Pre GE2025 Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 utafanyika kwa amani na utulivu sana, CHADEMA hawataambulia kitu chochote, wapuuzwe tu!

Pre GE2025 Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 utafanyika kwa amani na utulivu sana, CHADEMA hawataambulia kitu chochote, wapuuzwe tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unachekesha, chadema ndio chama cha kupewa kura hakuna wa kukipuuza
sawa gentleman,
kura zitawafuata singinda nyumbani kwa kiongozi wenu tapeli na kibaka wa siasa. hakuna haja ya kampeni wala kushiriki uchaguzi 🐒
 
Ila sio amani ya rohoni, roho inataka katiba mpya.
katiba sio kipaumbele cha waTanzania, chama na serikali, bali ni utapeli wa vibaka wachache wa kisiasa tu ambao wamekosa hoja mahususi kuhusu mahitaji ya wananchi 🐒

h
 
Sio mishipa tu gentleman,
CCM imedhamiria kuwatoa waTanzania wa makundi yote katika lindi la umasikini na kuwafanya wajitegemea na kufurahia Utaifa na Tanzania wao 🐒
Miaka yote hiyo mmeshindwa kuwatoa kwenye hilo lindi la umaskini mnaleta porojo hapa,bila marekebisho me naona hamna haja ya uchaguzi ni heri mwendelee kubaki tu mamlakani kuliko kutuharibia kodi zetu aisee.
 
Miaka yote hiyo mmeshindwa kuwatoa kwenye hilo lindi la umaskini mnaleta porojo hapa,bila marekebisho me naona hamna haja ya uchaguzi ni heri mwendelee kubaki tu mamlakani kuliko kutuharibia kodi zetu aisee.
Gentleman,
unadhani habari ya kusema sijui eti heri kuendelea kubaki mamlakani itambabaisha mtu, la hashaaa..

uchaguzi mkuu wa Tanzania utafanyika kwa mujibu wa katiba, kwa uhuru, uwazi na haki kwa kila mTanzania kushiriki kuamua mustakabali wa taifa,

ukizira, sisi twala bila mbambamba yoyote 🐒
 
Gentleman,
polisi, raia, wananchi na waTanzania wote waliotimiza vigezo stahiki na sifa za kikatiba za kupiga kura, watashiriki kikamilifu zoezi la kihistoria la kupiga kura October mwaka huu 2025.

Imani na dhana potofu, ramli na ushirikiana fanyeni huko huko kwenye vyama vyenu 🐒
Imani na dhana potofu unazijua wewe wenzako hawazijui??
 
October ya mwaka huu 2025, ndio mwezi wa uchaguzi wa Tanzania kwa mujibu wa katiba.
Ni wasaa muhimu sana kwa vyama vya siasa kote nchini kujiandaa vizuri kisera na kwa hali na mali ili hatimae kushiriki kikamilifu tendo hilo muhimu la kidemokrasi kwa mujibu wa katiba.

Vipo vyama mbalimbali vya siasa nchini, kwasababu zao mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukata wa pesa na kukosa agenda, vimeonyesha dalili ya kususa au kugomea uchaguzi huo muhimu sana wa kihistoria na kuwachochea wafuasi wao kujipanga kuleta fujo hususani kwa kuwazuia wananchi ambao wako tayari kutumia uhuru na haki zao za msingi za kupiga kura.

Pamoja na hayo yote yanayopangwa na vyama hivyo vya kisiasa vilivyokosa hoja, uelekeo na ushawishi kwa wananchi hususani chadema, hakuna faida yoyote watakayoambulia ispokua kujipoteza yenyewe kwenye medani ya siasa, hakuna athari zozote za kisiasa wala kikatiba zitatokea kwa kususa kwao uchaguzi kisayansi, na zaidi sana, hakuna chochote wanachoweza kufanya chadema popote nchi hii with my deadbody hasa pale wanapoongozwa na kibaka na tapeli wa kisiasa.

una maoni gani mbadala ndugu mdau?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Weka tume huru ya Uchaguzi uone kama Chadema haitaambulia kitu, ila Kwa tume hii ya Uchafuzi mliyonayo unaweza kuongea hivyo, kwanza mwaka huu mgombea wenu huko Chama cha Kijani Hana ushawishi na mtaiba kura sana mwaka huu
 
Imani na dhana potofu unazijua wewe wenzako hawazijui??
msipokua makini mtatapeliwa sana na vibaka wa kisiasa ndugu zangu vijana,

kaeni rada, kaeni chonjo 🐒
 
Weka tume huru ya Uchaguzi uone kama Chadema haitaambulia kitu, ila Kwa tume hii ya Uchafuzi mliyonayo unaweza kuongea hivyo, kwanza mwaka huu mgombea wenu huko Chama cha Kijani Hana ushawishi na mtaiba kura sana mwaka huu
Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania ipo kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, na sio ushirikiana wa vibaka na matapeli wa kisiasa.

Chaguzi za Tanzania zitaendelea kusimamiwa na Tume huru ya uchaguzi iliyopo bila kujali makelele na midomo ya waliokosa agenda 🐒
 
Hiki chama kitakutoa mshipa😂🤣🤣
Sio mshipa tuu hata pull, maana ni kama mtu alaye chakula kigumu bila kunywa maji!
Ukisoma maandiko yake inaonyesha NO REFORM NO ELECTION Ni neno gumu sana kwake kulimeza hivyo aangalie lisimtoe pull maliwato
 
Sio mshipa tuu hata pull, maana ni kama mtu alaye chakula kigumu bila kunywa maji!
Ukisoma maandiko yake inaonyesha NO REFORM NO ELECTION Ni neno gumu sana kwake kulimeza hivyo aangalie lisimtoe pull maliwato
pwagu na pwaguzi mnapeana moyo na matumaini sio, dah!
mbona kinyonge sana aise 🤣
 
Gentleman,
unadhani habari ya kusema sijui eti heri kuendelea kubaki mamlakani itambabaisha mtu, la hashaaa..

uchaguzi mkuu wa Tanzania utafanyika kwa mujibu wa katiba, kwa uhuru, uwazi na haki kwa kila mTanzania kushiriki kuamua mustakabali wa taifa,

ukizira, sisi twala bila mbambamba yoyote 🐒
Mkila hamuwezi shiba bali mtavimbilwa tu.
 
Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania ipo kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, na sio ushirikiana wa vibaka na matapeli wa kisiasa.

Chaguzi za Tanzania zitaendelea kusimamiwa na Tume huru ya uchaguzi iliyopo bila kujali makelele na midomo ya waliokosa agenda 🐒
Duh! Umekuwa kipofu
 
Mkila hamuwezi shiba bali mtavimbilwa tu.
hivi yule tapeli na ombaomba wa kuchangiwa pesa mara kwa mara, hivi hua hatosheki wala kuona aibu gentleman?

uchaguzi mkuu ni Oct mwaka huu 2025🐒
 
October ya mwaka huu 2025, ndio mwezi wa uchaguzi wa Tanzania kwa mujibu wa katiba.
Ni wasaa muhimu sana kwa vyama vya siasa kote nchini kujiandaa vizuri kisera na kwa hali na mali ili hatimae kushiriki kikamilifu tendo hilo muhimu la kidemokrasi kwa mujibu wa katiba.

Vipo vyama mbalimbali vya siasa nchini, kwasababu zao mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukata wa pesa na kukosa agenda, vimeonyesha dalili ya kususa au kugomea uchaguzi huo muhimu sana wa kihistoria na kuwachochea wafuasi wao kujipanga kuleta fujo hususani kwa kuwazuia wananchi ambao wako tayari kutumia uhuru na haki zao za msingi za kupiga kura.

Pamoja na hayo yote yanayopangwa na vyama hivyo vya kisiasa vilivyokosa hoja, uelekeo na ushawishi kwa wananchi hususani chadema, hakuna faida yoyote watakayoambulia ispokua kujipoteza yenyewe kwenye medani ya siasa, hakuna athari zozote za kisiasa wala kikatiba zitatokea kwa kususa kwao uchaguzi kisayansi, na zaidi sana, hakuna chochote wanachoweza kufanya chadema popote nchi hii with my deadbody hasa pale wanapoongozwa na kibaka na tapeli wa kisiasa.

una maoni gani mbadala ndugu mdau?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Mbona mnaohopa sasa katiba mpya
 
Mbona mnaohopa sasa katiba mpya
siyo muhimu hata kidogo,

vipaumbele vya wananchi na waTanzania wote ni mahitaji yao ya msingi ya kila siku,

huenda hicho unachokitaja ni kipaumbele cha upotoshaji na utapeli wa viongoz chama chenu 🐒
 
"Neto" tayari washaanza kuwaweka roho juu na kuanza kuita polisi iwasaidie sasa no reforms no election si ndio mtalala na gambuti zenye tope
 
Back
Top Bottom