Pre GE2025 Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 utafanyika kwa amani na utulivu sana, CHADEMA hawataambulia kitu chochote, wapuuzwe tu!

Pre GE2025 Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 utafanyika kwa amani na utulivu sana, CHADEMA hawataambulia kitu chochote, wapuuzwe tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio mishipa tu gentleman,
CCM imedhamiria kuwatoa waTanzania wa makundi yote katika lindi la umasikini na kuwafanya wajitegemea na kufurahia Utaifa na Tanzania wao 🐒
Miaka 60 ya uhuru ahadi ni zile zile miaka yote hiyo bado nchi imekaa kama ipo vitani🤔
 
October ya mwaka huu 2025, ndio mwezi wa uchaguzi wa Tanzania kwa mujibu wa katiba.
Ni wasaa muhimu sana kwa vyama vya siasa kote nchini kujiandaa vizuri kisera na kwa hali na mali ili hatimae kushiriki kikamilifu tendo hilo muhimu la kidemokrasi kwa mujibu wa katiba.

Vipo vyama mbalimbali vya siasa nchini, kwasababu zao mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukata wa pesa na kukosa agenda, vimeonyesha dalili ya kususa au kugomea uchaguzi huo muhimu sana wa kihistoria na kuwachochea wafuasi wao kujipanga kuleta fujo hususani kwa kuwazuia wananchi ambao wako tayari kutumia uhuru na haki zao za msingi za kupiga kura.

Pamoja na hayo yote yanayopangwa na vyama hivyo vya kisiasa vilivyokosa hoja, uelekeo na ushawishi kwa wananchi hususani chadema, hakuna faida yoyote watakayoambulia ispokua kujipoteza yenyewe kwenye medani ya siasa, hakuna athari zozote za kisiasa wala kikatiba zitatokea kwa kususa kwao uchaguzi kisayansi, na zaidi sana, hakuna chochote wanachoweza kufanya chadema popote nchi hii with my deadbody hasa pale wanapoongozwa na kibaka na tapeli wa kisiasa.

una maoni gani mbadala ndugu mdau?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Vyama gani hivyo kwa nchi hii ukiacha CHADEMA na ACT Wazalendo. Hivyo fuata upepo na hawapati hata 1. Mbona watu wao hawauwawi wala kutekwa zaidi ya ACT na CDM.
Ulisikia wapi mfuqsi wa TADEA au TLP ametekwa na kuuwawa!!
 
Vyama gani hivyo kwa nchi hii ukiacha CHADEMA na ACT Wazalendo. Hivyo fuata upepo na hawapati hata 1. Mbona watu wao hawauwawi wala kutekwa zaidi ya ACT na CDM.
Ulisikia wapi mfuqsi wa TADEA au TLP ametekwa na kuuwawa!!
ng'ang'ana na chama chako gentleman,
huna haja ya kubabaika na vyama visivyokuhusu kwenye mfumo huru wa vyama vingi :pedroP:
 
Miaka 60 ya uhuru ahadi ni zile zile miaka yote hiyo bado nchi imekaa kama ipo vitani🤔
ahidi ahadi zako na chama chako gentleman,

huna haja ya kubabaishwa na ahadi za vyama vingine vya siasa,
kupitia chama chako huru cha siasa, washawishi wananchi wakubaliana na ahadi zako bora na muhimu zaidi ya vyama vingine,

na bilashaka kura za wananchi zitaamua nani ashike na kuongoza dola:NoGodNo:
 
Hata ule uchaguzi ulioandaliwa na MKWE MWENYE KIFUA KIPANA tulismbiwa vivyo hivyo. Matokeo yake tumeyaona.

By the way, nasikia Mkwe kavuta Mke wa tatu, Maza kamnunia.
gentleaman,
akili za kuambiwa changanya na zako,

kibaka na tapeli wa siasa anawarubuni watu pesa, fikra, uhuru na haki ya kupiga kura kaa chonjo, utapigwa :pedroP:
 
Hii ni kweli kabisa,maana anaye hesabu kura ndiye anayetangaza matokeo. Kama kura za wananchi zingekuwa zinaamua matokeo ya uchaguzi basi usingeweza kupost mada ya kijinga kama hii.
muerevu tafadhali,
eleza maoni yako bila mihemko wala makasiriko.

kumbuka uchaguzi mkuu ni october mwaka huu2025,
usipange kukosa:NoGodNo:
 
Kwa hiyo tz ni nchi ya vibaka na matapeli. Kwa sababu inachangiwa 60% ya bajeti yake na wazungu? Wewe unawaita wafadhili/ wahisani ?
Unajua chochote kuhusu uchaguzi huru na wa haki? Una kumbuka chochote kilichotokea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020? 2019 na ule wa Nov 2024?
Kutakuwa na matatizo makubwa sana y akili kama hujui hata maaana ya uchaguzi huru na wa haki?
Mtu kudai haki za kikatiba ni makosa kwa akili zako wewe? Anavunja sheria? Ipi? Iliyotungwa na bunge lini?

Aliyekuambia kudai haki za kiraiya ikiwemo uchaguzi huru na wa haki unaumixwa na wewe ukakubali ndo aliyekufanya wewe uwe na matatizo ya akili na hujui kama unayo
uerevu relax kwanza kidogo,
hivi unaambiwaje kuhusu mambo ambayo ni bayana kuhusu uchaguzi wa kikatiba Tanzania?
au ndio maana mnapotoshwa kirahisi hivyo?

nasikitika sana aise,
unaonyesha kila dalili kwamba tayari nawe ni miongoni mwa victims wa utapeli wa kibaka wa kisiasa nchini,

na kuna uwezekano tayari umeshatapeliwa pesa,
na vilevile ni wazi umeshawishika kurubuniwa uhuru na haki yako ya kikatiba ya kupiga kura, dah!

pole gentleman:pedroP:
 
Una maanisha Wananchi wapuizwe tu sababu hawaba thamani si ndiyo. Kweli kiburi hiki cha hawa CCM kifikie mwisho sasa.
 
Una maanisha Wananchi wapuizwe tu sababu hawaba thamani si ndiyo. Kweli kiburi hiki cha hawa CCM kifikie mwisho sasa.
Yes,
ni muhimu sana wananchi kujihadhari na vibaka na matapeli wa kisiasa nchini, wenye lengo la kuwatapeli pesa na kuwarubuni uhuru na haki zao za kikatiba za kushiriki chaguzi huru, za haki na wazi hususani uchaguzi mkuu wa Oct mwaka huu 2025🐒
 
Vichekesho vimeanza
GkcfYkSXwAAafJL.jpeg
 
October ya mwaka huu 2025, ndio mwezi wa uchaguzi wa Tanzania kwa mujibu wa katiba.
Ni wasaa muhimu sana kwa vyama vya siasa kote nchini kujiandaa vizuri kisera na kwa hali na mali ili hatimae kushiriki kikamilifu tendo hilo muhimu la kidemokrasi kwa mujibu wa katiba.

Vipo vyama mbalimbali vya siasa nchini, kwasababu zao mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukata wa pesa na kukosa agenda, vimeonyesha dalili ya kususa au kugomea uchaguzi huo muhimu sana wa kihistoria na kuwachochea wafuasi wao kujipanga kuleta fujo hususani kwa kuwazuia wananchi ambao wako tayari kutumia uhuru na haki zao za msingi za kupiga kura.

Pamoja na hayo yote yanayopangwa na vyama hivyo vya kisiasa vilivyokosa hoja, uelekeo na ushawishi kwa wananchi hususani chadema, hakuna faida yoyote watakayoambulia ispokua kujipoteza yenyewe kwenye medani ya siasa, hakuna athari zozote za kisiasa wala kikatiba zitatokea kwa kususa kwao uchaguzi kisayansi, na zaidi sana, hakuna chochote wanachoweza kufanya chadema popote nchi hii with my deadbody hasa pale wanapoongozwa na kibaka na tapeli wa kisiasa.

una maoni gani mbadala ndugu mdau?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe na Mnyape Mnyauye nani yuko serikalini na kwenye Chama. Ulisikia aliyoyasema Bukoba. Kwamba sanduku la kura haliamui mshindi. Kukaa kimya kunakupunguzia ujinga kuliko kuzidi kuongea na kukuzidishia kudharaulika.
 
Kama kuna chama chenye waoga duniani basi hiki chama namba moja, badala wajibu hoja za wapinzani wao wanakwenda kusho.Lazimisheni huo uchaguzi bila ya mabadiliko lkn ipo siku mtakuja kujuta
 
kwahiyo yule kibaka na tapeli wa kisiasa anaewshawishi na kuwaibia wananchama wake pesa za pocket money yake, huku akiwarubuni pia uhuru na haki zao za kushiriki demokrasia ya kupiga kura ndio anafanya kazi ya maana sana right, gentleman?

na vip tayari umeshatapeliwa pesa ambayo unge mnunulia mwanao shati la shule? pole lakini:pedroP:
Kama ukiibua hoja ya utapeli asee ccm nyie ni matapeli...maji, afya, barabara, shule, hospitali, viwanda, tozo, unyonge n.k mnatumia hoja zile zile miaka nende rudi kuanzia uhuru kuwarubuni na kuwatapeli wananchi!
You are thieves!?
 
Back
Top Bottom