Mimi Dume suruali ..Natangaza kugombea nafasi hii, Nawaahidi;
1)Mkinichagua kutakuwa hakuna Ban kwa yeyote yule
2)Nitakuwa natoa pesa za Vocha kila siku ili kila member aweze kuingia jf
3)kutokana na member wengi wa kiume(madomo zege) ambao wanatafuta watoto wazuri humu jf bila mafanikio, NATOA AHADI mkinichagua basi mimi nitawaunganishia moja kwa moja kwa demu unayemtaka humu jf (kwani nina phd ya kutongoza) hivyo basi watoto wazuri Kama akina
Miss Natafuta
miss chaga
Nifah
Evelyn Salt
Heaven Sent
faiza foxy
Mama facebuku
Joanah
Scorpio me
Shunie....etc
Kwani wote hawa nina namba zao
Nikiwa rais nawaahidi MTAWAPATA
Chagua dume suruali kwa maendeleo ya jamii forum.
_dume suruali_