Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,222
- 1,425
<br />Mie ndo kabisa, nasubiri mwaka ccm watakavyokuja Kilimanjaro kuomba kura ndo tuwahoji ilikuwaje?
<br /><br /><br />
<br /><br />
mbona janga la zanzibar limetokea leo na uzinduzi ulikuwa juzi? Ina maana hakualikwa kwenye uzinduzi? Mbona naibu katibu mkuu zanzibar alikuwepo?
uvae gwanda usivae haitusaidii, chadema ishinde isishinde maisha yataendelea mijitu ya ccm inafikiri kwa kutumia makarioMimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
Wadau Wanajamvi AsalaaamAlykum!
Ni kitambo nimekuwa sirushi post hapa jamvini ila kuhusu hili imenibd nifanye hivi japo kuwatoa tongotongo zlizotanda kwenye kope zenu enyi wanajamvi wazalendo na wapigania maendeleo ya hii nchi(Inji) ye2
Firstly, I just wanna alert u of the suspicious issue that arose immediately before commencement of the Igunga election compain,
As per the report frm one of my intelligent secret agents working in the so known int'l bank she just informed me the withdrawal of approximately 3.1 bil Tshs of which there is no apparent supporting document to where such an amount is gonna be utilized to! Na kumbukeni the owner of Caspian is Rostam aziz.
N b4 this withdrawal, there was a transaction frm BOT involving dis Caspian account!
Sasa just imagine hii CCM bado inatutafuna hata katika uchaguzi huu mdogo kwa hela za wavuja jasho wa nchi hii wanataka kufanikisha kumweka Fisadi mwingine tena katka System!
Kwa mtu anaefuatilia vizuri siasa za nchi hii CCM sahv hawana chanzo kingine muafaka cha mapato zaidi ya Ruzuku na ada ya uanachama ambazo kwa ujumla nachelea kusema kuwa haztoshi kukfanya chama chao cha vichwamaji kushka hatamu bla kuchakachua!
Hivyo basi hawawezi hata siku moja kumtupa Rostam coz he is everything to 'em all n he got Power!
Sitaki kuongea sana ila mkitaka evidence ntamwaga hapa coz makablasha yote ninanyo!
Nihayo tu na ninaomba kuwasilisha!
Magezi huwa anakumbusha mara kwa mara kuwa kuwa mshabiki wa ccm LAZIMA UWE UNATUMIA MASABURI KUFIKIRIA NDO UWE MWANACHAMA WA MAGAMBA.Mwaita25, <br />
<br />
Mwezi wa kumi mwaka jana Rais Kikwete alimnadi yeye (Rostam Azizi) kuwa ni mtu safi, miezi miwili baadae Rais huyo huyo anasema wanajivua gamba. Then Rostam anajiuzulu kwa kudai kuna siasa uchwara, mwezi mmoja baadae anarudia kufanya siasa zile zile alizodai ni uchwara. Ni kitu gani kimebadilika tangu aliposema hivyo na leo wakati anauza sera? Bado anaona siasa ni uchwara au la? Hii inadhihirisha ni jinsi gani ccm ni waongo.Kama sio kufilisika ni nini?
kuna wakati nafikiria hivi vyuo vifunguliwe haraka maana mkiwa mtaani ni tatizo kubwa, japo nivyuo vya kata lakini vinasaidia kupunguza uchafu huku mtaani kwa kuwaweka busy. vp wewe upo chuo cha kumbukumbu ya mwl nyerere pale kigamboni au?
CCM ni chama cha siasa. Kuachana na siasa uchwara ni kuachana na CCM.Speak sense you creature.
as per the report frm one of my intelligent secret agents working in the so known int'l bank she just informed me the withdrawal of approximately 3.1 bil tshs of which there is no apparent supporting document to where such an amount is gonna be utilized to! Na kumbukeni the owner of caspian is rostam aziz.
N b4 this withdrawal, there was a transaction frm bot involving dis caspian account!
Sasa just imagine hii ccm bado inatutafuna hata katika uchaguzi huu mdogo kwa hela za wavuja jasho wa nchi hii wanataka kufanikisha kumweka fisadi mwingine tena katka system!
aaaaaa,nimecheka sana,,,,though am alone here,,,,,,amekosa cha kuwaambia????jaman huyo ni wa kumuangalia sana,unadhan bungen atasema nini????ataenda kuwa rafiki wa mbunge wa mtera