Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.
Huyo mama inavyosemekana katumwa na CDM ili kupandisha hasira za wana Igunga dhidi ya CCM.Huyo balozi aliemtaja amefuatiliwa na hakupatikana,yaani does not exist.

Gubu hilo kwa kushindwa kwenda Igunga, hahaha ahaha ahahah. RA kidumeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!! bwahaha ahaha ahahaha!!!!
 

Kudadeki, CCM wajue watu wamechoka. this time watabanwa kila idara zao za uchakachuaji.
 
asante sana mkuu
 
Igunga ya kweli na haki italetwa na wana wa Igunga wenywewe.
 

ni kweli ccm inapendwa na maskini,bahati mbaya imevamiwa na matajiri..
 
we fidel umeishiwa chaji..ngereja hayupo....ngoja nifanye mishe mishe nikutumie ki galaxy changu....
 
Matokeo yanatangazwa saa ngapi?
Hapa JF tutaanza kuzitoa kuanzia saa moja jioni hizi za vituo na mpaka saa tano matokeo ya kata yataanza kuanikwa.....kifupi ngoma mpaka asubhi tutakuwa tumesha jua
 
Armed struggle ndiyo option pekee ilibaki kwa Watanganyika. Katika hali ya kawaida kwa nini huyo balozi asiuawe?

wewe ni mnyama ulievaa sura ya binadam..u mean ur last option ni kuua?..kinachotakiwa kuendelea kuuelimisha umma sio kuua mkuu.
 
Hapa JF tutaanza kuzitoa kuanzia saa moja jioni hizi za vituo na mpaka saa tano matokeo ya kata yataanza kuanikwa.....kifupi ngoma mpaka asubhi tutakuwa tumesha jua
Kama ni hivyo kufikia saa sita usiku tutakuwa tumejua chama kilichoshinda!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…