Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.
magayane protas:kama huna kitambulisho hurusiwi kupiga kura hata kama umejaza fomu na. 17
wakuu hii fomu ikoje kwani kwa mujibu wa clouds haipatikani kiurahisi
 
gari ya ccm inapita mitaani kwenye kata ya nyandekwa ambayo ni ngome ya chadema ikitangaza kuwa mgombea wa chadema amejitoa,
diwani wa ccm kata ya nkinga alikuwa anatisha wapiga kura,lakini ameshughulikiwa na vijana wa chadema

Mkuu pamoja sana
 
Bado masaa machache vilio vianze kuna wengine watakimbia Jamvini kwa muda na kuna wengine watabaki Jamvini wakisherekea ushindi
 
magayane protas:kama huna kitambulisho hurusiwi kupiga kura hata kama umejaza fomu na. 17
wakuu hii fomu ikoje kwani kwa mujibu wa clouds haipatikani kiurahisi
Hata mimi nilisikia kuna mzee kafika asubuhi na kanyimwa hiyo fomu na kitambulisho chake kapoteza
 
Bado masaa machache vilio vianze kuna wengine watakimbia Jamvini kwa muda na kuna wengine watabaki Jamvini wakisherekea ushindi

naamini demokarsia imekuwa. Wote tutabaki jamvini. Kwakuwa kila mmoja anatambu kuwa tunahitaji mgombea mmoja tu.
 
gari ya ccm inapita mitaani kwenye kata ya nyandekwa ambayo ni ngome ya chadema ikitangaza kuwa mgombea wa chadema amejitoa,
diwani wa ccm kata ya nkinga alikuwa anatisha wapiga kura,lakini ameshughulikiwa na vijana wa chadema
CCM ni wajinga sana, hivi kuna mtu mjinga anayeweza kuamini kuwa mgombea wa CDM anaweza kujitoa dakika za mwisho kiasi hiki? Warekodini ili uwe ushahidi, tumieni hata simu zenye uwezo mzuri wa kurekodi.
 
Hii TV mmiliki wake ni Mengi? Naye c ametokea Machame kama Mbowe?

Nnini tena? Kila kitu lazima ukione kwa jicho la hasuda! Fuatilia mada acha kuchokoza u-homeboy! Unadhani Mengi atamwachia Mbowe Shillingi kwa kuwa tu wametokea mahali pamoja!
 
naamini demokarsia imekuwa. Wote tutabaki jamvini. Kwakuwa kila mmoja anatambu kuwa tunahitaji mgombea mmoja tu.

Ni kweli lkn ukikubali kushinda kubali mawili kushinda au kushindwa
 
updates kutoka kwa mwanahabari wa ITV.

Kituo cha Ujenzi.

Raia wa4 wamekatazwa kupiga kura kwa kuwa hawana shahada, japo majina yao yapo. Na kwa mujibu wa mwandishi, Tume ya Uchaguzi iliwatangazia kwamba kwa mtu asiyekuwa na shahada, lakini majina yao yapo vituoni, wataruhusiwa kupiga kura. Baadhi ya vituo, raia wenye matatizo ya aina hiyo wameruhusiwa kupiga kura, bali hawa raia wamezuiliwa kupiga kura.
 

hata huku kwetu pia, mzee wa Megawatt ameshachukua umeme wake.
 
gari ya ccm inapita mitaani kwenye kata ya nyandekwa ambayo ni ngome ya chadema ikitangaza kuwa mgombea wa chadema amejitoa,
diwani wa ccm kata ya nkinga alikuwa anatisha wapiga kura,lakini ameshughulikiwa na vijana wa chadema

Mkuu kuna watu wamezuiliwa kisa wamepoteza id zao lakini majina yao yapo ITV wanaripoti
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…