Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,602
- 5,809
Baada ya kutoa hayo maneno alishangiliwa. Kwanini hawakumzomea ili ajue kosa lake pale pale? Watanzania tumezidi unafiki.
Hilo ni bonge la dharau, lina maswali mengi sana. Ina maana vigezo alivyotumia kumpata mkewe ndivyo hivyohvyo avitumie kwenu. Atakavyomfanyia mkewe same applied kwenu.
Ni dharau kubwa.
Hilo ni bonge la dharau, lina maswali mengi sana. Ina maana vigezo alivyotumia kumpata mkewe ndivyo hivyohvyo avitumie kwenu. Atakavyomfanyia mkewe same applied kwenu.
Ni dharau kubwa.