Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Mkuu, vipi zile Fuso za CDM zimeishafika kutoka Moshi zilikwenda kusomba watu?huku kwa kweli watu hawajajitokeza sana kwenye maandamano, japokuwa kuna watu waliletwa na bus kama 3 tatu kutoka meatu lakini wenyeji hawajajitokeza sana tusubiri mkutanoni.
heshima pesa ndevu urembo.makanisa ni machache ndio maana cdm hatushindi!
mkuu ungetupia na picha ili kusapoti maneno yako ingekuwa bomba zaidi maana kwa sisi tuliombali na igunga ndio itakuwa poa zaidi..Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Nipo igunga,kapita hapa nilipo watu wengi tayari wako kwenye maandamano ya chadema.amevaa kapelo,kaosh na kaptula utadhani mhuni fulani pale tandale.ni wazi cuf inaonekana kulemewa.sasa sijui amekuwa baunsa wa cuf? Au ndo anajifanya kukusanya taarifa? Ni kama ana kiwewe hivi.au kachanganyikiwa? Mana haingii akilini kiongozi wa taifa kama yeye kuapear hivyo.aliyeongea naye karibuni atuambie kama huyu mtu mzima.
Ukiona hivyo basi ujue CUF wamekaribia kujifungua mimba ya CCM. endelea kutujuza mkuu.
kwani alishawahi kuwa na akili timamu?
Gazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Aziz limetoa matokeo ya kura ya maoni iliyofanywa na gazeti hilo huko Igunga.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo mgombea wa ccm peter kafumu anatarajiwa kushinda kwa asilimia 44, mgombea wa CHADEMA Joseph Kashindye atakuwa wa pili kwa asilimia 36, mgombea wa CUF Leopold mahona atakuwa wa 3 kwa asilimia 11 huku asilimia 9 kati ya waliohojiwa wakiwa hawajaamua.
Utafiti huo unadai matokeo ya mwisho hayatatofautiana sana na hayo.
huu utakuwa ujinga sasa kama tutawaacha watuibie kura wakati makamda wote wata kuwa igunga...hii sababu sitaki kuisikia kabisa kuna makamanda Musoma, Arusha na Mbeya wako tayari kwenda kusimamia kura bila malipo yoyote tuwatumie...kama madiwani hawatatosha kusimamia....Kama una amini kazi yao sawa, nakubaliana nawe kuwa kuna margin ya 9 ambayo inaweza kunyanyua 36 kuwa 45!
Wasiwasi wangu ni kuwa wanataka kuiba kura na hivyo wana weka mpango hewani ili baadae waseme hata kura za maoni zilionyesha hivyo hivyo!