Uchaguzi mkuu JF, tumchague rais hapa

Uchaguzi mkuu JF, tumchague rais hapa

Mimi Dume suruali ..Natangaza kugombea nafasi hii, Nawaahidi;

1)Mkinichagua kutakuwa hakuna Ban kwa yeyote yule

2)Nitakuwa natoa pesa za Vocha kila siku ili kila member aweze kuingia jf

3)kutokana na member wengi wa kiume(madomo zege) ambao wanatafuta watoto wazuri humu jf bila mafanikio, NATOA AHADI mkinichagua basi mimi nitawaunganishia moja kwa moja kwa demu unayemtaka humu jf (kwani nina phd ya kutongoza) hivyo basi watoto wazuri Kama akina
Miss Natafuta
miss chaga
Nifah
Evelyn Salt
Heaven Sent
faiza foxy
Mama facebuku
Joanah
Scorpio me
Shunie....etc

Kwani wote hawa nina namba zao

Nikiwa rais nawaahidi MTAWAPATA
Chagua dume suruali kwa maendeleo ya jamii forum.

_dume suruali_
We chiboko
 
Rais mbona tunae kitambo

@Kiranga,simba!

The most enlivening and perspicacious member of Jf
 
Kaz za huyo rais na makamo wake ni nin?
 
Mm nitagombea upande wa tanzania visiwani...watu wa michenzani,mwanakerekwe,fuoni,makunduchi,chakechake,mjini magharibi na kwingineko naomba mnipe kura zenu
 
Me naona huyu mtuma Uzi atakuwa ametumwa baada ya Mello kugoma kutoa ID za wateja wake sasa huyu akimaliza kutafuta rais ataomba namba zake kisha rais atatafutwa kisha apelekwe Mikocheni akataje baadhi ya watu ambao anajua wanatumia jf
 
Me naona huyu mtuma Uzi atakuwa ametumwa baada ya Mello kugoma kutoa ID za wateja wake sasa huyu akimaliza kutafuta rais ataomba namba zake kisha rais atatafutwa kisha apelekwe Mikocheni akataje baadhi ya watu ambao anajua wanatumia jf
hahaaaa mwee shndwa na ulegee mm na fisiem wap na wap
 
Me naona huyu mtuma Uzi atakuwa ametumwa baada ya Mello kugoma kutoa ID za wateja wake sasa huyu akimaliza kutafuta rais ataomba namba zake kisha rais atatafutwa kisha apelekwe Mikocheni akataje baadhi ya watu ambao anajua wanatumia jf
hahaaa mm na fisiem wap na wap
 
Me naona huyu mtuma Uzi atakuwa ametumwa baada ya Mello kugoma kutoa ID za wateja wake sasa huyu akimaliza kutafuta rais ataomba namba zake kisha rais atatafutwa kisha apelekwe Mikocheni akataje baadhi ya watu ambao anajua wanatumia jf
hahaaaa mwee mm na fisiem wap na wap kwanza namba za nn?
 
pendekezeni watu mwisho ni leo saa kumi
 
Back
Top Bottom