Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafilili au mafilifili? Siku zote majina huwa yanasadifu kufikiri kwa mtu/tabia<span style="font-family: courier new"><font size="4">Ndugu wana jamvi, huku Igunga hali ni tete kwa CDM, wamebaki kiutafuta watu vijiweni ili wajaze mkutano wao wa ufunguzi. Mgombea wao hana mvuto kwa wapiga kura, DR. Kafumu ushindani mdogo utatoka kwa mgombea wa CUF, lakini CDM mambo ni mazito, SERA zenu za kutamka POSHO hamtaki huku USIKU mkizichukua hazina tija kwa wapiga kura wa Igunga. Dr. Kafumu ni tunu kwa Igunga na kiashirio cha maendeleo ya IGUNGA. </font><br />
<br />
<font size="3"><font color="#ff0000"><b>Nipo hapa Igunga madukani muda huu, CDM kwisha kazi pamoja na matangazo ya magari juu ya ufunguzi wao leo, mwitikio ni mdogo sana! Poleni wana CDM Igunga na Arusha sehemu mbili tofauti, Huku Igunga hakuna vijana wa kuleta fujo ambao huwa wanajaza maandamano yenu na mikutano.</b></font></font><br />
</span>
swali kazi jibu kwa nini iwe cdm tu na sio chama kingine..
Unamsema Nyani Ngabu?yeah kule kumejaa wanaume wa kazi, ulitaka apokee nyani? nenda zako huko!
Ni akili yako tu ndiyo imekutuma kumfikiria hivyo, mbona hakuna tatizo, kwani kuvaa suti ndiyo kuwa na akili timamu??? mcheki mtikila sasa!!Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
picha plzNipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Mkuu, kama una namba ya simu ya Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, muulize kwa nini alilazimika kuliondoa jina lake dakika za mwisho?
Wewe huna tofauti na hawa hapa kwa tabia, dereva wa Jairo (kama CCM vile) kakanyaga breki wao wanasukuma kwa shangwe na gari haliendi.Kana kwamba haitoshi, hatua ya Makao Makuu ya CDM Jijini Dar es Salaam kumteua Mkurugenzi wa Sera na Utafiti wa Taifa wa CDM, Mwita Mwikwabe Waitara kwenda Igunga kusimamia hatua zote za kumpata mgombea ubunge wa chama hicho, nalo ni jambo jingine lililoelezwa kuwa limesababisha pande hizo mbili kukorofisha sana
<br />Kanyasu, unajua tatizo la Pro-CDM-JF, wao kila siku wanataka habari ya kuisifia CDM tu kila wakati