Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
Unatuuliza sisi wakati ulikuwa nae wewe? Unanchekesha! Si utujuze uliyekuwa nae disko kama kisha amka au yeye bado kalala na wewe umewahi kuamka.
alichezewa mchezo mbaya na 50 cent
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatuuliza sisi wakati ulikuwa nae wewe? Unanchekesha! Si utujuze uliyekuwa nae disko kama kisha amka au yeye bado kalala na wewe umewahi kuamka.
sheria inasemaje!
Hao sheria haiwaruhusu kupiga kura, wasubirie kushangilia. Wangekuwa na akili, wangelalamika mapema may be Nec wangelifanyia kazi.
Ni kwel kabisa mkuu. Nakina mama wengi ni kama watu wa Tanga, wanapenda sana marangi rangi, hasa kijani na njano. Angalia hata mabasi yao, kama BEMBEA! Dawa ni kuwafichia kadi au kuwafungia ndani siku ya uchaguzi. Saa 12 jioni wapishane na kuku milangoni, kudadeki zao! Wanatumia demokrasia vizuri? Nchi ingefika hapa ilipofika? Tarime na Musoma Mjini mmetupa good lesson, ni sisi tu kufuata somo hilo. Lakini lgunga washachelewa!Wameshindwa kupokea Elimu ya kuzikataa Tshirt, Kanga na Vilemba vya rangi ya njano na kijani magamba wanavyotumia kama chambo kuwanasa. Hatuna ujanja zaidi ya kutumia mbinu walizotuachia babu zetu, hadi pale TAKUKURU watakapoanza kuzuia rushwa ya manguo ya njano na buku buku za magamba. When one door is closed others are open
Nimeambiwa na jamaa yangu aliye Igunga sasa hivi kwamba mamia ya vijana wameanza kujitokeza vituoni kupiga kura.Tuombe Mungu hali iwe hivihivi kila kona.
Wataruhusiwa kweli jamani?! Hii si watakua wamekosa haki yao ya msingi
Zingatia matumizi ya umoja na wingi. Wewe ndo hujaelewa.Hiyo fomu na 17 ndio inahusu nini?
Hebu tuhabarishe..wengine hawakuelewi Dena
gari ya ccm inapita mitaani kwenye kata ya nyandekwa ambayo ni ngome ya chadema ikitangaza kuwa mgombea wa chadema amejitoa,
diwani wa ccm kata ya nkinga alikuwa anatisha wapiga kura,lakini ameshughulikiwa na vijana wa chadema
SIO siri, kwa mtu aliye mtaalamu wa kusoma hisia za watu kutokana na personality zao ikiwa ni pamoja na body expression na uongeaji, basi hana shaka pale atakapokuwa anawaelezea watu fulani fulani! Nafuatilia uchaguzi wa Igunga kupitia Chanel 10 ambao hivi sasa wanarusha LIVE! Mistari inaonekana ikiwa na watu walio na nyuso na ambao hata mavazi yao yanatosha kuwaelezea ni watu wa namna gani!! Vijana wapo, lakini wengi wao si wale ki-facebook au ki-hip hop ambao naamini ni mtaji tosha kwa CHADEMA!!! Wanaoonekana hapa ni wale walioundwa na nyuso za kiungwana zisizopenda shari!!! Sina shaka yoyote kwamba, hapa CDM hawana chao; si kutokana na kuibiwa kura bali kutokana na kushindwa kwa halali kabisa!!
Ukiona mtu anatumia maneno ya wakina mama ya kusutana ujue tayari huyo, tumuombe Dina wa clouds ampe number ya anti suzzy.Halafu utalalamika hali ya maisha ni ngumu? Mashauzi yote ya nini?
Mwandishi wa ITV.
Kituo cha Upumbulya.
ID za baadhi ya vitambulisho ni tofauti na zile zilizo kwenye majina yaliyoko kwenye documents za NEC.
Sasa hapa wadau msnisaidie. kwani NEC wanatunza data za wapigakura kwa database au kwa Excel?
Mwanahabari anasema watu wanapiga kura na kuondoka kwa maana wengi wanaonekana wako na nidhamu na ni waoga.
Isije kuwa ni zile shahada zilizonunuliwa na magamba
SIO siri, kwa mtu aliye mtaalamu wa kusoma hisia za watu kutokana na personality zao ikiwa ni pamoja na body expression na uongeaji, basi hana shaka pale atakapokuwa anawaelezea watu fulani fulani! Nafuatilia uchaguzi wa Igunga kupitia Chanel 10 ambao hivi sasa wanarusha LIVE! Mistari inaonekana ikiwa na watu walio na nyuso na ambao hata mavazi yao yanatosha kuwaelezea ni watu wa namna gani!! Vijana wapo, lakini wengi wao si wale ki-facebook au ki-hip hop ambao naamini ni mtaji tosha kwa CHADEMA!!! Wanaoonekana hapa ni wale walioundwa na nyuso za kiungwana zisizopenda shari!!! Sina shaka yoyote kwamba, hapa CDM hawana chao; si kutokana na kuibiwa kura bali kutokana na kushindwa kwa halali kabisa!!
huyu dada yetu fatuma wangempa kiti na yeye akae kidogo.mwenzake masako kakaa.wangemletea kiti kirefu kama cha bar.wenzao cnn wanasimama wanaletewa kiti maji juice na mandazi.mia
mdudu yupi Mary Chatanda??Bora wapige kura kwa amani.
Tuombe Mungu yule mdudu wa Arusha asiingie Igunga
SIO siri, kwa mtu aliye mtaalamu wa kusoma hisia za watu kutokana na personality zao ikiwa ni pamoja na body expression na uongeaji, basi hana shaka pale atakapokuwa anawaelezea watu fulani fulani! Nafuatilia uchaguzi wa Igunga kupitia Chanel 10 ambao hivi sasa wanarusha LIVE! Mistari inaonekana ikiwa na watu walio na nyuso na ambao hata mavazi yao yanatosha kuwaelezea ni watu wa namna gani!! Vijana wapo, lakini wengi wao si wale ki-facebook au ki-hip hop ambao naamini ni mtaji tosha kwa CHADEMA!!! Wanaoonekana hapa ni wale walioundwa na nyuso za kiungwana zisizopenda shari!!! Sina shaka yoyote kwamba, hapa CDM hawana chao; si kutokana na kuibiwa kura bali kutokana na kushindwa kwa halali kabisa!!
Wataruhusiwa kweli jamani?! Hii si watakua wamekosa haki yao ya msingi