figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
huyu dada yetu fatuma wangempa kiti na yeye akae kidogo.mwenzake masako kakaa.wangemletea kiti kirefu kama cha bar.wenzao cnn wanasimama wanaletewa kiti maji juice na mandazi.mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya kujikosesha nakubali walitakiwa kutoa taarifa kwa Mkurugenzi mapema lkn kwa upande mwingine waliambiwa watajaza fomu na 17 wakiwa vituoniwamejikosesha wenyewe. Wangejua umuhimu wa kupiga kura, wangeripoti mapema ili Nec walifanyie kazi.
Wasiwasi wangu masanduku kusafilishwa na boda boda.
Kwa hiyo unasema hata wakiibiwa they will remain pumbafu. Sidhani kama mtaji huo wa zamani ndo uliopo kwa sasa. sahau. kila mtu hasa vijana wako mukhari na wezi wa rasilimali zao.
dalili kama zipi?. Unaweza kuzitaja hapa.
Huu ndiyo upuuzi nisioupenda jukwaani!!! JK ni rais hata ushindi wake ulikuwa na mawaa hutakiwi kumzushia namna hiyo, huna cha kuandika acha siyo kujaza upupu.Jana huyo JMK si alikuwa disco na machangudoa wa ilala vp kasha amka???
Hiyo fomu na 17 ndio inahusu nini?Hiyo ya kujikosesha nakubali walitakiwa kutoa taarifa kwa Mkurugenzi mapema lkn kwa upande mwingine waliambiwa watajaza fomu na 17 wakiwa vituoni
ndugu yangu huu si wakati wa utabiri mambo ya utabiri mwachie shekhe yahya kama watu wangekuwa wanachagua kwa kumwangalia tu mtu usoni kusingekuwa na upigaji kura....je unajua tofauti ya uungwana na ujinga!?SIO siri, kwa mtu aliye mtaalamu wa kusoma hisia za watu kutokana na personality zao ikiwa ni pamoja na body expression na uongeaji, basi hana shaka pale atakapokuwa anawaelezea watu fulani fulani! Nafuatilia uchaguzi wa Igunga kupitia Chanel 10 ambao hivi sasa wanarusha LIVE! Mistari inaonekana ikiwa na watu walio na nyuso na ambao hata mavazi yao yanatosha kuwaelezea ni watu wa namna gani!! Vijana wapo, lakini wengi wao si wale ki-facebook au ki-hip hop ambao naamini ni mtaji tosha kwa CHADEMA!!! Wanaoonekana hapa ni wale walioundwa na nyuso za kiungwana zisizopenda shari!!! Sina shaka yoyote kwamba, hapa CDM hawana chao; si kutokana na kuibiwa kura bali kutokana na kushindwa kwa halali kabisa!!
Hiyo ya kujikosesha nakubali walitakiwa kutoa taarifa kwa Mkurugenzi mapema lkn kwa upande mwingine waliambiwa watajaza fomu na 17 wakiwa vituoni
Jana huyo JMK si alikuwa disco na machangudoa wa ilala vp kasha amka???
Rostam Aziz ndani ya Igunga.
Bora wapige kura kwa amani.Nimeambiwa na jamaa yangu aliye Igunga sasa hivi kwamba mamia ya vijana wameanza kujitokeza vituoni kupiga kura.Tuombe Mungu hali iwe hivihivi kila kona.
Kwa hiyo unasema hata wakiibiwa they will remain pumbafu. Sidhani kama mtaji huo wa zamani ndo uliopo kwa sasa. sahau. kila mtu hasa vijana wako mukhari na wezi wa rasilimali zao.