Elections 2010 Uchaguzi mdogo Igunga (UPDATES): Upigaji Kura

Status
Not open for further replies.

Mhe PCCB wao wameamua kula mishahara ya walipa Kodi bure?
 
Kwanini hamkuchukuwa hizo fedha?
hebu fafanua mkuu azichukue halafu....yaani mfano polisi akikamata mwizi kaiba radio unashauli polisi aichukue hiyo redio au unaimanisha nini....
 
Makamanda Msilale, fanyeni kweli tuchukue jimbo!
 
Nimeota CHADEMA imeshinda kwa ushindi mdogo huko Igunga, na kata 10 za udiwani katika chaguzi ndogo zimeenda chadema
 
alfred masako na fatma nyangasa wanajaribu kuchambua mchakato wa jinsi upigaji kura unaoendelea huko igunga. huyu mpigapicha anavyomuonyesha fatma kwa nyuma tu, anaharibu concetration
Wanataka wamchanganye Nchemba ili concentration yake ya kutoa hongo ipungue.
 
hilo liko wazi akina mama wangapi wanapata mda wa kutembelea mitandano kama JF...hivyo hivyo kwa wazee kuwaelimisha vijana hitaji nguvu nyingi sana tofauti na mtu ambae hata kusoma ni shida anaenda kwa kukalili tu...
 
14.16pm - ITV/Radio One wameripoti kuwa kuna watu wamekamatwa kwenye kituo wakiwa na shahada halisi za watu wengine pamoja na photocopies. Inasuburiwa neno la polisi katika mkutano na waandishi baada ya muda.
 
Mimi naamini katika ukweli. Kama kweli watu walijitokeza wengi kupiga kura mpaka hivi sasa ni akina mama na wazee basi ccm itashinda uchaguzi. Akina mama na wazee bado ni kundi la watu linaloridhika sana na hali walionayo.

Hata wakiwa na matatizo, watalalamika lakini hawatachukuwa uamuzi wa kufanya mabadiliko. Na CCM inalijua sana hilo.
 
hebu fafanua mkuu azichukue halafu....yaani mfano polisi akikamata mwizi kaiba radio unashauli polisi aichukue hiyo redio au unaimanisha nini....
Kwani wao ni Polisi!

Hizo fedha zitarudi tena kwenye mzunguko wa hongo, kama wanazikamata na kuwaacha nazo.
 
alfred masako na fatma nyangasa wanajaribu kuchambua mchakato wa jinsi upigaji kura unaoendelea huko igunga. huyu mpigapicha anavyomuonyesha fatma kwa nyuma tu, anaharibu concetration

Ha ha ha haaaaaaaa...........!! Mbufyaaaa, umesomeka.
 
Are these people serious? How on earth can such stupid thing kutokea tena kwa kajimbo kamoja tu

Sisiemu you are more than tired, hakika mmetuchoka sana watanzania...halafu utalisikia lile jinga la NEC linakuja kusema CDM wanaleta vurugu, uko wapi sasa kuzuia chanzo cha vurugu kama ujinga huu....

Sipendi vurugu ila nikisikia mtu kama huyu kapigwa na hata kavunjwa na kung'olewa meno nitakuwa na furaha japo huzuni pia upande robo wa nafsi yangu
 
Inaonekana hali si nzuri kwa CCM, maana hata wale makuwadi wa Mafisadi humu JF wamekimbia gafla!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…