Uchaguzi Malawi 2020: Hongereni wana wa Malawi, hakika nyie mnaongoza taifa huru

Uchaguzi Malawi 2020: Hongereni wana wa Malawi, hakika nyie mnaongoza taifa huru

Siyo ubishi wa kijinga wewe ndo unaleta accusations za kijinga. Yaani useme tu polisi walibeba masanduku ya kura then unataka kila mtu aamini. Hakuna ushahidi wowote wala hizo tuhuma hazijawahi kupelekwa mahakamani wala popote kule. Halafu unasema hakuna mtu asiejua, ndo maana mnaitwa upinzani wa hovyo kutokana na mambo kama haya.
Mahakama zipi, wewe unaona kuna mahakama hapa.
 
Tuonyeshe hicho kitisho walichopewa ITV? Na hayo maelezo yaliyotolewa kwamba walizua taharuki kwa kuonyesha masanduku yamebebwa na polisi.

Halafu kuhusu watu kujiandikisha kupiga kura, hili lilikua ni zoezi la watu kuhuisha taarifa zao kama walihama maeneo waliokua mwanzo wakaenda sehemu nyingine, watu ambao wamefariki dunia, watu ambao hawakuwahi kujiandikisha kabisa kutokana na sababu mbalimbali na watu ambao ikifika mwezi Oktoba watakua wamefikisha umri wa kupiga kura yaani miaka 18. Majority ya watu wengi walishajiandikisha toka 2015. Sasa ulitegemea hiyo misururu ya watu itokee wapi au ulitaka wajiandikishe upya.

Kuhusu kitisho kwenda ITV, kama una simu ya mtangazaji Sam Mahela aliyekuwa ITV kabla ya kuhamia TBC, kwani ndiye aliyerusha live covarage ya tukio lile, mpigie akuambie nini kilitokea. Mimi sina uwezo wowote kwa kupewa hiyo footage na ITV, kwani hata wao hawawezi kuthubutu kuitoa kama bado wanayo kwenye archive yao, maana hicho kituo kitakikuta kilicholikuta gazeti la Tanzania daima. Usitake kupotosha nilichosema, nimesema mabox ya kura yalitolewa vituoni mbele ya macho ya polisi, na msimamizi wa uchaguzi, na kurudishwa vituoni mbele ya macho ya polisi na msimamizi wa tume, na wala hawakuchukua hatua yoyote.

Daftari la kura halijawahi kuboreshwa toka mara ya mwisho 2015, hivyo kuna miaka mitano bila daftari kuboreshwa. Vijana ndio wengi, wangalau huko vituoni kusingepungua watu 4m+ wakijiandikisha na kuhuisha taarifa zao. Je umeona sign yoyote ya watu 4m+ wakiajiandikisha? Wakati wa kusajili line za simu kwa alama ya vidole tuliona misururu, mbona hatukuona misururu ya kujiandikisha wapiga kura?
 
Siyo ubishi wa kijinga wewe ndo unaleta accusations za kijinga. Yaani useme tu polisi walibeba masanduku ya kura then unataka kila mtu aamini. Hakuna ushahidi wowote wala hizo tuhuma hazijawahi kupelekwa mahakamani wala popote kule. Halafu unasema hakuna mtu asiejua, ndo maana mnaitwa upinzani wa hovyo kutokana na mambo kama haya.

Usitake kuleta upotoshaji wa kijinga hakuna popote polisi alipokimbia na box la kura kichwani, wao polisi walitulia wakiona mabox ya kura yakitolewa mbele ya macho yao, na msimamizi wa uchaguzi bila kuchukua hatua yoyote. Hivyo ni wazi wao walipewa maagizo toka juu kufumbia macho kilichokuwa kinatendeka. Unataka watu waende mahakama gani, hao waliowaagiza polisi na wasimamizi wa uchaguzi kuchezea uchaguzi, ndio hao hao wanaowapa amri mahakama kutoa hukumu ya kupindisha haki. Mahakama ya Malawi na vyombo vyao vya dola viligoma kutumikia huo uhuni. Iwapo vyombo vyetu vya dola na mahakama zingetekeleza wajibu wake kwa mijibu wa sheria za nchi, na sio kutii amri toka juu, leo hii ccm ingekuwa historia.
 
Kuhusu kitisho kwenda ITV, kama una simu ya mtangazaji Sam Mahela aliyekuwa ITV kabla ya kuhamia TBC, kwani ndiye aliyerusha live covarage ya tukio lile, mpigie akuambie nini kilitokea. Mimi sina uwezo wowote kwa kupewa hiyo footage na ITV, kwani hata wao hawawezi kuthubutu kuitoa kama bado wanayo kwenye archive yao, maana hicho kituo kitakikuta kilicholikuta gazeti la Tanzania daima. Usitake kupotosha nilichosema, nimesema mabox ya kura yalitolewa vituoni mbele ya macho ya polisi, na msimamizi wa uchaguzi, na kurudishwa vituoni mbele ya macho ya polisi na msimamizi wa tume, na wala hawakuchukua hatua yoyote.

Daftari la kura halijawahi kuboreshwa toka mara ya mwisho 2015, hivyo kuna miaka mitano bila daftari kuboreshwa. Vijana ndio wengi, wangalau huko vituoni kusingepungua watu 4m+ wakijiandikisha na kuhuisha taarifa zao. Je umeona sign yoyote ya watu 4m+ wakiajiandikisha? Wakati wa kusajili line za simu kwa alama ya vidole tuliona misururu, mbona hatukuona misururu ya kujiandikisha wapiga kura?
Mimi tena ndo nimpigie Sam Mahela kuomba ushahidi wakati nyinyi ndo mnaolalamika? Ndo maana mliambiwa muende mahakamani, nyinyi si mna Mawakili wengi wasomi kina kibatala, Lissu n.k wote walikuepo kipindi hicho. Kwann wasingeiomba mahakama itoe order ili ITV iwasilishe huo ushahidi mbele ya mahakama? Ina maana hao wote hawakuona hayo masanduku yakitolewa mbele ya polisi isipokua nyinyi tu keyboard warriors wa JF.

Halafu unapotaka kuongelea idadi ya wapiga kura ni lazima uwe na takwimu halisi. Usiseme tu kwa kipindi cha miaka 5 walitakiwa wajiandikishe 4M + hizi takwimu umezitoa wapi? Pia ni lazima utambue, kitambulisho cha kupiga kura hakitumiki tu kwa ajili ya kupiga kura bali hutumika kama utambulisho rasmi wa mtu kwenye shughuli nyinginezo za kijamii. Sasa sidhani kama vijana unaowaongelea ambao ninaamini wengi wao hawana shughuli maalum, wangeacha kutumia fursa hii adimu ya kupata utambulisho hata kama hawana nia ya kupiga kura. Kwahiyo kama wangekuepo tungeshuhudia hiyo misururu wakati wa kujiandikisha kama ilivyokua 2015. Siyo kila anaejiandikisha kupiga kura basi ni lazima apige kura, wengine wanataka kitambulisho tu.

Hivyo, hoja yako kwamba mmefanikiwa kushawaishi watu wasijiandikishe ili wasipige kura haina mashiko na ni jambo la kufikirika. Inawezekana unatamani iwe hivyo ila ndo haiwezi kuwa hivyo.
 
Usitake kuleta upotoshaji wa kijinga hakuna popote polisi alipokimbia na box la kura kichwani, wao polisi walitulia wakiona mabox ya kura yakitolewa mbele ya macho yao, na msimamizi wa uchaguzi bila kuchukua hatua yoyote. Hivyo ni wazi wao walipewa maagizo toka juu kufumbia macho kilichokuwa kinatendeka. Unataka watu waende mahakama gani, hao waliowaagiza polisi na wasimamizi wa uchaguzi kuchezea uchaguzi, ndio hao hao wanaowapa amri mahakama kutoa hukumu ya kupindisha haki. Mahakama ya Malawi na vyombo vyao vya dola viligoma kutumikia huo uhuni. Iwapo vyombo vyetu vya dola na mahakama zingetekeleza wajibu wake kwa mijibu wa sheria za nchi, na sio kutii amri toka juu, leo hii ccm ingekuwa historia.
Usipende kudandia treni kwa mbele, angalia mleta hoja amesema nn? Ameeleza kwamba polisi ndo waliobeba masanduku ya kura. Ndo maana tunasema hizi ni accusations za kijinga, wenyewe kwa wenyewe mnatofautiana. Huyu anasema polisi wamebeba masanduku, wewe unasema siyo polisi bali ni watu wengine ila polisi walishuhudia. Sasa tuchukue la nani?
 
Mahakama zipi, wewe unaona kuna mahakama hapa.
Mahakama hizi ndo ziliwapa Ushindi wa Ubunge kina Halima Mdee, Ester Bulaya, Prof. Jay, Lijualikali, Susan Kiwanga, Kubenea na wengine wengi. Sasa sijajua kwanni kwa hili la kinondoni lilishindikana kupelekwa Mahakamani.
 
Mimi tena ndo nimpigie Sam Mahela kuomba ushahidi wakati nyinyi ndo mnaolalamika? Ndo maana mliambiwa muende mahakamani, nyinyi si mna Mawakili wengi wasomi kina kibatala, Lissu n.k wote walikuepo kipindi hicho. Kwann wasingeiomba mahakama itoe order ili ITV iwasilishe huo ushahidi mbele ya mahakama? Ina maana hao wote hawakuona hayo masanduku yakitolewa mbele ya polisi isipokua nyinyi tu keyboard warriors wa JF.

Halafu unapotaka kuongelea idadi ya wapiga kura ni lazima uwe na takwimu halisi. Usiseme tu kwa kipindi cha miaka 5 walitakiwa wajiandikishe 4M + hizi takwimu umezitoa wapi? Pia ni lazima utambue, kitambulisho cha kupiga kura hakitumiki tu kwa ajili ya kupiga kura bali hutumika kama utambulisho rasmi wa mtu kwenye shughuli nyinginezo za kijamii. Sasa sidhani kama vijana unaowaongelea ambao ninaamini wengi wao hawana shughuli maalum, wangeacha kutumia fursa hii adimu ya kupata utambulisho hata kama hawana nia ya kupiga kura. Kwahiyo kama wangekuepo tungeshuhudia hiyo misururu wakati wa kujiandikisha kama ilivyokua 2015. Siyo kila anaejiandikisha kupiga kura basi ni lazima apige kura, wengine wanataka kitambulisho tu.

Hivyo, hoja yako kwamba mmefanikiwa kushawaishi watu wasijiandikishe ili wasipige kura haina mashiko na ni jambo la kufikirika. Inawezekana unatamani iwe hivyo ila ndo haiwezi kuwa hivyo.

Ww ndio umehitaji ushahidi, mimi nahitaji ushahidi wa nini kwa jambo ambalo nimelishuhudia kwa macho yangu? Achia mbali hilo la ITV, nimeshuhudia chaguzi zote za marudio uchafu mwingi kuliko huo. Haya yalikuwa ni maagizo rasmi toka juu, hili sina chembe ya shaka.

Hao vijana wamepata kitambulisho cha utaifa, hivyo hawahitaji hicho cha kura kwa suala la utambulisho. Huenda hili hulijui. Kwa hiyo paragraph yako yote ya pili na ya tatu, haya ndio majibu yake. Wangekuwa wanataka kupiga kura, wangejiandikisha tu na sio kwa kuhitaji kama kitambulisho.
 
Usipende kudandia treni kwa mbele, angalia mleta hoja amesema nn? Ameeleza kwamba polisi ndo waliobeba masanduku ya kura. Ndo maana tunasema hizi ni accusations za kijinga, wenyewe kwa wenyewe mnatofautiana. Huyu anasema polisi wamebeba masanduku, wewe unasema siyo polisi bali ni watu wengine ila polisi walishuhudia. Sasa tuchukue la nani?

Mimi nilianza na ww kabla yake, na hata kwenye post yangu moja uliniquote kuwa nimesema polisi walibeba mabox. Ninachokisema sina chembe ya shaka ndio maana sijichanganyi. Siongei jambo la kubahatisha, mpaka useme natofautiana na mtu mwingine humu jukwaani. Siko hapa kuongea jambo la kutunga, au kutaka kufanana na yoyote ili ndio uwe ushahidi wa nisemacho.
 
Mahakama hizi ndo ziliwapa Ushindi wa Ubunge kina Halima Mdee, Ester Bulaya, Prof. Jay, Lijualikali, Susan Kiwanga, Kubenea na wengine wengi. Sasa sijajua kwanni kwa hili la kinondoni lilishindikana kupelekwa Mahakamani.
Of late, hizi mahakama zimefyata kwa kuacha kufuata sheria na sasa zinafanya kazi kwa shinikizo toka ikulu.

Kuna majaji wamefanywa waamini kuwa uteuzi wao ni fadhila toka kwa rais hivyo wanawajibika kufanya maamuzi yanayomfurahisha.

Angalia walivyoshughulikia kesi ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi. Very astonishing.
 
Of late, hizi mahakama zimefyata kwa kuacha kufuata sheria na sasa zinafanya kazi kwa shinikizo toka ikulu.

Kuna majaji wamefanywa waamini kuwa uteuzi wao ni fadhila toka kwa rais hivyo wanawajibika kufanya maamuzi yanayomfurahisha. That's all.
Mimi nimekupa mifano ya namna Mahakama zilivyofanya kazi kwa weledi na kuwapa Ushindi wao halali baadhi ya Wabunge wa upinzani. Hebu nawewe tuambie kwa mifano ni wapi Mahakama ziliufyata zikaacha kufuata sheria na kufanya kazi kwa mashinikizo. Hapa tunajadiliana kwa fact hatutaki porojo.
 
Mimi nimekupa mifano ya namna Mahakama zilivyofanya kazi kwa weledi na kuwapa Ushindi wao halali baadhi ya Wabunge wa upinzani. Hebu nawewe tuambie kwa mifano ni wapi Mahakama ziliufyata zikaacha kufuata sheria na kufanya kazi kwa mashinikizo. Hapa tunajadiliana kwa fact hatutaki porojo.
Nitakupa mifano michache tu, kesi kama ya Sugu, Lema, Mbowe and Co, Lissu v Spika, F. Karume, Zitto, Wangwe v AG ziko nyingi tu ni dhihirisho tosha ya ni kwa nini wawekezaji hawawezi wakakubali mashauri yao yasikilizwe hapa.

Tanzanian Courts are very partisan to the Government and the legal practitioners are very inefficient and highly unprofessional thus reducing the courts to mere Kangaroo ones.
 
Nitakupa mifano michache tu, kesi kama ya Sugu, Lema, Mbowe and Co, Lissu v Spika, F. Karume, Zitto, Wangwe v AG ziko nyingi tu ni dhihirisho tosha ya ni kwa nini wawekezaji hawawezi wakakubali mashauri yao yasikilizwe hapa.

Tanzanian Courts are very partisan to the Government and the legal practitioners are very inefficient and highly unprofessional thus reducing the courts to mere Kangaroo ones.
Hii siyo mifano bali umetaja tu kesi zilizokua mahakamani. Onyesha ni wapi ambapo mahakama haikutoa haki wakati sheria ipo wazi halafu ikapindishwa? Tatizo lenu kila Kesi inayomhusu mpinzani ili mahakama ionekane ipo huru basi lazima huyo mpinzani ashinde kinyume na hapo hiyo mahakama haipo huru inashinikizwa. Sasa sheria hazipo hivyo na wala haziangalii watu usoni.

Nikitolea tu mfano mzuri wa kesi ya Lissu na Spika. Mawakili wenu walifanya kosa la kiufundi badala ya kwenda mahakamani kupinga uchaguzi usifanyike ili kesi msingi isikilizwe kwanza, wao wakasubiri mpaka uchaguzi umefanyika halafu ndo wakaenda mahakamani kupinga mbunge mpya asiapishwe ili kesi ya lissu kuvuliwa ubunge isikilizwe. Sasa kisheria unapopinga mbunge asiapishwe maana yake unapinga utaratibu wa kuchaguliwa kwake. Mahakama ilipowauliza Kuna sheria au Kanuni gani zimekiukwa kwenye uchaguzi ili wazuie asiapishwe, jibu lao eti Lissu alivuliwa ubunge isivyo halali. Mahakama ikauliza tena kwann hakumzuia uchaguzi usifanyike kwanza? Hawakua na majibu. Kuvuliwa ubunge kwa Lissu na kuchaguliwa kwa mbunge mpya kuna mahusiano gani? Wakakosa majibu. Mahakama ilipotoa rulling mbunge aapishwe, kosa Lipo wapi?
 
Final national results for the Malawi fresh election

Registered voters 6,859,570
Total votes 4,445,699
Voter turn out 1.9%
Valid votes 4,388,376
Null & void 56,323 (1.9%)

Dr. Chakwera - 2,604,043 (58.57%)
Peter Dominic Driver Kuwani - 32,456
Prof. Arthur Peter Mutharika - 1,751,377

I wish to congratulate the President-elect of the Republic of Malawi, H.E. Lazarus Chakwera for his resounding and well-deserved victory.
#MalawiDecides2020
 
Hongera zake,rais mteule.
Final national results for the Malawi fresh election

Registered voters 6,859,570
Total votes 4,445,699
Voter turn out 1.9%
Valid votes 4,388,376
Null & void 56,323 (1.9%)

Dr. Chakwera - 2,604,043 (58.57%)
Peter Dominic Driver Kuwani - 32,456
Prof. Arthur Peter Mutharika - 1,751,377

I wish to congratulate the President-elect of the Republic of Malawi, H.E. Lazarus Chakwera for his resounding and well-deserved victory.
#MalawiDecides2020
 
Police wa malawi hawakuiba masanduku ya kura kama kinondoni
 
Mpinzani akishinda haki imetendeka![emoji53]
Mada hapa sio upinzani kushinda ni uchaguzi kuendeshwa kwa uwazi! Vyombo vya habari vya umma havikumbeba rais wala majeshi wala mahakama
 
Back
Top Bottom