Clemmy, shukuru unaishi jirani na mimi meneja Ugavi Tanesco! La si hivyo ungekuwa unalia na wewe!Honestly tanesco wame nipendelea sana ingawa naishi uswahilini.
Ni kama week 3 sasa umeme umekatika jana saa3 usiku na ukarudi saa11.
Otherwise naenjoy tu,....
Unatumia sana nguvu kubwaSiasa za maji ya chooni zimekujaa kichwani.
twahil,twahil, twahil kwanini uusemee moyo wako? kama kweli dhihilisha ili zambi ya kufa imrudie huyu mama.
Kila mtu ana TV yake humu.
Karibuni Gymkana hapa!
Tunafuatilia uchaguzi live..
Laiti ungejua hali yangu usingenena haya bwana green guard.Unatumia sana nguvu kubwa
Relax..
Mkuu, JF inatisha huku maofisini ni JF....Mtangazaji anasema alikuwa anachungulia JF, wanaJF wanasema kuna watu watakimbia jukwaa kuanzia muda wa saa tano. Hili limenifurahisha kuona JF ni mtandao pendwa JF hoyeeeeeeeeeeeeeeeeee. Saa saba watasitisha matangazo ya Igunga lakini saa saba na nusu watajiunga tena na matangazo haya ya moja kwa moja.
Hakuwa wazi, naona ameogopa kuonekana mnazi wa chama hicho akavungia.alikuwa akimaanisha gani?
Nimemwona Bi Mwajuma Shaabani kwakweli........anaongea kwa ujasiri na anaonyesha ana uhakika na anachosema.
watu wameshachoka kupigiwa magoti, maendeleo hakuna
wabunge wa ccm kazi yao kukusanya watoto na kuwazingua kama huyu
Siasa za maji ya chooni zimekujaa kichwani.
Hali ni tete,vikao haviishi:Mkakati wa Nape ni kumwaga wafuasi wake leo humu kwenye jamvi ili kumwaga upupu wao tu!! sijui hii ni kufanya kampeni au kukatisha wanajamvi tamaa ili uchakachuaji ukifanyika usionekane kirahisi kwa kuwa watun watakuwa wameaminishwa kwamba Magamba watashinda!
Pole sana, nakushau tafuta sehemu uchaji maana kuanzia saa 12 jioni patanoga kweli....kweli mzazi mi kachaji ndo kanaishia ishia duh