Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #81
relax basi gentleman, hujua kwamba hasira za mkizi furaha kwa mvuvi?Pumbavu kabisa so kwako qewe wana wa nchi kudai haki zao ni KUHATARISHA AMANI ya NCHI? unajua maana ya amani wewe au unaharisha tu kama chizi aliyeona jalala jipya???

haki huambatana na wajibu,
huwezi kuchochea chuki, fujo na vurugu kwa wenye amani ukaachwa tu.
utashughulikiwa kisawasawa ili iwe fundisho kwe wengine wenye tabia kama hizo.
uchaguzi mkuu utafanyika kwa salama na amani mapema octobaer ya mwaka huu2025.
usipange kukosa gentleman


