Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Nape umekwisha ulitoa pesa ili kucha picha za CHADEMA vijana wako wazidiana kete wakamwangiana tindikali ukaenda kwenye mitandao ya kijamii kusema kuwa nai CHADEMA ndiyo wamefanya kazi hiyo sasa njoo na jingine....tunajua njia ya kubandua picha za chama pinzani huwa mnaitumia sana...
Hizi ndizo siasa uchwara za kina Nape alizosema Rostam, ndio maana wazee wa CCM walimzuia Nape kwenda Igunga walijua atakwenda kuvuruga kampeni ona sasa yeye na mwigulu walivyofanya walifikiri tukio hili litavuta sympathy kwa CCM badala yeke wanajutia kitendo chao wananchi wa Igunga si wajinga wameshajua nani ka injinia mbinu hii wameapa kulipiza kwenye sanduku la kura.
 
ili tumbaini aliyehusika, lazima tuzingatie ushahidi wa kimazingira.

(i) huyo aliyemwagiwa tindikali alimwagiwa saa ngapi?

2. Alikuwa anafanya nini wakati huo?

3. Kwa nini alifanya shughuli hiyo wkt huo?

Maswali haya yakijibiwa, yatatupa baadhi ya majibu ambayo hayajibiwa
 
Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?

Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea.
Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.<br />
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora.
You are just politics as usual.

Katika busara na uzoefu ulionao unaweza kutusaidia wasomaji namna huo uchunguzi huru unavyofanyika Tanzania?
 
je umewauliza polisi wamefikia wapi katika uchunguzi wao? ama uko kazini kutetea sh.55,000.00?
Labda tutapata naalie mmwangia tindikali Kubenea maana hawajamaani ndiyo tabia zao kama siyo kukuwekea sumu kwenye mic basi utakufa kwa ajari au wata wakondisha Al shabaab ila kwasasa wamekuja na hii mpya ya kumwangia tindikali
 
Watu huwa wanamlaumu sana Kiranga akikwambia ukweli Regia lakini nimegundua kuwa Kiranga yuko Sahihi. Yaani wewe Regia umeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kujua nani amefanya tenda la kinyama la kummwagia mtu tindikali?

Hufai kuwa kiongozi wa jamii iliyoamua kuendelea.

Kiongozi anayejali maslahi ya watu anapaswa kutaka uchunguzi huru ufanyike ili yeyote aliyehusika achukuliwe hatua.
Narudia tena, kwa kitendo chako hiki cha kufanyia masihala swala la mtu kumwagiwa tindikali, Regia, hufai kuwa kiongozi wa Tanzania bora.
You are just politics as usual.
Jamani tusiwe na mahaba mpaka ya kupitiliza na kupunguza kwa mkeo!
Mwigulu kataja chadema wamehusika je alikuwa na ushahidi wa kutosha?
Ya msemakweli na kagoda si ndo kama haya!
Hebu tufikiri maisha ya kijana yatakuwaje!
dah so sad....
 
Mwisho wa ubaya ni aibu, CCM mumeua watu wengi sana kwa uroho wenu wa madaraka, sasa 40 yenu imefika.
 
I have an upmost honour and huge respect of Regia Mtema but this uncorroborative story of yours has completely changed my perception on you. I did not expect that you would be whiddled into foul politicking and spread of calumnies given the fact that you sneaked into the parliament through special seats! Your malevolence will not gain you any lucre more than seeing your reputation waned before the eyes of hoi polloi.
 
kwa hiyo according to chadema standards zinazoongozwa na regia, mmeridhika kuwa huu ni ushahidi tosha wa kumjua aliyefanya unyama wa kumwagia mtu tindikali?

Kuna dalili za dhahiri kuwa ushabiki wa kisiasa unalipeleka hili taifa mahali pabaya. Mungu atunusuru!

hiv we marcopolo, mbona maandishi yako hayaendani na sign yako?
 
Hivi Mwita25 leo yuko wapi? kweli CCM imebakia majengo tu yaani kwishnei. maana hata anti Ritz hajajitokeza hapa, chupi imewabana.
 
<font size="4"><span style="font-family: book antiqua">SIKU moja baada ya uzinduzi wa kampeni za CCM, juzi kutikisa mjini hapa, baadhi ya makada wa vyama vya upinzani wamekiri kwamba ni vigumu upinzani kushinda kiti hicho cha ubunge. Kampeni hizo zilizozinduliwa na Rais mstaafu Benjamin Mkapa na kuhudhuriwa na mamia ya wananchi, zimeibua hisia za wananchi, kutokana na mambo mbalimbali yaliyowagusa. Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina, mmoja wa makada wa CHADEMA alisema kuwa walidhani uzinduzi wa CCM ungedoda, lakini imekuwa kinyume cha matarajio yao. Alisema idadi ya watu waliohudhuria katika mkutano huo, uliwavunja nguvu za kuendelea kufanya kampeni, kwani imeonyesha dhahiri jimbo hilo bado ni mali ya CCM. <i><b><font color="#008000">“Sikufichi, pamoja na kwamba mimi naichukia CCM, lakini kwenye hili la uzinduzi halina ubishi, jamaa bado wanakubalika na kweli hapa upinzani tunasindikiza tu, kwani wale watu sio mchezo,”</font></b></i> alieleza.<br />
<br />
Alieleza kwamba pamoja na kwamba uzinduzi uliofanywa na CHADEMA Septemba 8, ulikuwa na watu, lakini ule wa CCM ulifunika mara tatu zaidi, jambo linaloonekana dhahiri kwamba upinzani una kazi ngumu. “Tutajitahidi kuendelea kufanya kampeni, lakini mpaka sasa kama hatutumii hisia za uchama, lazima ukiri kwamba jimbo hili ni la CCM, na ni ndoto kwenda upinzani,” alisisitiza. Akijibu swali juu ya kwa nini, hawakuiunga mkono CUF kutokana na mgombea wake kuwa na mtaji mkubwa kisiasa, alisema hakuna msimamo wa pamoja juu ya vyama vya upinzani, ndiyo maana kila chama kimeamua kusimamisha mgombea wake.<b><font color="#0000ff"> “Kweli mgombea wa CUF ana mtaji mkubwa kuliko wa kwetu</font><font color="#ff0000"> (CHADEMA)</font><font color="#0000FF">, na kama tungeungana ni wazi tungewaangusha CCM, lakini bado vyama vya upinzani hatujawa na sauti moja,”</font></b> alikiri.<br />
<br />
Source: Gazeti la Uhuru, Jumatatu, Septemba 12, 2011<br />
<br />
Katika hali ambayo inadhihirisha kukata tamaa kwa upinzani, juzi akizungumza na waandishi wa habari, <i><b><font color="#800080">Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Julius Mtatiro, alikiri kwamba sio rahisi kuiondoa CCM madarakani, kupitia siasa za mapambio zinazofanywa na baadhi ya vyama vya upinzani.<br />
<br />
Mtatiro alikiri kwamba CCM bado ni chama imara, kina nguvu na miundombinu mingi ya ushindi, hivyo bila kutafuta mwafaka wa pamoja wa upinzani haitakuwa na maana.<br />
<br />
“Wenzetu CHADEMA mwaka jana hawakusimamisha mgombea na sisi mgombea wetu alipata kura 11,000 tulidhani wangetuunga mkono, badala yake wamekuja kugawa kura Igunga,</font>”</b></i> alieleza.<br />
<br />
Baadhi ya wananchi walisema kwamba uzinduzi uliofanywa na CCM na kueleza sera zake, kumewafanya wananchi kuendelea kuwa na matumaini na chama hicho.<br />
<br />
“Unajua wapinzani ni watu wa ajabu sana, kila kitu kwao tatizo, hawajui hata historia ya jimbo hili, lilikuwa mwisho kwa maendeleo mkoani Tabora, lakini leo ni wa kwanza, lakini wanasema hakuna kitu kilichofanyika,” alieleza Juma Herman.<br />
<br />
Herman alisema kwamba wananchi wamekuwa wakitaka kusikia sera za vyama, lakini wanachukizwa na sera za kutukana viongozi wa kitaifa na kupakana tope, kitu ambacho hakiwasaidii wananchi.<br />
<br />
“Hivi mtu akisema huyu mbaya, mwananchi anajua ubaya wake nini... ni bora wakaeleza sera na namna ya kuwasaidia wananchi, lakini wao matusi na maandamano, ambayo hayana faida kwetu,” alieleza.<br />
<br />
Alisema CCM itaendelea kuongoza jimbo hilo na kushika dola kutokana na mikakati yake imara ya kuwaondolea wananchi umasikini na kuwahimiza katika kufanya kazi kuliko kuandamana.<br />
<br />
Katika uzinduzi wa kampeni hizo, Mkapa aliwataka wananchi kuwapuuza CHADEMA kutokana na kukosa sera nzuri za kuendeleza nchi zaidi ya kuandamana bila kutoa sera mbadala.<br />
<br />
Katika hatua nyingine, baadhi ya vijana wamelaani kitendo kilichofanywa na wafuasi wa CHADEMA cha kummwagia tindikali kijana mwenzao.<br />
<br />
Jacob Maduhu (25) alisema kwamba kitendo hicho kimewasikitisha vijana na imekuwa matusi kwao kutokana na chama hicho kujitangaza kwamba ni mkombozi wa vijana.<br />
<br />
“Hivi mkombozi wa vijana anaweza kuwaua vijana, hapana hiki ni chama cha mauaji, huwezi kumuharibia maisha kijana unayetaka kumkomboa kwa kumwagia tindikali,” alisema Mahudu.<br />
<br />
Naye Salma Hamisi alisema kwamba amekuwa haelewi maana ya nguvu ya umma inayohubiriwa na chama hicho, kumbe maana yake ni kuangamiza umma kwa tindikali.<br />
<br />
“Kila siku utasikia nguvu ya umma, hawaelezi sera zao, wao ni fujo na maandamano na kuwapiga wanaopingana nao, hizi ni siasa za wapi, maana waasisi wa taifa walitujengea siasa nzuri,
..ushasema gazeti la uhuru,kwel unafkir kuptia masaburi,post kama hv mc2wekee jf,kuokoteza wa2 kwa nguvu ya sh ndo kukubalika?2ondoleen siasa maj taka,mmeumia mapota nyie
 
i have an upmost honour and huge respect of regia mtema but this uncorroborative story of yours has completely changed my perception on you. I did not expect that you would be whiddled into foul politicking and spread of calumnies given the fact that you sneaked into the parliament through special seats! Your malevolence will not gain you any lucre more than seeing your reputation waned before the eyes of hoi polloi.

kwan kasemaje? Mbona hajasema chochote? C katoa picha za kituo cha tv tu?
 
I have an upmost honour and huge respect of Regia Mtema but this uncorroborative story of yours has completely change my perception on you. I did not expect that you would be whiddled into foul politicking and spread of calumnies given the fact that you sneaked into the parliament through special seats! Your malevolence will not gain you any lucre more than seeing your reputation waned before the eyes of hoi polloi.
Ingia kwa ile ID yako halisi ya Mwita25, kwa nini unaogopa unaingia kivingine? kwisha habari yenu na sasa subilini hukumu kutoka kwa wananchi wa Igunga, halafu naomba nikushauri hii fake English yako peleka kwa washamba wenzako kama wewe na sio hapa JF.
 
Nduguyangu Nape unakazi kweli ,Watanzania wa sasa si wale wazamani
 
Napita tu!
Sasa wewe Napeee, siasa chafu za kufanyia jaribio la tindikali kwenye mwili wa huyu kijana masikini mwenzetu wa Igunga mbona hata baba yako Mzee wako Moses Nauye angekwepo asingekuunga mkono katika 'huu UZABIZABINA' (Rweyemamu wa Ikulu et al, 2011)
 
ni wilaya ya masasi, maana ccm wao style yao sehemu ambazo ziko nyuma kimaendeleo ndio huwa wanapelekwa watu wajinga ili kudumaza maendeleo.

nakushukuru ndugu, kwa sasa kapelekwa nani au nape bado ana ajila mbili?
 
If multitude gatherings is a sign and and guarantee for victory, then Chadema would have been lucky. But this is not the case since voters are looking for sound policies and substantial manifesto, both of which features CCM has. So hoping that Chadema will snatch a victory from Igunga bi-election is nothing but a chimera.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom