STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,771
- 553
Kwa hali inavyoenda RAI lazima wataondoa hii opinion polls kwenye site yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamchukia kwa kuleta video au una jingine nafikiri hizo ni bifu zako za zamani.I have an upmost honour and huge respect of Regia Mtema but this uncorroborative story of yours has completely changed my perception on you. I did not expect that you would be whiddled into foul politicking and spread of calumnies given the fact that you sneaked into the parliament through special seats! Your malevolence will not gain you any lucre more than seeing your reputation waned before the eyes of hoi polloi.
ngoshwe maneno ya nape ni yapi akaunti yake haifunguki.Haya ni maneno ya Nape kwenye Facebook:
Nape Nnauye
.....Maneno ya Dr.feki aliyesoma Italy na kujifunza vizuri juu ya Redbriged ukiyasikia na kumwangalia muathirika, utashangaa kama anayesema ni binadamu....!!!!
Wakuu wa wilaya na wa mikoa hawana kazi yoyote ndio maana mpaka leo Dar es salaam haina mkuu wa mkoa, Nape tangu alipoteuliwa kuwa Al Sahaf wa ccm basi ndio ukuu wa wilaya uliishia pale.nakushukuru ndugu, kwa sasa kapelekwa nani au nape bado ana ajila mbili?
Maneno ya Nape si hayo anamponda Dr Slaa kwamba ni feki, sasa sijui yule Dr mkwerre mwenye phd za kupewa tumuitaje! huyu anatumia kijambio kufikiri.ngoshwe maneno ya nape ni yapi akaunti yake haifunguki.
Ungaliwatosha, Ubomgo!! Teh teh the..Ahahahaha!Mkuu usipoteze energy yako kulijibu jitu zuzu na mbumbumbu wa kutupwa, watu kama hawa hawakupaswa kuwa na "(ubomgo)" kwani uti wa mgongo tu "(ungaliwatosha,)" maana kazi ya ubongo ni kufikiri vizuri
Nasikia yuko kifungoni.....Hivi Mwita25 leo yuko wapi? kweli CCM imebakia majengo tu yaani kwishnei. maana hata anti Ritz hajajitokeza hapa, chupi imewabana.
Huyo ni Mwita25 anaogopa kuingia kwa ile ID yake maana magamba wote leo aibu, kwanza wamefanya uzinduzi jumamosi huku wakijuwa Taifa lina msiba mkubwa, kweli nimeamini mungu akitaka kuziondowa tawala za kidikteta basi uzinyima maono.Unamchukia kwa kuleta video au una jingine nafikiri hizo ni bifu zako za zamani.
chadema hamna kulala hadi kieleweke
kama wamefungua kesi zidi ya CHADEMA waupeleke mahakamani lakini ukiupeleka polisi ujue na kesi inaishia hapo hapo...Thanx mwana JFs kw kutuletea habar hiyo nzuri, but mngeupeleka ushahidi Police kw hatua zaidi....,
safari imeanza ya kuusaka ushindi, CDM kuweni mfano wa kuigwa....
wana Igunga wanapata chance ya kuijua Govt ya CCM inavyoendesha siasa chafu hapa bongo.