You're a man made puppet and a boot licker.Kikubwa wamalawi wamekataa ubeberu kama sisi Watanzania tunavyomuunga mkono Rais Magufuli kupinga ubeberu na kutetea Watanzania
Kuna ubishi mwingine ni wa kijinga tu, sasa nani asiyejua jinsi polisi walivyofanya uhuni katika uchaguzi mdogo wa Kinondoni na zingine nyingi tu.Ukishindwa hoja, uungwana ni kukaa kimya au kukubali lakini siyo kuongea Uongo ili kuipa nguvu hoja yako. Hapo ukiambiwa uthibitishe jinsi polisi walivyokimbia na hayo masanduku ya kura utaanza kujambajamba.
Siyo ubishi wa kijinga wewe ndo unaleta accusations za kijinga. Yaani useme tu polisi walibeba masanduku ya kura then unataka kila mtu aamini. Hakuna ushahidi wowote wala hizo tuhuma hazijawahi kupelekwa mahakamani wala popote kule. Halafu unasema hakuna mtu asiejua, ndo maana mnaitwa upinzani wa hovyo kutokana na mambo kama haya.Kuna ubishi mwingine ni wa kijinga tu, sasa nani asiyejua jinsi polisi walivyofanya uhuni katika uchaguzi mdogo wa Kinondoni na zingine nyingi tu.
Nchi hii haina uchaguzi na wanachofanya ni kuharibu tu pesa za wananchi maskini wa nchi hii.
Una kazi ngumu sana.Kikubwa wamalawi wamekataa ubeberu kama sisi Watanzania tunavyomuunga mkono Rais Magufuli kupinga ubeberu na kutetea Watanzania
Ukishindwa hoja, uungwana ni kukaa kimya au kukubali lakini siyo kuongea Uongo ili kuipa nguvu hoja yako. Hapo ukiambiwa uthibitishe jinsi polisi walivyokimbia na hayo masanduku ya kura utaanza kujambajamba.
Kwa taarifa yako hilo tukio tuliliona kwa macho yetu live kupitia kituo cha ITV. Na kilichofuata ni kukipa vitisho kituo cha ITV, na siku hiyo ndio ikawa mwisho wa matangazo live toka vituo vya kura. Mambo yote kama hayo yalifanyika kwenye chaguzi zote za marudiano, na yalikuwa yanaratibiwa na polisi, kwa kushirikiana na tume ya uchaguzi. Ndio maana wananchi sasa hivi hawana muda tena wa kujitokeza kujiandikisha kupiga kura, kwani huo uhayawani ulikuwa unafanyika mbele ya macho yao.
Nawashangaa sana wapinzani kusema wanashiriki uchaguzi huu, huku mwenendo ukiwa ni huu huu mpaka sasa bila tume huru ya uchaguzi. Sisi wananchi tunaojitambua tunaendelea kuhamasishana kujitokeza kupiga kura, na tutaandamana kupinga uchaguzi huu wa kihuni.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji2]ufipa nyinyi kwa nyinyi mnapingana
Thubutuuuu!!!!VP bwana mkubwa ameshatoa pongezi?
Leteni ushahidi hapa acheni maneno. Eti mmeona kwa macho yenu ITV, macho yenu we nanani? Mbona msiende mahakamani mkapeleka huo ushahidi wenu wa ITV.Kwa taarifa yako hilo tukio tuliliona kwa macho yetu live kupitia kituo cha ITV. Na kilichofuata ni kukipa vitisho kituo cha ITV, na siku hiyo ndio ikawa mwisho wa matangazo live toka vituo vya kura. Mambo yote kama hayo yalifanyika kwenye chaguzi zote za marudiano, na yalikuwa yanaratibiwa na polisi, kwa kushirikiana na tume ya uchaguzi. Ndio maana wananchi sasa hivi hawana muda tena wa kujitokeza kujiandikisha kupiga kura, kwani huo uhayawani ulikuwa unafanyika mbele ya macho yao.
Nawashangaa sana wapinzani kusema wanashiriki uchaguzi huu, huku mwenendo ukiwa ni huu huu mpaka sasa bila tume huru ya uchaguzi. Sisi wananchi tunaojitambua tunaendelea kuhamasishana kujitokeza kupiga kura, na tutaandamana kupinga uchaguzi huu wa kihuni.
Leteni ushahidi hapa acheni maneno. Eti mmeona kwa macho yenu ITV, macho yenu we nanani? Mbona msiende mahakamani mkapeleka huo ushahidi wenu wa ITV.
Halafu unataka eti DJ asusie Uchaguzi, then baada ya hapo hicho chama kitakua kinafanya shughuli gani? DJ atapiga wapi dili zake? Labda ukaanzishe chama chako halafu kisirishiriki uchaguzi kibakie humu IF.
We jamaa siku zote unaongeaga vitu vya kufirika sana. Eti Serikali haitaki hili suala liongelewe [emoji23][emoji23][emoji23] wapi na lini ilisema lisiongelewe!! Halafu wewe ni nani katika nchi hii mpaka ushawishi watu wasipige kura, tena unadai mmefanikiwa sana, umefanikiwa wapi? Yaani hata uchaguzi haujafanyika tayari mmefanikiwa kushawishi watu wasipige kura [emoji23][emoji23]Sio kwamba nimekuambia hilo kwamba halina ushahidi, na kwa taarifa yako hata serikali haitaki liongelewe, kutokana na ukakasi wake. Huo uhayawani ndio ulipelekea kusitisha matangazo yote live ya uchaguzi, kwani wanajua nini kilikuwa kinafanyika kwenye vituo vya kura. Mahakama kwa sasa chini ya awamu ya tano, ni sehemu ya hizi hujuma. Ni hakimu gani asiyejua kundi la watu wasiojulikana?
Huyo DJ Hana ulazima wowote wa kususia uchaguzi, lakini ni wapi atapata wapiga kura? Wapiga kura wa ccm hawana cha kuogopa, maana wao ni wanufaika kwa hizi chaguzi za kishenzi. Je wapinzani watapata nini? Sisi wapiga kura wengi wa upinzani tunaojitambua, hatuko tayari kupiga kura chini ya tume hii isiyo huru ya uchaguzi. Na tunaendelea kushawishi watu wengi kutokupiga kura chini ya tume hii, na hilo tunafanikiwa sana. Kama ni maandamano ya amani kwa ajili ya kudai tume huru ya uchaguzi tutashiriki, na sio zaidi ya hapo. Tumechoka kupata viongozi wasio na ridhaa yetu.
We jamaa siku zote unaongeaga vitu vya kufirika sana. Eti Serikali haitaki hili suala liongelewe [emoji23][emoji23][emoji23] wapi na lini ilisema lisiongelewe!! Halafu wewe ni nani katika nchi hii mpaka ushawishi watu wasipige kura, tena unadai mmefanikiwa sana, umefanikiwa wapi? Yaani hata uchaguzi haujafanyika tayari mmefanikiwa kushawishi watu wasipige kura [emoji23][emoji23]
Tuonyeshe hicho kitisho walichopewa ITV? Na hayo maelezo yaliyotolewa kwamba walizua taharuki kwa kuonyesha masanduku yamebebwa na polisi.Kitisho walichopewa kituo cha ITV kwa kurusha tangazo lile sio cha nchi hii. Kulitokea lugha za kuwatisha ITV, kuwa wametoa taarifa yenye kuzua taharuki bila kuwasiliana na NEC. Na kwa vitisho vikubwa walivyopata, walishurutishwa kuomba radhi kwa kuonyesha tukio lile.
Kwenye taifa hili mimi ni raia nisiyependa uonevu, wala kuunga mkono uovu. Kupiga kura ni hatua ya mwisho ya uchaguzi, kujiandikisha ndio hatua za awali. Je umewahi kuona misururu ya watu kujiandikisha, au kuhakiki kupiga kura? Umeona hamasa yoyote ya watu kuelekea uchaguzi? Subiri uone idadi ya wapiga kura watakavyokuwa wachache vituoni uchaguzi huu. Hii yote ni kuwa wananchi wameshaamka, hawako tayari tena kushurutishwa kuchaguliwa viongozi kwa nguvu ya dola.