Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Well.. wapo wanaume watakaomchagua kama mke wake alivyomchagua hujaona wakipiga mavuvuzela na kushika mabango? Kama uko offended usimchague its as simple as that. Msamaha hupati.

Kwani ule "umati" ni wananchi wa Igunga wote wale...? Na yale mafuso yalifata nini Nzega, na wale abiria wake walipelekwa wapi?
 
why are you to hush?
<br />
<br />

Huwa sielewi kabisa fikra za wana siasa wetu wa leo hasa pale wasipo kuwa na haya na kuendelea kuwadhihaki watz kama vile tu mazuzu tusiojua A wala B. Ipo siku ............ "napata hasira, nitarudi baadaye"!
 
daah, nimeamini ile methali isemayo, 'Tumbo linaponza matak'! na Bondwa huruka pamoja!
 
kazi ipo,kitaeleweka mwaka huu,haya tunasubiri kwa CUF na CDM,mwenye sera zenye mvuto ndiye atakaye pita katika tundu hili la SINDANO



Ushauri tusiendelee kuamini kuwa watu hubebwa kwa malori ndio maana hujaa mikutanoni,cha muhimu nanyi mjiandie mkijuwa kuwa kila chama kihitaji kushika hatamu,kwani hata siku ya kupiga kura wapiga kura pia wataletwa kwa malori hapo ndipo vyama vingine vitakapo pigwa bao

hapo ni kujiandaa na kutafuta mbinu zitakazo wavutia wapiga kura,ktk mechi kila mtu anambinu zake za kutafuta ushindi

mungu ibariki Tanzania
 
Kelele zote hizi ni kutokana na woga wenu wa Rostam. Yeye ameachia ubunge lakini haina maana kuwa hawezi kusaidi chama. Sasa naona wanaCDM wamesha anza kujamba jamba baada ya mwamba kutia support kwa chama chake. Sasa jaribuni kumchafua na yeye pia huko Igunga kama hamkupigwa mawe.
 
kwani ule "umati" ni wananchi wa igunga wote wale...? Na yale mafuso yalifata nini nzega, na wale abiria wake walipelekwa wapi?

mwenyewe sijapata jibu, niaminivyo kijana wa kitanzania ambae amepata fursa angalau ya darasa la saba, hapendi kusikia hbr za ccm. Umati wa uzinduzi wa kampeni za ccm, cjui waliwatoa wapi labda ndo hizo tetesi za bil.3.1 zilizohamishwa toka bot kwenda benk ya kibiashara na baadae kuhamishiwa caspian constructin ltd ya rostam (un published news) zimetumika kuwanunua. Na kwa bahati mbaya sikuona uzinduzi wa vyama vingine hali ilikuwaje so sina comparison
 
Uwingi wa watu ni ishara kuwa ccm watashinda kwa ushindi wa kimbunga ccm oyeeeee

Kwani umesahau kuwa watu walisombwa kwa malori kutoka maeneo jirani na wilaya jirani? Nyie mawakala wa magamba acheni upumbavu wa kutofikiri. Mtakumbuka kwenye uchaguzi mkuu wa 2010 siku JK (Mangungo) anaenda Karatu (Kwa Dr. Slaa) malori yalisomba watu kutoka Arusha, Mto wa MBu, Magugu na Mbulu mpaka abiria waliotaka kwenda sehemu hizo wakakwama kwa sababu magari yote yalikuwa yanaenda Karatu (tena bure) ili mradi watu waonekane wengiiiiiiiiii, na kesho yake magazeti ya Magamba yakaandika front page "KIKWETE AFUNIKA/ATEKA MJI WA KARATU". Wenye akili tu walielewa kilichofanyika ila mabumbumbu na wenye matope vichwani wakachota habari kama ilivyo. Sasa hata kwa hili la Igunga mimi sishangai.
Peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hiyo ndio CCM jamani, CDM maneno mengi humu JF lakini sasa indio mtajua watanzania ni watu gani na siasa ni kitu gani.
 
<br />
<br />
mkuu mbona hii comment yako haiendani kabisa na thread ya hapo juu.

inaendana sema hujamusosama vizuri. Anamaanisha, ukiwa mweledi huwezi kufika wala kujihusiha na mahali ccm walipo. Kushangalia kwao, kukusanyika kwao, na mbwembwe zao inaonesha ni mbumbumbu, kwa hawajui umaskini na hali duni ya maisha waliyonayo umesababishwa na haohao cmm. Pia hawajui ni kivipi ccm wanaliibia taifa
.
 
Wakichagua CCM wao ni mbumbu sio? Acheni upuuzi wenu. Ina maana nyie wa CDM ndio wenye akili? Tatizo lenu nyie ni hizo hasira zenu ndio maana mnamwagia watu tindikali.
 

wakumbushe makuadi wa cmm, wepesi kusahau
 
Kwa mtu makini si vyema kutumia aina hiyo ya lugha,lakini kwa uzoefu wangu na wakazi na wenyeji wa mikoa ya Tabora,Shinyanga na Mwanza,matumizi ya wagombea wao wengi toka chama cha Mapinduzi,wamekuwa na mapungufu ya kutumia maneno kama ya kafumu wakizingatia au wakimaanisha kuvutiwa kwa mvuto wa wao kuwa bora kama mkewe alivyo muona yeye mumewe kuwa bora zaidi ya wanaume wote ambao mkewe alishapata kuwaona.

Kwa tabia za kisukuma na kinyamwezi maneno hayo huwa hayana sana madhara kwa msemaji kwa kuwa wapiga kula wengi kwa kuiwango kikubwa huwa ni kinamama na maneno hayo ulenga kuwalainisha wakina mama japokuwa pia uwa wapo wakina baba,ambao kwa mapenzi yao kwa chama husika wao tayari uwa wamekwisha jihakikishia tayari kuwa wanakundi kidogo la wapiga kula wanaume hivyo turufu kubwa ni kina mama zaidi pamoja na mabinti.

Ingawa matumizi ya maneno hayo kwa hali ya kitaifa ya sasa ya kusambaa na kuongezeka kwa maingiliano ya utamaduni na utandawazi watamkaji wanapaswa kuona madhara [Impact] ya matamshi hayo hata kabla hayajatamkwa.Ila kwa kuwa bado chama cha mapinduzi akijajipanga katika elimu ya mawasiliano [Public Relation] dhidi ya wagombea wake na wanachama wake na kuwajenga watumie vipi maneno yenye sura ya kuonyesha ukomavu na kuwafanya kuwa ni baba wa demokrasia na mwongozaji mzuri wa siasa za kitanzania.
 
Mwaka jana ktk uchaguzi mkuu CCM ilipiga marufuku maswali ktk mikutano yake na wagombea wake kushiriki midahalo.

Je, CCM imeruhusu mgombea wake kuulizwa maswali na wapiga kura ktk uchaguzi huu mdogo wa Igunga?
 
Bi Mkora meza kuu ipi, ile ya vijana wanaorudisha kadi au ile ya wazee wa CCM (05)?
<br />
<br />
Hao waliorudisha kadi wasiwape hofu, wanamchezo wa kuwanunulia kadi kwa ajili ya kuzirudisha ili kuwahadaa watu. Kitaeleweka tu hata hao wanakuchukulieni pesa lakini wamechoshwa na CCM kuwarubuni kwa zaidi ya miaka 30.
 
wakichagua ccm wao ni mbumbu sio? Acheni upuuzi wenu. Ina maana nyie wa cdm ndio wenye akili? Tatizo lenu nyie ni hizo hasira zenu ndio maana mnamwagia watu tindikali.

historia huwa haifutiki, inabaki vichwani mwa wengi walio weledi.

1. Chadema hawana historia ya kumwagia watu tindikali ccm wanayo historia hiyo. Kumbuka baada ya kujua kuwa waandishi wa mwanahalisi ni mwiba kwa ccm, walihujumiwa kwa kumwagiwa tindikali usoni ili wasiwe na uwezo wa kusoma na kuandika tena. Mungu mkubwa aliwanusuru japo mmoja mpaka leo amekuwa mtu wa mawani.

2. Ili ubaini nani alimwaga hiyo sumu, fikiria mazingira ilipomwagwa, mda na mahali. Ukufuatilia hayo utabaini kuwa ni mchezo uliopangwa kufanyika na kuratibiwa vizuri. Cjajua ilikuwa saa ngapi, but taaluma yangu ya upelelezi inanisukuma kuamini ilikuwa usiku tena watu wamelala.
 
<br />
<br />
Hao waliorudisha kadi wasiwape hofu, wanamchezo wa kuwanunulia kadi kwa ajili ya kuzirudisha ili kuwahadaa watu. Kitaeleweka tu hata hao wanakuchukulieni pesa lakini wamechoshwa na CCM kuwarubuni kwa zaidi ya miaka 30.
Ni wazo zuri sana hilo, ndio mbinu mnayo tumia CDM nini?
 
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…