<br />
<br />
Kwa mfano mwanaume na mwanamke wamefunga ndoa then wanapata watoto. Baada ya muda mwanamke anachoshwa na tabia za mumewe na hivyo analazimika kuachana naye. Swali: Je mwanamke hana haki ya kuwaona na kuwatembelea watoto wake na au hata kutoa msaada kwao? Ukijibu hapo utakuwa umeshapata jibu la kwanini Rostam yuko kwenye kampeni.
<br />Uwingi wa watu ni ishara kuwa ccm watashinda kwa ushindi wa kimbunga ccm oyeeeee
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kwa mfano mwanaume na mwanamke wamefunga ndoa then wanapata watoto. Baada ya muda mwanamke anachoshwa na tabia za mumewe na hivyo analazimika kuachana naye. Swali: Je mwanamke hana haki ya kuwaona na kuwatembelea watoto wake na au hata kutoa msaada kwao? Ukijibu hapo utakuwa umeshapata jibu la kwanini Rostam yuko kwenye kampeni.
Rostam aliacha ubunge na sio uanachama wa CCM! Yupo Igunga kutetea chama chake CCM!
Najiuliza ni lini CCM wataacha kutoa kofia, t shirt na kanga kwa kina mama, inabidi tuondoke katika dhana hii ya kampeni.<br />
<br />
Wanaangalia ze commedy tu hapo c unajua kasafirishwa bure halafu wamepewa magunia ya deki (t-shirt) bure kwanini wasije?
kwani CCM ni chama cha ushirika.................simple mindedAmeachana na siasa lakini hajaachana na CCM
<br /><font size="3"><font size="4">huh...............rostam na siasa uchwara tena?</font></font>
Rostam kaonesha ukomavu wa hali ya juu kisiasa!
<br />tatizo la kununuliwa hilo!
<br /><br />tatizo la kununuliwa hilo!