Huu msosi mpaka baada ya miaka mingine mitano. wasidhani wanakula bure, ccm wajanja sana lazima wananchi watalipa hii chakula, na itawagharimu kwa muda wa miaka mitano. chadema hatuna pilau, the comedy, wala hata maji ya kunywa lakini watu wanajaa uwanjani.Mkuu Mzee wa Rula asante sana kwa picha lakini naomba sana uongezee na hii
Kimsingi hapa mtoa thread kamwaga upupu.Nashindwa kuelewa uwezo wake wa kupambania pumba na mchele.Ukiona mtu anakumwagia pumba we fungasha virago vyako uishieInawekana ikawa vigumu kuamini, lakini ni kweli imetokea kwenye mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa kampeni za CCM jana jioni, ilipofika zamu ya mgombea ubunge wa CCM kujieleza na kuomba ridhaa ya wananchi, alimpandisha Mke wake jukwaani na kusema "MNAMUONA HUYU? HUYU NDIE MKE WANGU, MAMA KAFUMU, ALINICHAGUA MIMI NIWE MUME WAKE, KWA HIYO NA NYINYI NYOOTE FANYENI HIVYOHIVYO!" Nadhani kwa kila aliehudhuria hawezi kubisha, sasa wengi wetu tusio na ushabiki wa kupitukia tulipigwa na butwaa, yaani sijui alikuwa anataka kutufanya nini sijui, maana kama ni hao wake zetu na dada zetu wamtake yeye Kama alivyotakwa na mkewe, yenyewe ni balaa tosha, lakini sisi wanaume wenzake, marijali tuliokamilika sijui ametuweka kwenye fungu gani? Namuomba Dr Kafumu afanye uungwana kidogo atuombe radhi kwa kejeli hiyo, kwani na sisi pia tuna wake zetu waliotuona tunafaa wakatuchagua.
cho
Mimi ndiyo kinachonishangaza, yaani siasa ya bongo kuna kipindi ni kama hadithi za mahoka, yaani ni ngumu kuelewa anachukia kwa kumananisha!
<br />Mmmmh ndio Doctor huyo bhana, madokta wote wa CCM si ndio walivyo? yaani kabisa nimchague? nimchagueje? mmh mji.... kweli huyu, halafu ujue kama kawaida wakashangilia.....!!! huwa hawa watu hawafikirii hata kidogo ukishawavisha fulana na kanga kwisha habari yao!
&lt;br /&gt;<br /><br />&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
Hahahahahaha! Kweli wanamagamba wamekosa ubunifu, they always talk none sense! Alafu i hate hii tabia yao ya kuchukua wataalam na kuwaweka ktk siasa!
Huu msosi mpaka baada ya miaka mingine mitano. wasidhani wanakula bure, ccm wajanja sana lazima wananchi watalipa hii chakula, na itawagharimu kwa muda wa miaka mitano. chadema hatuna pilau, the comedy, wala hata maji ya kunywa lakini watu wanajaa uwanjani.
Mkuu mbona hawa si wanyamwezi?
Ulitaka wawe kabila gani ndipo ulidhike.Mkuu mbona hawa si wanyamwezi?
ni zaidi ya ze komedi