Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka yote hiyo mmeshindwa kuwatoa kwenye hilo lindi la umaskini mnaleta porojo hapa,bila marekebisho me naona hamna haja ya uchaguzi ni heri mwendelee kubaki tu mamlakani kuliko kutuharibia kodi zetu aisee.Sio mishipa tu gentleman,
CCM imedhamiria kuwatoa waTanzania wa makundi yote katika lindi la umasikini na kuwafanya wajitegemea na kufurahia Utaifa na Tanzania wao 🐒
Gentleman,Miaka yote hiyo mmeshindwa kuwatoa kwenye hilo lindi la umaskini mnaleta porojo hapa,bila marekebisho me naona hamna haja ya uchaguzi ni heri mwendelee kubaki tu mamlakani kuliko kutuharibia kodi zetu aisee.
Imani na dhana potofu unazijua wewe wenzako hawazijui??Gentleman,
polisi, raia, wananchi na waTanzania wote waliotimiza vigezo stahiki na sifa za kikatiba za kupiga kura, watashiriki kikamilifu zoezi la kihistoria la kupiga kura October mwaka huu 2025.
Imani na dhana potofu, ramli na ushirikiana fanyeni huko huko kwenye vyama vyenu 🐒
Weka tume huru ya Uchaguzi uone kama Chadema haitaambulia kitu, ila Kwa tume hii ya Uchafuzi mliyonayo unaweza kuongea hivyo, kwanza mwaka huu mgombea wenu huko Chama cha Kijani Hana ushawishi na mtaiba kura sana mwaka huuOctober ya mwaka huu 2025, ndio mwezi wa uchaguzi wa Tanzania kwa mujibu wa katiba.
Ni wasaa muhimu sana kwa vyama vya siasa kote nchini kujiandaa vizuri kisera na kwa hali na mali ili hatimae kushiriki kikamilifu tendo hilo muhimu la kidemokrasi kwa mujibu wa katiba.
Vipo vyama mbalimbali vya siasa nchini, kwasababu zao mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukata wa pesa na kukosa agenda, vimeonyesha dalili ya kususa au kugomea uchaguzi huo muhimu sana wa kihistoria na kuwachochea wafuasi wao kujipanga kuleta fujo hususani kwa kuwazuia wananchi ambao wako tayari kutumia uhuru na haki zao za msingi za kupiga kura.
Pamoja na hayo yote yanayopangwa na vyama hivyo vya kisiasa vilivyokosa hoja, uelekeo na ushawishi kwa wananchi hususani chadema, hakuna faida yoyote watakayoambulia ispokua kujipoteza yenyewe kwenye medani ya siasa, hakuna athari zozote za kisiasa wala kikatiba zitatokea kwa kususa kwao uchaguzi kisayansi, na zaidi sana, hakuna chochote wanachoweza kufanya chadema popote nchi hii with my deadbody hasa pale wanapoongozwa na kibaka na tapeli wa kisiasa.
una maoni gani mbadala ndugu mdau?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Tume Huru ya Uchaguzi Tanzania ipo kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, na sio ushirikiana wa vibaka na matapeli wa kisiasa.Weka tume huru ya Uchaguzi uone kama Chadema haitaambulia kitu, ila Kwa tume hii ya Uchafuzi mliyonayo unaweza kuongea hivyo, kwanza mwaka huu mgombea wenu huko Chama cha Kijani Hana ushawishi na mtaiba kura sana mwaka huu
Sio mshipa tuu hata pull, maana ni kama mtu alaye chakula kigumu bila kunywa maji!Hiki chama kitakutoa mshipa😂🤣🤣
pwagu na pwaguzi mnapeana moyo na matumaini sio, dah!Sio mshipa tuu hata pull, maana ni kama mtu alaye chakula kigumu bila kunywa maji!
Ukisoma maandiko yake inaonyesha NO REFORM NO ELECTION Ni neno gumu sana kwake kulimeza hivyo aangalie lisimtoe pull maliwato
Mkila hamuwezi shiba bali mtavimbilwa tu.Gentleman,
unadhani habari ya kusema sijui eti heri kuendelea kubaki mamlakani itambabaisha mtu, la hashaaa..
uchaguzi mkuu wa Tanzania utafanyika kwa mujibu wa katiba, kwa uhuru, uwazi na haki kwa kila mTanzania kushiriki kuamua mustakabali wa taifa,
ukizira, sisi twala bila mbambamba yoyote 🐒
Duh! Umekuwa kipofuTume Huru ya Uchaguzi Tanzania ipo kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, na sio ushirikiana wa vibaka na matapeli wa kisiasa.
Chaguzi za Tanzania zitaendelea kusimamiwa na Tume huru ya uchaguzi iliyopo bila kujali makelele na midomo ya waliokosa agenda 🐒
Mbona mnaohopa sasa katiba mpyaOctober ya mwaka huu 2025, ndio mwezi wa uchaguzi wa Tanzania kwa mujibu wa katiba.
Ni wasaa muhimu sana kwa vyama vya siasa kote nchini kujiandaa vizuri kisera na kwa hali na mali ili hatimae kushiriki kikamilifu tendo hilo muhimu la kidemokrasi kwa mujibu wa katiba.
Vipo vyama mbalimbali vya siasa nchini, kwasababu zao mbalimbali ikiwa ni pamoja na ukata wa pesa na kukosa agenda, vimeonyesha dalili ya kususa au kugomea uchaguzi huo muhimu sana wa kihistoria na kuwachochea wafuasi wao kujipanga kuleta fujo hususani kwa kuwazuia wananchi ambao wako tayari kutumia uhuru na haki zao za msingi za kupiga kura.
Pamoja na hayo yote yanayopangwa na vyama hivyo vya kisiasa vilivyokosa hoja, uelekeo na ushawishi kwa wananchi hususani chadema, hakuna faida yoyote watakayoambulia ispokua kujipoteza yenyewe kwenye medani ya siasa, hakuna athari zozote za kisiasa wala kikatiba zitatokea kwa kususa kwao uchaguzi kisayansi, na zaidi sana, hakuna chochote wanachoweza kufanya chadema popote nchi hii with my deadbody hasa pale wanapoongozwa na kibaka na tapeli wa kisiasa.
una maoni gani mbadala ndugu mdau?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
siyo muhimu hata kidogo,Mbona mnaohopa sasa katiba mpya
sawa gentleman,
kura zitawafuata singinda nyumbani kwa kiongozi wenu tapeli na kibaka wa siasa. hakuna haja ya kampeni wala kushiriki uchaguzi