Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu Tanzania urudiwe

Uchaguzi 2020 Uchaguzi Mkuu Tanzania urudiwe

Kama watumishi wa umma waliokuwa na vyeti feki walifutwa kazini hali kadhalika viongozi walioingia madarakani kwa kura feki waondolewe wote. Uchaguzi Mkuu urudiwe. Ulijaa wizi wa kura ngazi zote kuanzia Urais mpaka Udiwani.
Wewe inabidi urudiwe pia kuzaliwa,
 
Back
Top Bottom