Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
<br />
<br />
Ha ha ha! Hicho kilikuwa ni kisingizio tu. Sasa ameenda Zanzibar kwani yeye ndiyo askari wa uokoaji? Au wale waliopo Igunga hawana uchungu na msiba? Huyu jamaa mbona aliweka wazi toka mwanzo kwamba hawezi kwenda Igunga.
Source ya kuhairisha safari ya igunga na kwenda zanzibar imewekwa, na wewe weka source aliyosema hawezi kwenda igunga sio unabwabwaja kama bata,bwa! bwa! bwa!
 
<font color="#444444"><span style="font-family: Helvetica Neue"><img src="http://a0.twimg.com/profile_images/1519392414/ZittoTwitter_normal.jpg" border="0" alt="" /></span></font><br />
<font color="#444444"><span style="font-family: Helvetica Neue"><div style="margin-left:40px"><a href="http://twitter.com/#!/zittokabwe" target="_blank">zittokabwe</a> <font color="#999999">Zitto Zuberi Kabwe</font> <font color="#999999"><br />
</font><br />
<br />
<br />
<span style="font-family: Arial">Nimeahirisha safari ya Igunga. Naenda Zanzibar kufuatia msiba huu mkubwa kwa Taifa <a href="http://twitter.com/#!/search?q=%23ZanzibarBoatAccident" target="_blank">#<b>ZanzibarBoatAccident</b></a></span><br />
<br />
<b><a href="http://twitter.com/#!/zittokabwe/status/112395243776774144" target="_blank">9 hours ago</a> <a href="http://twitter.com/#" target="_blank"><i><b>Favorite</b></i></a><i><b><a href="http://twitter.com/#" target="_blank"><i><b>Retweet</b></i></a><i><b><a href="http://twitter.com/#" target="_blank"><i><b>Reply</b></i></a></b></i></b></i></b><br />
</div></span></font>
<br />
<br />
companero mkuu nimekupata.Umetoa uthibitisho hapa jamvini.Sio kama Mzalendo anavamia na kufoka tu.Kwani ni watu wote wamesoma twiter ya zitto? Wakati mwingine tutumie busara kujibu tusichokipenda.Kila la kheri mpambanaji Zitto nitawatoa hofu na wengine.
 
MUNGU ATAWATANDIKA KWENYE KURA MANA TAIFA LINAOMBOLEZA MSIBA MKUBWA WA WAPENDWA WETU WAO WANAZINDUA MIKAMPENI YA KUCHUMIA MITUMBO YAO, ht MUNGU KESHAWACHOKA.
 
ccm, kwisha habari yake, watz wamebadilika wanataka maendeleo na si ukomedi. Pole sana mkapa pole ccm.
 
Uelekeo wa upepo ukoje kwa walioko Igunga? Hadi sasa tafiti zinaonyesha kuwa, kama kura ikipigwa leo, CCM inashinda kwa 58%, CHADEMA na CUF..... kazeni buti mazee!
 
Niko kwenye uzinduzi wa ccm.anaongelea uzuri wa sera za ccm,anamsifu sana kikwete,mchango wa tz kukomboa nchi nyingine.anapiga propaganda.eti kwa nn wanaongelea shirika la reli na ndege tu? Anasifu udom.amesema wamesema sikujenga barabara.amekwepa kusema wamesema nimefanya biashara ikulu au eti najua kagoda.amempiga dongo dr.slaa.kwa kweli ni fyongo tupu.masanja alipomaliza,umati wa watu umeondoka.anafikia hata kuuma maneno na kuönyesha kusahau point.ccm imeshindwa kwa viwango vyote kuifikia chadema kwa analysis ya mkutano wa uzinduzi.
<br />
<br />
kuna jamaa yangu ni mwl wa sekondari hapo Igunga kaniambia ameshuhudia malori kama 23 wameleta watu kutoka wilaya za jirani hasa Urambo
 
jamani wadau mliopo hapo vipi rostam yupo?je amesema nini?vipi amesema ccm inafaa kuendelea na uwakilishi wa jimbo hilo kwa sababu zipi?vipi kuhusu siasa uchwara zimeisha?na kama hayupo vipi wamesema kwanini rostam alijiuzulu?tafadhali mnijuze
 
mimi, kama 'president elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo chadema kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la igunga.

Hii ni changamoto kwa chadema na wapambe wao hapa jf, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa igunga.

Jimbo la igunga ni karata dume, ambayo ccm wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu chadema kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman mbowe au mh. Zitto kabwe. Nasema tena, kazi kwenu chadema!

nahisi ni vigumu sana kwa sasa chadema kuruhusu mamlluki kama mh...kuja kuharibu chama nashauri baki tu uko uliko njoo tukiwa magogoni nahisi kwa sasa ni mapema sana unaweza kuharibu taswira ya magogoni
 
Licha ya mafuso kuleta watu,mm mwenyewe nimepiga picha fuso nane,lakini bado uwanja haukujaa.pia jukwaa lilikuwa na uwanja mkubwa sana wazi katikati,tofauti na cdm ambao hujaa pote.ktk barabara za mjini hapakuwa na hekaheka zozote.usisahau gari la tot na jukwaa la taarabu liliziba nafasi katikati.sina sababu kudanganya hapa.rekodi ya chadema haikuvunjwa kwa vigezo vyovyote.nimepiga picha kwa cm
 
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.<br />
<br />
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.<br />
<br />
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
<br />
<br />
kwani wewe ni nani?
 
Burdani kwa tunaotoka kwenye mkutano mzito wenye hadhi ya kuhutubiwa na BIG BEN MKAPA. Pigeni porojo tu hapa JF soon nawarushia picha za kutano muone CCM inavyokualika Igunda hakuna cha CDM wala CUF hapa.
<br />
<br />
acha uongo wewe,kwani wewe ulikuwepo? Mbona watu waliohudhuria wametawanyika baada ya show ya Masanja? Nakuhakikishia mkishindwa Igunga na uongozi unafukuzwa.
 
masanja? yule jamaa wa comedy? nadhani wamejaa watoto tu! wakati watoto(below18) hawatapiga hata kura! magamba bwana!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
companero mkuu nimekupata.Umetoa uthibitisho hapa jamvini.Sio kama Mzalendo anavamia na kufoka tu.Kwani ni watu wote wamesoma twiter ya zitto? Wakati mwingine tutumie busara kujibu tusichokipenda.Kila la kheri mpambanaji Zitto nitawatoa hofu na wengine.
<br />
<br />
Hakuna maelezo ya kijitosheleza hapo. Inakuwaje siku ya uzinduzi hakuwepo, ina maana hakualikwa. Ajali imetokea leo
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
companero mkuu nimekupata.Umetoa uthibitisho hapa jamvini.Sio kama Mzalendo anavamia na kufoka tu.Kwani ni watu wote wamesoma twiter ya zitto? Wakati mwingine tutumie busara kujibu tusichokipenda.Kila la kheri mpambanaji Zitto nitawatoa hofu na wengine.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kaka kumradhi nia yangu ilikuwa kuweka sawa, sikutegemea ningemliza mtu yeyote hususan jemedari kama wewe, naomba upokee kumradhi yangu kwa roho kunjufu,tuko pamoja,asante
 
Licha ya mafuso kuleta watu,mm mwenyewe nimepiga picha fuso nane,lakini bado uwanja haukujaa.pia jukwaa lilikuwa na uwanja mkubwa sana wazi katikati,tofauti na cdm ambao hujaa pote.ktk barabara za mjini hapakuwa na hekaheka zozote.usisahau gari la tot na jukwaa la taarabu liliziba nafasi katikati.sina sababu kudanganya hapa.rekodi ya chadema haikuvunjwa kwa vigezo vyovyote.nimepiga picha kwa cm

hebu weka hapa hizo picha! yani hadi toti walikuwa huko?
 
CCM ilikuwa ni lazima wavunje rekodi, wamewakodisha wasanii wengi, wakiwepo the Orijino Comedy. Wengi wa watu watakaoenda kwenye mkutano wataenda kwa ajili ya wasanii, si kwa ajili ya ccm.
 
Niko kwenye uzinduzi wa ccm.anaongelea uzuri wa sera za ccm,anamsifu sana kikwete,mchango wa tz kukomboa nchi nyingine.anapiga propaganda.eti kwa nn wanaongelea shirika la reli na ndege tu? Anasifu udom.amesema wamesema sikujenga barabara.amekwepa kusema wamesema nimefanya biashara ikulu au eti najua kagoda.amempiga dongo dr.slaa.kwa kweli ni fyongo tupu.masanja alipomaliza,umati wa watu umeondoka.anafikia hata kuuma maneno na kuönyesha kusahau point.ccm imeshindwa kwa viwango vyote kuifikia chadema kwa analysis ya mkutano wa uzinduzi.
Kama kawaida CDM haina haja ya kuleta wasanii ili kujaza watu mkutanoni, kwakuwa CCM wameleta Ze comedy basi CUF a.k.a CCM B kwenye uzinduzi wao wawalete FUTUHI.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom