Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Mhh, wale vijana walio rudisha kadi imeniuma saana, hebu nisaidieni, hivi watakuwa wamerudisha kwa ridhaa yao au ndo huko kununuliwa?
kama watu wanashawishwa kwa kubebwa na malori na kupewa matambara ya deki, vipi wakipewa pesa za ufisadi?

NAUZA KURA YANGU. - Hebu tujadili hili
 

Maelezo yako yanaonesha hofu yako ya kweli. Na unajitahidi kukanusha hisia zako. Sina hakika na tafsiri ya unafiki, lakini ni kama...
 
Khanga na Tshirt labda ni ghali kwa Chadema kumudu. Lakini kofia wanagawa kama kawa, which means they are willing to but not able.
<br />
<br />
CHADEMA hawagawi kofia, ila wanauza kukijenga chama, na watu wananunua. CCM wanagawa mpaka khanga! Upumbavu wa ajabu sana! Hii ni matumizi mabaya ya pesa za wananchi.
 
wanawake ndio hasa chanzo chakurubuni yaani utadhani hawana akili mimi naona kama ni mke wangu nikimukuta yupo kwenye kampeni ni kupiga na talaka juu yake maana hao hao ndio waadhiorika wakuu kuliko wananume ni haoa hao wapiga debe wa ccm siwaelewi kabisa. au walienda kuangalia wasanii wa Original Komedi au?
 
<br />
<br />
 
Rostam ameyarudia matapishi yake mwenyewe. Siasa uchwara amezisamehe.
<br />
<br />
Asingehudhuria ccm wangemfungia biashara zake. Hata uraia nadhani ungekuwa mashakani. Inaonekana ameenda pale kulinda biashara zake.
 

Janga limetokea siku moja baada ya uzinduzi wa CDM, yaani kesho yake. unawezaje kusema alielekea kunako janga?
 

Unajisikia vibaya! I know. Lakini mkuu do again your calculations, the opposite might be true. Kwamba Ccm haters wanaweza kuwa converted na kuwa Ccm lovers just to have something in common with their favourite commedians. Love that huh...
 
Reactions: DSN
<br />
<br />
Hilo nimeshalitolea ufafanuzi kwenye thread ya 'Rostam Aziz na siasa za uchwara'

Wewe ni Rostam au una uhusiano gani nae mpaka utoe ufafanuzi kwa ishu za ndani kabisa ambazo hata mke wake hajui? Nimesema hapa JF mara nyingi na naendelea kusema kuna watu ni watumwa wa hawa viongozi wa CCM na huyu kilaza Mwita25 ni moja wa hao....Rostam atakutumia mpaka uchake ndio utagundua kuwa siasa za CCM ni laana.....
 
Ahksante kwa picha! tafukuri yangu; watu wapo lakini wamekunywa na mahitaji tofauti kabisa kwa kuangalia nyuso zao mawazo yao hayajaratibiwa na mkusanyiko huo; umati unawashangaa viongozi, unawachungulia akina masanja, viongozi wanawaza cha kuwambia wananchi rostamu amekaa kama msukule, Mkama analazimisha tabasamu. hawa watu si wamoja lazima watashikana miguu usiku tu. subiri siku zipite
 
View attachment 36965

Sehemu ya umati uliohudhuria mkutano huo.

.

kuna dada kavaa ushungi wa kijani na blauzi ya kijani, anawashangaa wenzake na kuwaona hawana akili, hawafikirii. kuthibitisha hili ameweka kidole chake sikioni/kichwani anajaribu kuwatathimini watanzania wenzake, anahitimisha "hamjui nyie mnavyoibiwa na haya magamba". pia ukichunguza kwa makini utawakuta vijana wengine hawafurahishwi na kinachoendelea hapo, wameuchuna na kuwashangaa wajinga walivyopandwa na mbwembwe, kumbe hawajui ubaya wa ccm.
 
Ndugu kili picha yajieleza hakuna sababu ya kusema mengi. Wasio vaa jezi ni CDM, wanaoshangilia ni CCM peke yao ambao ni takribani 30 - 30. Na Wengi wamesikiliza ni uongo gani mwingine watasema. MAGAMBA hawana jipya.

VIVA CDM.







 
Magamba mna hali ngumu kama hali ndio hiyo manake mi naona mbuzi tu hapo wala si watu....yaani wamekata tamaa na bado wana hali ngumu sana kwa kweli.

Na hao "mbuzi" unaowaona wataichagua Ccm. Wakati huo utagundua kuwa hawakuwa mbuzi na wala haikuwa porini, kipindi hicho tutaurudia msamiati wetu maarufu wa "kuchakachuliwa"
But then again, it'll be too late...
 
Uwingi wa watu ni ishara kuwa ccm watashinda kwa ushindi wa kimbunga ccm oyeeeee

Unapojiingiza kwenye jamvi la Great Thinkers ni busara pia nawe kutoa mawazo yako uliyoyafikiri(great thoughts) na si tu kuandika. rejea enzi zako za kujifunza kusoma na kuandika, mwalimu wako alitumia juhudi kukufundisha ujue kusoma na kuandika ili usome mawazo ya wenzako na wewe upate maarifa ili uyatumie yale yaliyo ndani yako kuwaambia wengine kwa maandishi. sasa naona mwenzangu unachoandika hapa hakiendani na lengo la mwalimu wako wa shule ya awali , (hapa tunamuacha mwalimu wako wa elimu ya juu), kwa kweli umemuangusha sana na kama bado unawasiliana nae mpigie simu umtake radhi, kwamba umetumia vibaya taaluma yake.
Nimeshindwa kukuelewa kama wewe ni great thinker kwa vile huwezi kuelewa tofauti ya uwingi wa watu na matokeo ya kura za uchaguzi. Mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya watu kufuata matukio yaliyopo pale kwa wakati ule, vikiwemo vikundi vya ngoma za mkole, kwaya, komedi na kadhalika na kadhalika, Remi Ongala (RIP) aliwahi kusema kuwa muziki huwakuanya watu akimaanisha kwamba, watu wanafuata muziki si wapiga muziki. hata mimi nilikuwepo pale lakini sikusikia jipya, nilipata tu kichefuchefu kwa niliyoyasikia pale.
SASA WAAMBIE WENZAKO, WATANZANIA WANAJUA WANACHOKIFANYA, HAWADANGANYWI NA NYIMBO WALA NGONJERA, LAKINI BADO WANAPENDA BURDANI KWA HIYO UKIPIGA NGOMA WATAKUJA, WATACHEZA , NA WATAKUSAIDIA KUCHEZA NA PILAU UKIPIKA WATAKULA, LAKINI HILO HALINA UHUSIANO NA KURA ZAO. KURA ZAO ZITAKWENDA KWENYE GHALA LA MAENDELEO AMBALO WAO WANALIJUA NA SI UFISADI.

wasalaam
 
Wakati Ben anatinga Igunga picha za watoto ndo tulizoona usishangae umati unaouona ni watoto, Ben mtu wa totos. RA hana pa kwenda bila hivyo ngoma ikigeuka itakula kwake.
 
Well.. wapo wanaume watakaomchagua kama mke wake alivyomchagua hujaona wakipiga mavuvuzela na kushika mabango? Kama uko offended usimchague its as simple as that. Msamaha hupati.

Kwahiyo mkuu unamaanisha nini kwa hao wanaume wanaopiga mavuvuzela....? Maana nimeshindwa ku-comment kwasababu ya kucheka na karibia mbavu zangu zinavunjika lol!! Nice thread!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…