio mbali mbali ya ufisadi kila pembe nchini.

Zitto hawezi kuhudhuria kwasababu ya tofauti zao na Mbowe. Unajua Zitto huwa hapendi kupelekwa pelekwa kama Mkokoteni. Sasa bila yeye sijui mtashinda vipi uchaguzi?
 
attachment.php

yaani pamoja na kuleta wasanii....mambo ni haya .......................hahahahaha
attachment.php

attachment.php
 
Ha ha haaa.! Hako kambinu kao kakuita wasanii wanajaza watu show ikiisha wanabaki wenyewe,aibu yao sisiemu
 
Zitto hajaenda unalalamika, mbona leo ccm wamezindua jk hajaenda mbona husemi? Au unataka kumaanisha kuwa Zitto ni zaidi ya huy ambae hujamsema!!!!!
 
Hapa mambo magumu kwa CCM. Itabidi CDM wawe makini siku ya kupiga kura. Hawa watu wa CCM watakua wanajiandaa kununua shahada za kupigia kura na kuingiza wapiga kura mamluki toka wilaya jirani hasa Urambo.
 
Naunga mkono hoja kwasababu tanzania ilipofikia sasa tumefanya siasa kama mcheza wa mpira kila mtu anataka timu yake ishinde hata kama aina ubora na kusahau kuweka maslai ya taifa mbele,mikwangu naona ni bora tuondoe itikadi zetu na tuchague kiongozi bora na si bora kiongozi ili mradi wananchi waweze kupata maendeleo.
 
Wale viwavi wa cdm leo hawana cha kusema hasa baada ya kamanda Rostam kushiriki uzinduzi wa kampeni chini ya uongozi wa Raisi mstaafu mzee Benjamini William Mkapa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom