Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.
Rostam Aziz ndani ya Igunga.
avatar10285_4.gif
 
kashindye ambaye ni mgombea wa chadema,kahojiwa sasa hivi itv baada ya yeye kupiga kura na kusema kwa hapo alipo hali ni shwari.ila atapata uhakika zaidi ya mwenendo wa uchaguzi baada ya kutembelea vituo zaidi ya kumi.amesema yupo postive na matokeo yoyote yatakayo toka lakini ana uhakika wa yeye kufanya vizuri na kuibuka kidedea.mia

Kila lakheri Kashindye, the truth will tell...
 

Mambo vp mama kafumu? Niambie habari za huko!! Naona umeanza kutupatia updates uharo hapa JF,thanx much....Vp mzee presha yake ikoje? Maana alituomba tumchague kama wewe ulivyomchagua......

Mimi cjambo, cjui mwenzangu!!1 Vp hawala yako Kashindye hajambo na wewe?!
 
gari ya ccm inapita mitaani kwenye kata ya nyandekwa ambayo ni ngome ya chadema ikitangaza kuwa mgombea wa chadema amejitoa,
diwani wa ccm kata ya nkinga alikuwa anatisha wapiga kura,lakini ameshughulikiwa na vijana wa chadema

pumbaf zao,samahani naomba leo ban isiwepo.hawa jamaa wa magamba ni wajinga sana.kunavijana wanalalamika kuwa majina yao yapo ila namba za shahada zimebadilishwa so hawatoweza piga kura.janja zimeanza.
 
Ukiona mtu anatumia maneno ya wakina mama ya kusutana ujue tayari huyo, tumuombe Dina wa clouds ampe number ya anti suzzy.
Mawazo yako yapo huko huko! Kumbe Dina na Ant suzzy unawafaham? Hongera sana kwa kufanya nao kazi!
 
OK! Pamoja na hayo wana-JF hawa watu ni wezi sana Waangalie hata namna masanduku yatavyo kuwa yana safirishwa kutoka kituo kimoja kwenda kingine humo kwenye magari pawe na raia wetu CDM,kumbukeni vitendo alivyofanya Mahanga Makongoro pale segerea wakati anabadilisha masanduku yake mwenyewe kama hayo yaliyopo Nzega kwa DC.

Mie nnavyojua ni kuwa kila kituo kinahesabu kura wawakilishi wana endorse matokeo, na jumla ya matokeo ya kila kituo yanahesabiwa at a central point; na sio kuanza kusafirisha mabox ili yakahesabiwe, ikifanyika hivyo CDM tuhesabu maumivu.
 
Nimeongea asubuhi hii na Mh. Lema akiwa Igunga kwa simu, kaniambia kuwa ana uhakika CHADEMA itashinda.
Hahaha..
Lema siku hizi kageuka kuwa Shekh Yahya! Kumbe chadema kuna watabiri wazuri!
 
Hii TV mmiliki wake ni Mengi? Naye c ametokea Machame kama Mbowe?

Yaani kiongozi mwanda mizi CCM unaendekeza siasa chafu na nyepesi namna hii? Halafu mnashangaa kwa nn chama chenu kinakosa mvuto?
 
pumbaf zao,samahani naomba leo ban isiwepo.hawa jamaa wa magamba ni wajinga sana.kunavijana wanalalamika kuwa majina yao yapo ila namba za shahada zimebadilishwa so hawatoweza piga kura.janja zimeanza.

Mkuu huo ni ujinga sana kwani ni kosa la nani sasa mpaka umnyime mtu kupiga kura, yani huo mfumo wa daftari unamapungufu sana lakini ujanja ujanja unamwisho
 
kuna sehemu magari hayafiki. Wangefanya nini ndg.

TUMETHUBUTU,TUMEWEZA TUNASONGA MBELE' Miaka 50 ya uhuru bado kunasehemu hazipitiki kwa gari Tanzania hii..tena jimbo lenyewe la jamaa aliyeliliwa na wananchi wakati anajiudhuru!
 
Unafikiri hadi kufikia 2015 bado wenye sura zilizochoka ndio watakuwa majority? kama wenye sura za kisharobaro walikuwa 600,000 mwaka 2005, wakaongezeka na kufika 2,000,000 mwaka 2010, unafikiri mwaka 2015 watakuwa wangapi? Kama waliokuwa na sura zilizochoka mwaka 2005 walikuwa 9,000,000 wakapungua hadi 4,000,000 kwaka 2010, unadhani hadi 2015 watakuwa wamebaki wangapi?

Najua hesabu ni tatizo shuleni, so hii assignment huiwezi
Bila shaka ni wrong number....oooops, i mean wrong thread; au sio mkuu?! Manake mie sijazungumzia sura zilizochoka wala sura za kisharobaro!!!!!!! but worry out, mod is doing his job to redirect it to the right thread!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom