Uchaguzi Malawi 2020: Hongereni wana wa Malawi, hakika nyie mnaongoza taifa huru

Uchaguzi Malawi 2020: Hongereni wana wa Malawi, hakika nyie mnaongoza taifa huru

Kikubwa wamalawi wamekataa ubeberu kama sisi Watanzania tunavyomuunga mkono Rais Magufuli kupinga ubeberu na kutetea Watanzania
You're a man made puppet and a boot licker.

Malawi wana demokrasia ya kweli na hawajaanza leo kubadili marais hivyo acha ushamba.

Kule Returning Officers sio wakurugenzi wa halmashauri za wilaya na tume ya uchaguzi ina watumishi wake wanaowajibika kwake kwa asilimia mia moja, sasa hizo kura mtaibaje na polisi sio vibaraka wa wanasiasa au hata rais.
 
Ukishindwa hoja, uungwana ni kukaa kimya au kukubali lakini siyo kuongea Uongo ili kuipa nguvu hoja yako. Hapo ukiambiwa uthibitishe jinsi polisi walivyokimbia na hayo masanduku ya kura utaanza kujambajamba.
Kuna ubishi mwingine ni wa kijinga tu, sasa nani asiyejua jinsi polisi walivyofanya uhuni katika uchaguzi mdogo wa Kinondoni na zingine nyingi tu.

Nchi hii haina uchaguzi na wanachofanya ni kuharibu tu pesa za wananchi maskini wa nchi hii.
 
Kuondoa chama tawala waafrika wanaona bora la issue.
 
Kuna ubishi mwingine ni wa kijinga tu, sasa nani asiyejua jinsi polisi walivyofanya uhuni katika uchaguzi mdogo wa Kinondoni na zingine nyingi tu.

Nchi hii haina uchaguzi na wanachofanya ni kuharibu tu pesa za wananchi maskini wa nchi hii.
Siyo ubishi wa kijinga wewe ndo unaleta accusations za kijinga. Yaani useme tu polisi walibeba masanduku ya kura then unataka kila mtu aamini. Hakuna ushahidi wowote wala hizo tuhuma hazijawahi kupelekwa mahakamani wala popote kule. Halafu unasema hakuna mtu asiejua, ndo maana mnaitwa upinzani wa hovyo kutokana na mambo kama haya.
 
Hapa kwetu mahakama na vyombo vya dola wanatumia nafasi zao kukilinda chama tawala. Tunaona mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, kwa uratibu wa jeshi la polisi!
 
Kikubwa wamalawi wamekataa ubeberu kama sisi Watanzania tunavyomuunga mkono Rais Magufuli kupinga ubeberu na kutetea Watanzania
Una kazi ngumu sana.

Kutwa/kucha ukiwa JF ukitegea kila mada inayowekwa uweke taka zako!

Wanaopewa uDC/RC mbona wanaishi maisha nafuu zaidi yako?

Umewahi kujiuliza sababu inayokufanya usiteuliwe nawe ule kuku kwa mrija kuliko usumbufu huu?
 
Ukishindwa hoja, uungwana ni kukaa kimya au kukubali lakini siyo kuongea Uongo ili kuipa nguvu hoja yako. Hapo ukiambiwa uthibitishe jinsi polisi walivyokimbia na hayo masanduku ya kura utaanza kujambajamba.

Kwa taarifa yako hilo tukio tuliliona kwa macho yetu live kupitia kituo cha ITV. Na kilichofuata ni kukipa vitisho kituo cha ITV, na siku hiyo ndio ikawa mwisho wa matangazo live toka vituo vya kura.

Mambo yote kama hayo yalifanyika kwenye chaguzi zote za marudiano, na yalikuwa yanaratibiwa na polisi, kwa kushirikiana na tume ya uchaguzi.

Ndio maana wananchi sasa hivi hawana muda tena wa kujitokeza kujiandikisha kupiga kura, kwani huo uhayawani ulikuwa unafanyika mbele ya macho yao.

Nawashangaa sana wapinzani kusema wanashiriki uchaguzi huu, huku mwenendo ukiwa ni huu huu mpaka sasa bila tume huru ya uchaguzi. Sisi wananchi tunaojitambua tunaendelea kuhamasishana kujitokeza kupiga kura, na tutaandamana kupinga uchaguzi huu wa kihuni.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji2]ufipa nyinyi kwa nyinyi mnapingana
Kwa taarifa yako hilo tukio tuliliona kwa macho yetu live kupitia kituo cha ITV. Na kilichofuata ni kukipa vitisho kituo cha ITV, na siku hiyo ndio ikawa mwisho wa matangazo live toka vituo vya kura. Mambo yote kama hayo yalifanyika kwenye chaguzi zote za marudiano, na yalikuwa yanaratibiwa na polisi, kwa kushirikiana na tume ya uchaguzi. Ndio maana wananchi sasa hivi hawana muda tena wa kujitokeza kujiandikisha kupiga kura, kwani huo uhayawani ulikuwa unafanyika mbele ya macho yao.

Nawashangaa sana wapinzani kusema wanashiriki uchaguzi huu, huku mwenendo ukiwa ni huu huu mpaka sasa bila tume huru ya uchaguzi. Sisi wananchi tunaojitambua tunaendelea kuhamasishana kujitokeza kupiga kura, na tutaandamana kupinga uchaguzi huu wa kihuni.
 
Kwa taarifa yako hilo tukio tuliliona kwa macho yetu live kupitia kituo cha ITV. Na kilichofuata ni kukipa vitisho kituo cha ITV, na siku hiyo ndio ikawa mwisho wa matangazo live toka vituo vya kura. Mambo yote kama hayo yalifanyika kwenye chaguzi zote za marudiano, na yalikuwa yanaratibiwa na polisi, kwa kushirikiana na tume ya uchaguzi. Ndio maana wananchi sasa hivi hawana muda tena wa kujitokeza kujiandikisha kupiga kura, kwani huo uhayawani ulikuwa unafanyika mbele ya macho yao.

Nawashangaa sana wapinzani kusema wanashiriki uchaguzi huu, huku mwenendo ukiwa ni huu huu mpaka sasa bila tume huru ya uchaguzi. Sisi wananchi tunaojitambua tunaendelea kuhamasishana kujitokeza kupiga kura, na tutaandamana kupinga uchaguzi huu wa kihuni.
Leteni ushahidi hapa acheni maneno. Eti mmeona kwa macho yenu ITV, macho yenu we nanani? Mbona msiende mahakamani mkapeleka huo ushahidi wenu wa ITV.

Halafu unataka eti DJ asusie Uchaguzi, then baada ya hapo hicho chama kitakua kinafanya shughuli gani? DJ atapiga wapi dili zake? Labda ukaanzishe chama chako halafu kisirishiriki uchaguzi kibakie humu IF.
 
Leteni ushahidi hapa acheni maneno. Eti mmeona kwa macho yenu ITV, macho yenu we nanani? Mbona msiende mahakamani mkapeleka huo ushahidi wenu wa ITV.

Halafu unataka eti DJ asusie Uchaguzi, then baada ya hapo hicho chama kitakua kinafanya shughuli gani? DJ atapiga wapi dili zake? Labda ukaanzishe chama chako halafu kisirishiriki uchaguzi kibakie humu IF.

Sio kwamba nimekuambia hilo kwamba halina ushahidi, na kwa taarifa yako hata serikali haitaki liongelewe, kutokana na ukakasi wake. Huo uhayawani ndio ulipelekea kusitisha matangazo yote live ya uchaguzi, kwani wanajua nini kilikuwa kinafanyika kwenye vituo vya kura. Mahakama kwa sasa chini ya awamu ya tano, ni sehemu ya hizi hujuma. Ni hakimu gani asiyejua kundi la watu wasiojulikana?

Huyo DJ Hana ulazima wowote wa kususia uchaguzi, lakini ni wapi atapata wapiga kura? Wapiga kura wa ccm hawana cha kuogopa, maana wao ni wanufaika kwa hizi chaguzi za kishenzi. Je wapinzani watapata nini? Sisi wapiga kura wengi wa upinzani tunaojitambua, hatuko tayari kupiga kura chini ya tume hii isiyo huru ya uchaguzi. Na tunaendelea kushawishi watu wengi kutokupiga kura chini ya tume hii, na hilo tunafanikiwa sana. Kama ni maandamano ya amani kwa ajili ya kudai tume huru ya uchaguzi tutashiriki, na sio zaidi ya hapo. Tumechoka kupata viongozi wasio na ridhaa yetu.
 
hongera sana Malawi, keep it up!

mimi ni kijani shabiki wa Magu kindakindaki ila napenda sana tushinde kwa haki au kwa magoli ya mkono na tusiwapige na tusiumize wapinzani,sababu Magu kafagia uchafu wote wapinzani hawana ajenda yoyote tena wanaweweseka tu!

ukweli nachukia mno kusikia Tunda Lisse kapigwa risasi na DJ kavunjwa mguu wakati hawa ni mbu tu wanaepiga kelele nje ya chandarua, yule DJ ni mlevi, mzinzi hawara wa Joy na mwizi wa ruzuku na michango ya saccos yake , hana madhara yoyote!!

nashauri tuwabambikie kesi lukuki wapinzani za uchochezi uhaini wizi rushwa na utakatishaji pesa kesi zisiishe ziwe bandika bandua wapinzani wawe wanashinda mahakamani na baadae kila mwisho wa kesi tuwe tunawapiga faini kubwa kubwa tu mfano kama zile faini zilizopita sikuridhika nazo kabisa walilipa fasta faini zile zilipaswa kuwa mara mbili yake maana waliua Akwilina wale waropokaji na mawakala wa mabeberu wanatakiwa watulie!

nashauri Zana za Kilimo ( ZZK) aende kujifunza Malawi imewezekanaje upinzani kushinda!! akirudi bongo aanze kuandaa harakati hizo za ushindi kama Martin Luther King vile sababu kwetu hapa mizizi imeotea nchi kavu na kuelekea hadi baharini hatung’oki madarakani kirahisi! Mwami aje awaandalie mazingira ya ushindi wajukuu zake!
 
Sio kwamba nimekuambia hilo kwamba halina ushahidi, na kwa taarifa yako hata serikali haitaki liongelewe, kutokana na ukakasi wake. Huo uhayawani ndio ulipelekea kusitisha matangazo yote live ya uchaguzi, kwani wanajua nini kilikuwa kinafanyika kwenye vituo vya kura. Mahakama kwa sasa chini ya awamu ya tano, ni sehemu ya hizi hujuma. Ni hakimu gani asiyejua kundi la watu wasiojulikana?

Huyo DJ Hana ulazima wowote wa kususia uchaguzi, lakini ni wapi atapata wapiga kura? Wapiga kura wa ccm hawana cha kuogopa, maana wao ni wanufaika kwa hizi chaguzi za kishenzi. Je wapinzani watapata nini? Sisi wapiga kura wengi wa upinzani tunaojitambua, hatuko tayari kupiga kura chini ya tume hii isiyo huru ya uchaguzi. Na tunaendelea kushawishi watu wengi kutokupiga kura chini ya tume hii, na hilo tunafanikiwa sana. Kama ni maandamano ya amani kwa ajili ya kudai tume huru ya uchaguzi tutashiriki, na sio zaidi ya hapo. Tumechoka kupata viongozi wasio na ridhaa yetu.
We jamaa siku zote unaongeaga vitu vya kufirika sana. Eti Serikali haitaki hili suala liongelewe [emoji23][emoji23][emoji23] wapi na lini ilisema lisiongelewe!! Halafu wewe ni nani katika nchi hii mpaka ushawishi watu wasipige kura, tena unadai mmefanikiwa sana, umefanikiwa wapi? Yaani hata uchaguzi haujafanyika tayari mmefanikiwa kushawishi watu wasipige kura [emoji23][emoji23]
 
We jamaa siku zote unaongeaga vitu vya kufirika sana. Eti Serikali haitaki hili suala liongelewe [emoji23][emoji23][emoji23] wapi na lini ilisema lisiongelewe!! Halafu wewe ni nani katika nchi hii mpaka ushawishi watu wasipige kura, tena unadai mmefanikiwa sana, umefanikiwa wapi? Yaani hata uchaguzi haujafanyika tayari mmefanikiwa kushawishi watu wasipige kura [emoji23][emoji23]

Kitisho walichopewa kituo cha ITV kwa kurusha tangazo lile sio cha nchi hii. Kulitokea lugha za kuwatisha ITV, kuwa wametoa taarifa yenye kuzua taharuki bila kuwasiliana na NEC. Na kwa vitisho vikubwa walivyopata, walishurutishwa kuomba radhi kwa kuonyesha tukio lile.

Kwenye taifa hili mimi ni raia nisiyependa uonevu, wala kuunga mkono uovu. Kupiga kura ni hatua ya mwisho ya uchaguzi, kujiandikisha ndio hatua za awali. Je umewahi kuona misururu ya watu kujiandikisha, au kuhakiki kupiga kura? Umeona hamasa yoyote ya watu kuelekea uchaguzi? Subiri uone idadi ya wapiga kura watakavyokuwa wachache vituoni uchaguzi huu. Hii yote ni kuwa wananchi wameshaamka, hawako tayari tena kushurutishwa kuchaguliwa viongozi kwa nguvu ya dola.
 
Kitisho walichopewa kituo cha ITV kwa kurusha tangazo lile sio cha nchi hii. Kulitokea lugha za kuwatisha ITV, kuwa wametoa taarifa yenye kuzua taharuki bila kuwasiliana na NEC. Na kwa vitisho vikubwa walivyopata, walishurutishwa kuomba radhi kwa kuonyesha tukio lile.

Kwenye taifa hili mimi ni raia nisiyependa uonevu, wala kuunga mkono uovu. Kupiga kura ni hatua ya mwisho ya uchaguzi, kujiandikisha ndio hatua za awali. Je umewahi kuona misururu ya watu kujiandikisha, au kuhakiki kupiga kura? Umeona hamasa yoyote ya watu kuelekea uchaguzi? Subiri uone idadi ya wapiga kura watakavyokuwa wachache vituoni uchaguzi huu. Hii yote ni kuwa wananchi wameshaamka, hawako tayari tena kushurutishwa kuchaguliwa viongozi kwa nguvu ya dola.
Tuonyeshe hicho kitisho walichopewa ITV? Na hayo maelezo yaliyotolewa kwamba walizua taharuki kwa kuonyesha masanduku yamebebwa na polisi.

Halafu kuhusu watu kujiandikisha kupiga kura, hili lilikua ni zoezi la watu kuhuisha taarifa zao kama walihama maeneo waliokua mwanzo wakaenda sehemu nyingine, watu ambao wamefariki dunia, watu ambao hawakuwahi kujiandikisha kabisa kutokana na sababu mbalimbali na watu ambao ikifika mwezi Oktoba watakua wamefikisha umri wa kupiga kura yaani miaka 18. Majority ya watu wengi walishajiandikisha toka 2015. Sasa ulitegemea hiyo misururu ya watu itokee wapi au ulitaka wajiandikishe upya.
 
Back
Top Bottom