Umeandika kishabiki...Askofu Shoo hajafukuzwa wala hajagombea kwa maana Amemaliza Muda wake kikatiba[emoji1787][emoji1787]mbeya imeongea
Mchagga haaminiki [emoji1787][emoji1787]
Kwa Malasusa HAPANA KWA KWELI.Kwamba atawatandika viboko au?
Kwa maana hana cha kuwafanya kwa sababu kanisani siyo serikalini kwamba atawanyima miradi ya maendeleo..kwa maana kila Dayosisi ina bajeti yake...
Kura umepiga?Kwa Malasusa HAPANA KWA KWELI.
#YNWA
Bagonza hajagombea kabisa
Hivi Askof M. Mwamakula ni dhehebu gani huyo?Malasusa amepata kura 167 ambazo ni asilimia 64 ya kura zote zilizopigwa
Askofu malasusa alikuwa anagombea dhidi ya askofu Abednego Keshomshahara wa Dayosisi ya Bukoba aliyepata kura 73 na Askofu Dr George Fihavango wa Dayosisi ya Njombe aliyeshindwa katika duru ya kwanza.
furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.’’
Kadinali anateuliwa na Vatican, Pope anapelekewa majina na cvs ata uaskofu ndani ya katoliki ni Vatican ndiyo inateua alafu anasimikwaKatoliki maaskofu wanapigiwa Kura? Au wanapiga bila kupingwa?
Ni morovian Uamsho, nikundi lililojotenga kutoka Kwa MorovianHivi Askof M. Mwamakula ni dhehebu gani huyo?
Hiko kichwa kipo njema sana.
Ndugu yake Mwabukusi ameingia kazin😆😆Malasusa amepata kura 167 ambazo ni asilimia 64 ya kura zote zilizopigwa
Askofu malasusa alikuwa anagombea dhidi ya askofu Abednego Keshomshahara wa Dayosisi ya Bukoba aliyepata kura 73 na Askofu Dr George Fihavango wa Dayosisi ya Njombe aliyeshindwa katika duru ya kwanza.
Hii itaakuwa ni mara ya pili kwa Askofu malasusa kuwa mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kiliteri Tanzania (KKKT) tangu alipochaguliwa kwa mara ya kwanza mwaka 2007, hadi mwaka 2015 ambapo alimuachia kijiti askofu Fredrick shoo ambaye ameongoza kwa kipindi cha miaka nane.
Hongera Askofu Malasusa, Hongera KKKT.
---
Mkutano Mkuu wa 21 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) umemchagua Askofu Alex Malasusa kuwa mkuu mteule wa KKKT.
Askofu Malasusa wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani anachukua nafasi ya Askofu Fredrick Shoo aliyemaliza muda wake wa uongozo wa awamu mbili.
Anarejea tena kwenye nafasi hiyo aliyoihudumu kuanzia 2007-2015 alipomaliza na nafasi yake ikiongozwa na Askofu Shoo.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo mwenyekiti wa uchaguzi huo,Askofu Amon Mwenda,amesema kura zilizopigwa zilikuwa 241 ambapo kati ya hizo Malasusa amepata kura 167 sawa na asilimia 69.3 huku Askofu Abednego Kesho Mshahara akipata kura 73 sawa na asilimia 30.3
Askofu Malasusa alizaliwa Aprili 18, 1961; katika kijiji cha Kiwira Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya.
Ni mtoto wa pili katika familia ya watoto nane ya Marehemu Mchungaji Gehaz Japhet Malasusa na Subilaga Timoth Malasusa.
Askofu Malasusa amewahi kuwa Mkuu wa Kanisa kwa miaka 8 tangu 2007 hadi 2016 na Mkuu wa Chuo Kikuu Tumaini Makumira kwa kipindi chote.
Mstari wa Biblia anaoupenda ni Yohana 3:30 ‘’Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.’’
Hivi Askof M. Mwamakula ni dhehebu gani huyo?
Hiko kichwa kipo njema sana.[/QUOTE
Sina imani nae kivile.. namuona ni kijani damu... Mungu nisamehe lkn haukuwa wakati sahihi kumchaguaMalasusa afate nyayo za Dr Shoo ,asiifanye KKKT kama BAKWATA.
Sina imani nae kivile.. namuona ni kijani damu... Mungu nisamehe lkn haukuwa wakati sahihi kumchagua
Mungu awaongoze makaasisi wetuMalasusa amepata kura 167 ambazo ni asilimia 64 ya kura zote zilizopigwa
Askofu malasusa alikuwa anagombea dhidi ya askofu Abednego Keshomshahara wa Dayosisi ya Bukoba aliyepata kura 73 na Askofu Dr George Fihavango wa Dayosisi ya Njombe aliyeshindwa katika duru ya kwanza.
Hii itaakuwa ni mara ya pili kwa Askofu malasusa kuwa mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kiliteri Tanzania (KKKT) tangu alipochaguliwa kwa mara ya kwanza mwaka 2007, hadi mwaka 2015 ambapo alimuachia kijiti askofu Fredrick shoo ambaye ameongoza kwa kipindi cha miaka nane.
Hongera Askofu Malasusa, Hongera KKKT.
---
Mkutano Mkuu wa 21 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) umemchagua Askofu Alex Malasusa kuwa mkuu mteule wa KKKT.
Askofu Malasusa wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani anachukua nafasi ya Askofu Fredrick Shoo aliyemaliza muda wake wa uongozo wa awamu mbili.
Anarejea tena kwenye nafasi hiyo aliyoihudumu kuanzia 2007-2015 alipomaliza na nafasi yake ikiongozwa na Askofu Shoo.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo mwenyekiti wa uchaguzi huo,Askofu Amon Mwenda,amesema kura zilizopigwa zilikuwa 241 ambapo kati ya hizo Malasusa amepata kura 167 sawa na asilimia 69.3 huku Askofu Abednego Kesho Mshahara akipata kura 73 sawa na asilimia 30.3
Askofu Malasusa alizaliwa Aprili 18, 1961; katika kijiji cha Kiwira Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya.
Ni mtoto wa pili katika familia ya watoto nane ya Marehemu Mchungaji Gehaz Japhet Malasusa na Subilaga Timoth Malasusa.
Askofu Malasusa amewahi kuwa Mkuu wa Kanisa kwa miaka 8 tangu 2007 hadi 2016 na Mkuu wa Chuo Kikuu Tumaini Makumira kwa kipindi chote.
Mstari wa Biblia anaoupenda ni Yohana 3:30 ‘’Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.’’
Kanisa Katoliki hufuata biblia, historia na mapokeo. Hakuna uchaguzi wa maaskofu wala mapadre wala mashemasi. Maaskofu huteuliwa na Papa. Na wala hawana kipindi maalum cha kuhudumu.Katoliki maaskofu wanapigiwa Kura? Au wanapiga bila kupingwa?