Uchaguzi Malawi 2020: Hongereni wana wa Malawi, hakika nyie mnaongoza taifa huru

Upo sawa lakini ebu fikiria kama angekuwa amejikita kutumia nguvu ya dola na kutengeneza vibaraka wakumsifu unadhani wananchi wangekuwa na namna ya kumtoa?
Jeshi haliwezi kumuunga mtu was aina hiyo ambaye muda mwingi Yuko Marekani
 
Bwana acheni kufanya watu wajinga, hata kama wangeenda kwenye hizo mnazoita mahakama kudai Lissu arejeshewe ubunge hakuna mahakama ktk nchi hii ingekubali hilo, hakuna.

Mahakama hizi sasa hivi zinaendeshwa kwa maagizo ya serikali na hilo tena halina hata ubishi, tumeona hata kwenye kesi ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi ni wazi lilikuwa shinikizo la serikali.

This Judiciary has become a mockery for justice and by so being it has turned this country's courts into the Kangaroo ones.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…