Tumemkamata mgambo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura huku akitoa rushwa ya shs 5,000/= kata ya Swingizi, baada ya kumweka chini ya ulinzi, tukamkuta na shs laki saba, kwa sasa anashikiliwa na polisi, anasema alitumwa na viongozi wa CCM.
Nchemba anapita kila kituo anamwita msimamizi na kumpa hela, kwa sasa amedhibitiwa na vijana wetu
hebu fafanua mkuu azichukue halafu....yaani mfano polisi akikamata mwizi kaiba radio unashauli polisi aichukue hiyo redio au unaimanisha nini....Kwanini hamkuchukuwa hizo fedha?
Uhuru FM wao hawatoi updates??Redio ya wafu haitofautiani sana Uhuru FM....
Makamanda Msilale, fanyeni kweli tuchukue jimbo!
Jana wakati regina Mwalekwa anatoa taarifa za kampeni uchaguzi igunga uliunga mkono. Ulikuwa unaunga mkono kitu usichokijua?Daud bwana.Clouds fm ni nini hiyo??? neno geni maskioni mwangu.
Wanataka wamchanganye Nchemba ili concentration yake ya kutoa hongo ipungue.alfred masako na fatma nyangasa wanajaribu kuchambua mchakato wa jinsi upigaji kura unaoendelea huko igunga. huyu mpigapicha anavyomuonyesha fatma kwa nyuma tu, anaharibu concetration
hilo liko wazi akina mama wangapi wanapata mda wa kutembelea mitandano kama JF...hivyo hivyo kwa wazee kuwaelimisha vijana hitaji nguvu nyingi sana tofauti na mtu ambae hata kusoma ni shida anaenda kwa kukalili tu...Kwa nini watu wa ccm wajivunie uwingi wa akina mama na wazee, na wapinzani wajivunie uwingi wa vijana. Vyama vyote vina jumuia za makundi yote. Na wapinzani hufanya kosa kwa kutokuwafikia akina mama. Watu wote ni wa vyama vyote. Endeleeni kutuupdate.
so wot?There are currently 1030 users browsing this thread. (252 members and 778 guests)
Kwani wao ni Polisi!hebu fafanua mkuu azichukue halafu....yaani mfano polisi akikamata mwizi kaiba radio unashauli polisi aichukue hiyo redio au unaimanisha nini....
Bado hujajibu swali nililokuuliza.Jana wakati regina Mwalekwa anatoa taarifa za kampeni uchaguzi igunga uliunga mkono. Ulikuwa unaunga mkono kitu usichokijua?Daud bwana.
alfred masako na fatma nyangasa wanajaribu kuchambua mchakato wa jinsi upigaji kura unaoendelea huko igunga. huyu mpigapicha anavyomuonyesha fatma kwa nyuma tu, anaharibu concetration
nilikuwa ikisikiliza kipindi radio 1 ilipogoma kutanga habari za simba sikumbiki mwaka na tangu hapo siaisikiliza tena ....Uhuru FM wao hawatoi updates??
Are these people serious? How on earth can such stupid thing kutokea tena kwa kajimbo kamoja tuTumemkamata mgambo akiwa kwenye foleni ya kupiga kura huku akitoa rushwa ya shs 5,000/= kata ya Swingizi, baada ya kumweka chini ya ulinzi, tukamkuta na shs laki saba, kwa sasa anashikiliwa na polisi, anasema alitumwa na viongozi wa CCM.
Nchemba anapita kila kituo anamwita msimamizi na kumpa hela, kwa sasa amedhibitiwa na vijana wetu