Shenkalwa
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 580
- 132
Binafsi naiunga mkono CHADEMA lakini si kama Kipofu. Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kwamba CCM si mama yake wala si dini yake. Hata mimi CHADEMA si mama yangu wala si dini yangu lakini ni chama ninachokiunga mkono toka moyoni mwangu.
Hii ya kada Wa CHADEMA aliitoA JANA....nI MATUMAINI YANGU SIKU YA KUPIGA KURA ATAKUWA CCM baada ya kusikia hili la Wafuasi wa chadema kumwalibia mpigakura wa nchi hii,chama kinachohubiri demokrasia hakikubali kushindwa ndipo napo shakaaa.
CCM kinabaki chama bora,kinachoheshimu matakwa ya watu wengi...
Kuishi kwingi kuona mengi. Sasa huyu anazungumzia nini?? nimemsoma tangu mwanzo mpaka mwisho simuelewi!!