Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Mie ndo kabisa, nasubiri mwaka ccm watakavyokuja Kilimanjaro kuomba kura ndo tuwahoji ilikuwaje?
<br />
<br />
hahahahah,,, hapo utawaweza mkuu,,, watayameza maneno yao, lakini hayataweza kumezaka tena, kwa sababu umma mzima utakua umeshayasikia, kuyatafakari na kuyaelewa
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mbona janga la zanzibar limetokea leo na uzinduzi ulikuwa juzi? Ina maana hakualikwa kwenye uzinduzi? Mbona naibu katibu mkuu zanzibar alikuwepo?
<br />
<br />
so unataka siku moja tu viongozi wote wawepo?kila kiongozi kapewa ratiba yake na anamaeneo maalumu acha fitna wewe.
 
Kali ya zote ni mgombea wa magamba kusihi achaguliwe kama mkewe alivochagua kuolewa nae yani kama sio kutusi wana igunga ni nini sasa..?
 
Ametumia mfano ambao ni irrelevant na context kwa hiyo ni kitambulisho tosha kuwa huyu jamaa si critical thinker pamoja na cv ndefu aliyonayo.

Wito kwa wanaIgunga:
Pamoja na kampeni hzi kuwa ni za kitaifa zaidi waangalie wakati wagombea wanapopewa nafasi ya kuongea wanaongea nini cha maana kwa ajili ya wanaigunga
 
Aaaaaa,nimecheka sana,,,,though am alone here,,,,,,amekosa cha kuwaambia????jaman huyo ni wa kumuangalia sana,unadhan bungen atasema nini????ataenda kuwa rafiki wa mbunge wa MTERA
 
crap coz u know here we wanna evidence,dont kid us u dont ave any doc 2 justify ur claim.
 
Ccm imeamua kumuaibisha mbele ya umma kani yeye alikiabisha chama mbele ya wanacha,sasa wanamtia aibu.
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.

Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.

Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
uvae gwanda usivae haitusaidii, chadema ishinde isishinde maisha yataendelea mijitu ya ccm inafikiri kwa kutumia makario
 
Wadau Wanajamvi AsalaaamAlykum!
Ni kitambo nimekuwa sirushi post hapa jamvini ila kuhusu hili imenibd nifanye hivi japo kuwatoa tongotongo zlizotanda kwenye kope zenu enyi wanajamvi wazalendo na wapigania maendeleo ya hii nchi(Inji) ye2
Firstly, I just wanna alert u of the suspicious issue that arose immediately before commencement of the Igunga election compain,
As per the report frm one of my intelligent secret agents working in the so known int'l bank she just informed me the withdrawal of approximately 3.1 bil Tshs of which there is no apparent supporting document to where such an amount is gonna be utilized to! Na kumbukeni the owner of Caspian is Rostam aziz.
N b4 this withdrawal, there was a transaction frm BOT involving dis Caspian account!
Sasa just imagine hii CCM bado inatutafuna hata katika uchaguzi huu mdogo kwa hela za wavuja jasho wa nchi hii wanataka kufanikisha kumweka Fisadi mwingine tena katka System!
Kwa mtu anaefuatilia vizuri siasa za nchi hii CCM sahv hawana chanzo kingine muafaka cha mapato zaidi ya Ruzuku na ada ya uanachama ambazo kwa ujumla nachelea kusema kuwa haztoshi kukfanya chama chao cha vichwamaji kushka hatamu bla kuchakachua!
Hivyo basi hawawezi hata siku moja kumtupa Rostam coz he is everything to 'em all n he got Power!
Sitaki kuongea sana ila mkitaka evidence ntamwaga hapa coz makablasha yote ninanyo!
Nihayo tu na ninaomba kuwasilisha!

Huna makabrasha wala ushahidi wa uliyoyasema acha kupotosha umma, Pili tupatie vyanzo vya mapato kwa vyama vyote out of subsidy wanayopata kwa sasa..
 
siasa nahisi ndiyo mchezo ambao huwa siuelewi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mwaita25, <br />
<br />
Mwezi wa kumi mwaka jana Rais Kikwete alimnadi yeye (Rostam Azizi) kuwa ni mtu safi, miezi miwili baadae Rais huyo huyo anasema wanajivua gamba. Then Rostam anajiuzulu kwa kudai kuna siasa uchwara, mwezi mmoja baadae anarudia kufanya siasa zile zile alizodai ni uchwara. Ni kitu gani kimebadilika tangu aliposema hivyo na leo wakati anauza sera? Bado anaona siasa ni uchwara au la? Hii inadhihirisha ni jinsi gani ccm ni waongo.Kama sio kufilisika ni nini?
Magezi huwa anakumbusha mara kwa mara kuwa kuwa mshabiki wa ccm LAZIMA UWE UNATUMIA MASABURI KUFIKIRIA NDO UWE MWANACHAMA WA MAGAMBA.
hawa jamaa si waongo ila ni wapumbavu angalau mjinga huwa anaari ya kufaham kitu ambacho hakielewi,lkn mpumbavu hana hata busara.Wanafurahia wananchi kutokuwa critical thinker kiasi cha kuwageuza mbele na nyuma watakavyo
 
kuna wakati nafikiria hivi vyuo vifunguliwe haraka maana mkiwa mtaani ni tatizo kubwa, japo nivyuo vya kata lakini vinasaidia kupunguza uchafu huku mtaani kwa kuwaweka busy. vp wewe upo chuo cha kumbukumbu ya mwl nyerere pale kigamboni au?


Mwal. nyerere wana kosa gani? MPAKA uhusianishe na hili jamaa?
 
Jamaani CDM watu wa ajabu sana hata mkiendelea na propaganda zenu humu JF sisi tupo field na CCM inang'ara. CDM wenyewe sasa hivi kimba inagonga chupi! Wana haha hawajui pa kukamata hawakutegemea jinsi wapenzi wa CCM walipotoka majumbani mwao bila kusafarishwa bali kwa kusikia tu CCM inamwaga sera. Msidanganyane humu semeni ukweli CDM wana hali mbaya sana huku Igunga kama mnadhani naongopa muulizeni hata MWITA WAITARA kama mkweli atawaambia. Maana kakata tamaa vijana wake aliowategemea kuleta fujo mjini wote wamelowa mara baada ya WANAUME kuzindua jana
 
as per the report frm one of my intelligent secret agents working in the so known int'l bank she just informed me the withdrawal of approximately 3.1 bil tshs of which there is no apparent supporting document to where such an amount is gonna be utilized to! Na kumbukeni the owner of caspian is rostam aziz.
N b4 this withdrawal, there was a transaction frm bot involving dis caspian account!
Sasa just imagine hii ccm bado inatutafuna hata katika uchaguzi huu mdogo kwa hela za wavuja jasho wa nchi hii wanataka kufanikisha kumweka fisadi mwingine tena katka system!

duh, huwa sipuuzii taarifa. Ninachoshauri wasiliana na magezeti ya kizalendo (mwanahalisi, raia mwema) na wanasisa wazalendo wape hizo dokument, ili wazifanyie kazi.

Pia tutakuthamini zaidi iwapo utaiatach document hiyo kwenye jamvi hili ili tuendelee kujiridhisha na kuchukua hatua stahiki.

Mungu akubariki.
 
Mmmmh ndio Doctor huyo bhana, madokta wote wa CCM si ndio walivyo? yaani kabisa nimchague? nimchagueje? mmh mji.... kweli huyu, halafu ujue kama kawaida wakashangilia.....!!! huwa hawa watu hawafikirii hata kidogo ukishawavisha fulana na kanga kwisha habari yao!
 
Nimekubali wa2 ni wengi, je walio letwa na malori kutka wilaya jirani ni zaidi ya nusu yao?
 
aaaaaa,nimecheka sana,,,,though am alone here,,,,,,amekosa cha kuwaambia????jaman huyo ni wa kumuangalia sana,unadhan bungen atasema nini????ataenda kuwa rafiki wa mbunge wa mtera

anaitwa nani? Unaddhani atamkubali kafumu kwa kuwa ni fisadi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom