MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Mhh, wale vijana walio rudisha kadi imeniuma saana, hebu nisaidieni, hivi watakuwa wamerudisha kwa ridhaa yao au ndo huko kununuliwa?
kama watu wanashawishwa kwa kubebwa na malori na kupewa matambara ya deki, vipi wakipewa pesa za ufisadi?
NAUZA KURA YANGU. - Hebu tujadili hili
kama watu wanashawishwa kwa kubebwa na malori na kupewa matambara ya deki, vipi wakipewa pesa za ufisadi?
NAUZA KURA YANGU. - Hebu tujadili hili