Pre GE2025 Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 utafanyika kwa amani na utulivu sana, CHADEMA hawataambulia kitu chochote, wapuuzwe tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sio mishipa tu gentleman,
CCM imedhamiria kuwatoa waTanzania wa makundi yote katika lindi la umasikini na kuwafanya wajitegemea na kufurahia Utaifa na Tanzania wao πŸ’
Miaka 60 ya uhuru ahadi ni zile zile miaka yote hiyo bado nchi imekaa kama ipo vitaniπŸ€”
 
Vyama gani hivyo kwa nchi hii ukiacha CHADEMA na ACT Wazalendo. Hivyo fuata upepo na hawapati hata 1. Mbona watu wao hawauwawi wala kutekwa zaidi ya ACT na CDM.
Ulisikia wapi mfuqsi wa TADEA au TLP ametekwa na kuuwawa!!
 
Vyama gani hivyo kwa nchi hii ukiacha CHADEMA na ACT Wazalendo. Hivyo fuata upepo na hawapati hata 1. Mbona watu wao hawauwawi wala kutekwa zaidi ya ACT na CDM.
Ulisikia wapi mfuqsi wa TADEA au TLP ametekwa na kuuwawa!!
ng'ang'ana na chama chako gentleman,
huna haja ya kubabaika na vyama visivyokuhusu kwenye mfumo huru wa vyama vingi
 
Miaka 60 ya uhuru ahadi ni zile zile miaka yote hiyo bado nchi imekaa kama ipo vitaniπŸ€”
ahidi ahadi zako na chama chako gentleman,

huna haja ya kubabaishwa na ahadi za vyama vingine vya siasa,
kupitia chama chako huru cha siasa, washawishi wananchi wakubaliana na ahadi zako bora na muhimu zaidi ya vyama vingine,

na bilashaka kura za wananchi zitaamua nani ashike na kuongoza dola
 
Hata ule uchaguzi ulioandaliwa na MKWE MWENYE KIFUA KIPANA tulismbiwa vivyo hivyo. Matokeo yake tumeyaona.

By the way, nasikia Mkwe kavuta Mke wa tatu, Maza kamnunia.
gentleaman,
akili za kuambiwa changanya na zako,

kibaka na tapeli wa siasa anawarubuni watu pesa, fikra, uhuru na haki ya kupiga kura kaa chonjo, utapigwa
 
Hii ni kweli kabisa,maana anaye hesabu kura ndiye anayetangaza matokeo. Kama kura za wananchi zingekuwa zinaamua matokeo ya uchaguzi basi usingeweza kupost mada ya kijinga kama hii.
muerevu tafadhali,
eleza maoni yako bila mihemko wala makasiriko.

kumbuka uchaguzi mkuu ni october mwaka huu2025,
usipange kukosa
 
uerevu relax kwanza kidogo,
hivi unaambiwaje kuhusu mambo ambayo ni bayana kuhusu uchaguzi wa kikatiba Tanzania?
au ndio maana mnapotoshwa kirahisi hivyo?

nasikitika sana aise,
unaonyesha kila dalili kwamba tayari nawe ni miongoni mwa victims wa utapeli wa kibaka wa kisiasa nchini,

na kuna uwezekano tayari umeshatapeliwa pesa,
na vilevile ni wazi umeshawishika kurubuniwa uhuru na haki yako ya kikatiba ya kupiga kura, dah!

pole gentleman
 
Una maanisha Wananchi wapuizwe tu sababu hawaba thamani si ndiyo. Kweli kiburi hiki cha hawa CCM kifikie mwisho sasa.
 
Una maanisha Wananchi wapuizwe tu sababu hawaba thamani si ndiyo. Kweli kiburi hiki cha hawa CCM kifikie mwisho sasa.
Yes,
ni muhimu sana wananchi kujihadhari na vibaka na matapeli wa kisiasa nchini, wenye lengo la kuwatapeli pesa na kuwarubuni uhuru na haki zao za kikatiba za kushiriki chaguzi huru, za haki na wazi hususani uchaguzi mkuu wa Oct mwaka huu 2025πŸ’
 
Wewe na Mnyape Mnyauye nani yuko serikalini na kwenye Chama. Ulisikia aliyoyasema Bukoba. Kwamba sanduku la kura haliamui mshindi. Kukaa kimya kunakupunguzia ujinga kuliko kuzidi kuongea na kukuzidishia kudharaulika.
 
Kama kuna chama chenye waoga duniani basi hiki chama namba moja, badala wajibu hoja za wapinzani wao wanakwenda kusho.Lazimisheni huo uchaguzi bila ya mabadiliko lkn ipo siku mtakuja kujuta
 
Kama ukiibua hoja ya utapeli asee ccm nyie ni matapeli...maji, afya, barabara, shule, hospitali, viwanda, tozo, unyonge n.k mnatumia hoja zile zile miaka nende rudi kuanzia uhuru kuwarubuni na kuwatapeli wananchi!
You are thieves!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…