Uchaguzi KKKT: Askofu Malasusa achaguliwa kuwa Askofu Mkuu wa KKKT kuchukua nafasi ya Dkt. Fredrick Shoo

Uchaguzi KKKT: Askofu Malasusa achaguliwa kuwa Askofu Mkuu wa KKKT kuchukua nafasi ya Dkt. Fredrick Shoo

[emoji1787][emoji1787]mbeya imeongea
Mchagga haaminiki [emoji1787][emoji1787]
Umeandika kishabiki...Askofu Shoo hajafukuzwa wala hajagombea kwa maana Amemaliza Muda wake kikatiba

Na hakuna mchaga yeyote aliyegombea ...kama wangekuwa hawaaminiki Basi Shoo asingeshinda uchaguzi wa 2015 Na 2019 tena chini ya serikali iliyokuwa haimtaki....
 
Usiku huu Mkutano Mkuu wa KKKT umemchagua Kwa mara ya pili Askofu Alex Malasusa Kuongoza Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania ! Katika na Uchaguzi uliofanyika usiku huu. Be Malasusa amepata asilimia takribani 69 ya Kura! Akimshinda Askofu Abednego Keshomshahara,aliyepata asilimia 30!

Hii ni mara ya pili Kwa Bwana Malasusa Kuongoza Kanisa hili ,Kwani ndiye aliyemwachia kiti Dk Frederek Shoo!
Kuna usemi wake maarufu aliwahi kusema...Tanzania Kuna Wapumbavu wengi sana,Nyerere alifuta ujinga akasahau Upumbavu!🤔
 
Malasusa amepata kura 167 ambazo ni asilimia 64 ya kura zote zilizopigwa

Askofu malasusa alikuwa anagombea dhidi ya askofu Abednego Keshomshahara wa Dayosisi ya Bukoba aliyepata kura 73 na Askofu Dr George Fihavango wa Dayosisi ya Njombe aliyeshindwa katika duru ya kwanza.

furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.’’
Hivi Askof M. Mwamakula ni dhehebu gani huyo?
Hiko kichwa kipo njema sana.
 
Malasusa amepata kura 167 ambazo ni asilimia 64 ya kura zote zilizopigwa

Askofu malasusa alikuwa anagombea dhidi ya askofu Abednego Keshomshahara wa Dayosisi ya Bukoba aliyepata kura 73 na Askofu Dr George Fihavango wa Dayosisi ya Njombe aliyeshindwa katika duru ya kwanza.

Hii itaakuwa ni mara ya pili kwa Askofu malasusa kuwa mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kiliteri Tanzania (KKKT) tangu alipochaguliwa kwa mara ya kwanza mwaka 2007, hadi mwaka 2015 ambapo alimuachia kijiti askofu Fredrick shoo ambaye ameongoza kwa kipindi cha miaka nane.

Hongera Askofu Malasusa, Hongera KKKT.
---

Mkutano Mkuu wa 21 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) umemchagua Askofu Alex Malasusa kuwa mkuu mteule wa KKKT.

Askofu Malasusa wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani anachukua nafasi ya Askofu Fredrick Shoo aliyemaliza muda wake wa uongozo wa awamu mbili.

Anarejea tena kwenye nafasi hiyo aliyoihudumu kuanzia 2007-2015 alipomaliza na nafasi yake ikiongozwa na Askofu Shoo.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo mwenyekiti wa uchaguzi huo,Askofu Amon Mwenda,amesema kura zilizopigwa zilikuwa 241 ambapo kati ya hizo Malasusa amepata kura 167 sawa na asilimia 69.3 huku Askofu Abednego Kesho Mshahara akipata kura 73 sawa na asilimia 30.3

Askofu Malasusa alizaliwa Aprili 18, 1961; katika kijiji cha Kiwira Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya.

Ni mtoto wa pili katika familia ya watoto nane ya Marehemu Mchungaji Gehaz Japhet Malasusa na Subilaga Timoth Malasusa.

Askofu Malasusa amewahi kuwa Mkuu wa Kanisa kwa miaka 8 tangu 2007 hadi 2016 na Mkuu wa Chuo Kikuu Tumaini Makumira kwa kipindi chote.

Mstari wa Biblia anaoupenda ni Yohana 3:30 ‘’Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.’’
Ndugu yake Mwabukusi ameingia kazin😆😆
 
Sina imani nae kivile.. namuona ni kijani damu... Mungu nisamehe lkn haukuwa wakati sahihi kumchagua

Sure Jamaa ana elements za ukijani ,asije kuifanya KKKT kama BAKWATA ,afuate nyendo za Shoo ambaye alikuwa hafungamani na upande wowote anasimamia ukweli.
 
Malasusa amepata kura 167 ambazo ni asilimia 64 ya kura zote zilizopigwa

Askofu malasusa alikuwa anagombea dhidi ya askofu Abednego Keshomshahara wa Dayosisi ya Bukoba aliyepata kura 73 na Askofu Dr George Fihavango wa Dayosisi ya Njombe aliyeshindwa katika duru ya kwanza.

Hii itaakuwa ni mara ya pili kwa Askofu malasusa kuwa mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kiliteri Tanzania (KKKT) tangu alipochaguliwa kwa mara ya kwanza mwaka 2007, hadi mwaka 2015 ambapo alimuachia kijiti askofu Fredrick shoo ambaye ameongoza kwa kipindi cha miaka nane.

Hongera Askofu Malasusa, Hongera KKKT.
---

Mkutano Mkuu wa 21 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) umemchagua Askofu Alex Malasusa kuwa mkuu mteule wa KKKT.

Askofu Malasusa wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani anachukua nafasi ya Askofu Fredrick Shoo aliyemaliza muda wake wa uongozo wa awamu mbili.

Anarejea tena kwenye nafasi hiyo aliyoihudumu kuanzia 2007-2015 alipomaliza na nafasi yake ikiongozwa na Askofu Shoo.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo mwenyekiti wa uchaguzi huo,Askofu Amon Mwenda,amesema kura zilizopigwa zilikuwa 241 ambapo kati ya hizo Malasusa amepata kura 167 sawa na asilimia 69.3 huku Askofu Abednego Kesho Mshahara akipata kura 73 sawa na asilimia 30.3

Askofu Malasusa alizaliwa Aprili 18, 1961; katika kijiji cha Kiwira Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya.

Ni mtoto wa pili katika familia ya watoto nane ya Marehemu Mchungaji Gehaz Japhet Malasusa na Subilaga Timoth Malasusa.

Askofu Malasusa amewahi kuwa Mkuu wa Kanisa kwa miaka 8 tangu 2007 hadi 2016 na Mkuu wa Chuo Kikuu Tumaini Makumira kwa kipindi chote.

Mstari wa Biblia anaoupenda ni Yohana 3:30 ‘’Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.’’
Mungu awaongoze makaasisi wetu
 
Katoliki maaskofu wanapigiwa Kura? Au wanapiga bila kupingwa?
Kanisa Katoliki hufuata biblia, historia na mapokeo. Hakuna uchaguzi wa maaskofu wala mapadre wala mashemasi. Maaskofu huteuliwa na Papa. Na wala hawana kipindi maalum cha kuhudumu.

Did the apostles appoint bishops?

In this context, Clement explicitly states that the apostles appointed bishops as successors and directed that these bishops should in turn appoint their own successors; given this, such leaders of the Church were not to be removed without cause and not in this way.

Who appointed the first bishop?

SO, Who was the First Bishop of Rome? According to the second-century Irenaeus, it was a man named Linus, who was appointed to the office by Peter and Paul (Against Heresies 3, 3, 3).

How do priests become bishops?

According to the Church's law, a bishop must be “outstanding in solid faith, good morals, piety, zeal for souls, wisdom, prudence and human virtues.” In addition, he should be of good reputation, at least 35 years old, ordained a priest at least five years earlier and in possession of a doctorate or licentiate
 
Back
Top Bottom