Uchaguzi mkuu JF, tumchague rais hapa

Uchaguzi mkuu JF, tumchague rais hapa

atakayetajwa zaid ama kupendekezwa na watu wengi kuliko wenzake ndo atakua rais wa jf
Kwahiyo unataka watu wafuate mawazo yako bila makubaliano? Uliwahi kuona wapi uchaguzi unafanywa ghafla kama unapiga chafya? Acha kutupeleka utakavyo kila jambo lzma liwe na maandalizi ya kutosha na si kukirupuka kama ulivyokurupuka mleta mada
 
Najua watu watachaguana kwa umaarufu wao humu kuliko vigezo... kwanza we uliyeleta uzi ni km nani humu JF.. ???

Kiongozi anatakiwa kuwa...
Smart IQ
asiwe mwanasiasa
Awe active mara kwa mara
Asiwe na udini
Asiwe mtu wa serikali
Asiwe na umri zaid ya miaka 40 wala chini ya 25. N.k
Mkuu huyo atakuwa amelewa lusekelo
 
Back
Top Bottom