Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #61
ndoto za mchana hizo gentlemanUCHAGUZI HAUTAKUWEPO KABISA NA KAMA UTAKUWEPO VITUO VITACHOMWA MOTO NA ATAKAYEENDA KUCHAGUA ANAPIGWA MAWE .Maana upinzani hatutakuwa na Cha kupoteza wakati huo

hayupo wa kuthubutu kufanya uhalifu huo upinzani,
mwenye kiburi na ukaidi katiaka kuhatarisha amani na utulivu wakati wa uchaguzi,
atashenyentwa vizuri sana bila hata kucheleweshwa sekunde moja.
Niwahakikishie tu waTanzania hasa wadau wa JF, uchaguzi mkuu utafanyika kwa salama na amani ya kiwango cha juu mno octobaer mwaka huu2025
