Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.
Honestly tanesco wame nipendelea sana ingawa naishi uswahilini.
Ni kama week 3 sasa umeme umekatika jana saa3 usiku na ukarudi saa11.
Otherwise naenjoy tu,....

bila shaka we utakuwa pande za igunga
 
Uchaguzi mdogo wa Igunga unafanyika leo ambapo vyama ninane vinashiriki (tofauti na vyama viwili tu uchaguzi wa 2010) Nani kuvuna nini ni hapo jioni maana kwa mujibu wa msimamizi wa uchaguzi matokeo yatatangazwa leo hii.

Kwa wale mnaopenda kufuatilia maendeleo ya yanayojiri Igunga ITV wana program maalum ya siku nzima ku cover uchaguzi huo
Ni kweli lTV walikuwa LIVE lakini huku kwetu tayari wameshachukua umeme wao. Nafikiri sababu nyumba nyingi zapeperusha bendera ya CHADEMA! WanaJF mliopo lgunga endeleeni kutuhabarisha ili nasi tufatilie kwenye visimu vyetu vya kichina!l
 
naomba igunga mvua isinyeshe leo,na Ngeleja hasikate umeme
 
Mwandishi wa ITV: Baadhi ya vituo masanduku ya kura yamepelekwa kwa baiskeli.

Mkurugenzi wa uchaguzi kathibitisha hilo.
 
Asante kwa updates..
Kina mama bado wapo mstari wa mbele?
Au vijana wameshaanza vurugu?

hahaaa,

By 2015 hawa vijana nao watakuwa wamama na wababa, na hawa wamama na wababa wa leo watakuwa wamekufa...
 
Mwanangu akiona avator yako huwa analia, sijaelewa kwa nini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????????
Anaipenda ndio maana!
Labda mimi ndio real father wake..jaribu kumuuliza vizuri mama watoto wako
 
SIO siri, kwa mtu aliye mtaalamu wa kusoma hisia za watu kutokana na personality zao ikiwa ni pamoja na body expression na uongeaji, basi hana shaka pale atakapokuwa anawaelezea watu fulani fulani! Nafuatilia uchaguzi wa Igunga kupitia Chanel 10 ambao hivi sasa wanarusha LIVE! Mistari inaonekana ikiwa na watu walio na nyuso na ambao hata mavazi yao yanatosha kuwaelezea ni watu wa namna gani!! Vijana wapo, lakini wengi wao si wale ki-facebook au ki-hip hop ambao naamini ni mtaji tosha kwa CHADEMA!!! Wanaoonekana hapa ni wale walioundwa na nyuso za kiungwana zisizopenda shari!!! Sina shaka yoyote kwamba, hapa CDM hawana chao; si kutokana na kuibiwa kura bali kutokana na kushindwa kwa halali kabisa!!
 
Ni kweli lTV walikuwa LIVE lakini huku kwetu tayari wameshachukua umeme wao. Nafikiri sababu nyumba nyingi zapeperusha bendera ya CHADEMA! WanaJF mliopo lgunga endeleeni kutuhabarisha ili nasi tufatilie kwenye visimu vyetu vya kichina!l
unaposema umeme umekatwa kisa bendera za cdm, huo ni unafiki, uongo, uchochezi, uchawi n.k.
Mgawo umeanza leo?
Huku Keko wamekata umeme, nako chanzo chake nini!
 
Shahada zimebadilishwa picha marehemu nao wanapiga kura CCM sijui wakoje wanang'ang'ania kushinda wakati watu hawawataki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom