Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Kwa sababu IQ yako ipo chini ya ile IQ ya kukuBado tu hasira hazijaisha? Nimeshasahau kama kulikuwa na uchaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu IQ yako ipo chini ya ile IQ ya kukuBado tu hasira hazijaisha? Nimeshasahau kama kulikuwa na uchaguzi
Ok fine kama hana njaa za kisiasa kwa kuwa ameshindwa ubunge aende akafanye biashara zake. Kwa nini analeta vurugu? Tumia akili kuwa na utajiri sio sababu ya kukosa njaa ya kisiasa. Nyie ndio huwa mnakufa huku mnaacha wanasiasa na familia zao wanakula bata kisa tu mnashabikia upuuzi.Acha maneno wewe ,unaongea nini punguza ukada ,mbowe sio saiz yako kuanzia kiuchumi huyu kakulia kwenye mapesa ,Hana njaa nyie ambao mmepata vibarua na kuanza ingiza m 3 may be kwa mwezi ndo mnaona maisha mmeyapatia, mlioanza pata vinafasi vya ukuu wa wilaya, mkoa ndo mwaona dunia yenu ,mbowe anauwezo wa kuacha siasa na asitetereke,
Uliza ni vijana wangapi kawatengeneza kwa fedha zake mwenyewe kua viongozi hata kabla ya kua mbunge mfano mh mnyika, zitto, leo mnasema eti gaid haitakuwa na atashinda asema bwana
Pole sana ndugu. Acha gubu endelea na maishaKwa sababu IQ yako ipo chini ya ile IQ ya kuku
Amelaaniwa ametegemea mwanadamu we endelea kufikiri eti Mbowe au Robert Amsterdam wanakupigania weweAcha kujitoa ufahamj Mbowe ,hata akikosa Ubunge Bado sio maskin mtu ana mpaka nyumba Dubai ,unafikili Mbowe ubunge unamuongezea nini ,Mbowe anapigania kizazi chako kijacho hacha kujitoa ufaham
Mbowe hajaleta vurugu ,hata moyo wako ni shuhuda, uhalibifu wa uchaguzi ndo chanzo Cha haya yote ,sio Mimi nasema ,nafikili unaona matamko mbalimbali kutoka sehem mbali mbali za dunia jinsi wanavyozungumzia uchaguzi huu,by the way wewe ni nani kumpangia mtu Cha kufanyaOk fine kama hana njaa za kisiasa kwa kuwa ameshindwa ubunge aende akafanye biashara zake. Kwa nini analeta vurugu? Tumia akili kuwa na utajiri sio sababu ya kukosa njaa ya kisiasa. Nyie ndio huwa mnakufa huku mnaacha wanasiasa na familia zao wanakula bata kisa tu mnashabikia upuuzi.
Huna akili, matamko toka nje yanahusika vipi? Walikuwepo vituoni? Mbona nchi zinazosema uchaguzi ulikuwa fair huzitaji? Kama uchaguzi haukuwa fair mbona walioshindwa walisaini fomu za matokeo? Pumbavu mkubwa.Mbowe hajaleta vurugu ,hata moyo wako ni shuhuda, uhalibifu wa uchaguzi ndo chanzo Cha haya yote ,sio Mimi nasema ,nafikili unaona matamko mbalimbali kutoka sehem mbali mbali za dunia jinsi wanavyozungumzia uchaguzi huu,by the way wewe ni nani kumpangia mtu Cha kufanya
Si hobi yangu ya matusi na nakuonya , utatembea na nyayo bila viatu ,live kabisa pitia hapa katika andiko lako ,nakuonya na nakuonya,sijui matusi mkuu ,Sasa ukiendelea sawa,unamtukanaje mtu ambae hajakutukana,na je matusi ndo kuwasilisha hoja,nakuonya kwa Mara nyingineAmelaaniwa ametegemea mwanadamu we endelea kufikiri eti mbowe au Robert Amsterdam wanakupigania wewe
Pumbavu kabisa fanya kazi mpuuzi mmoja
Wewe kama Nani?Kama watumishi wa umma waliokuwa na vyeti feki walifutwa kazini hali kadhalika viongozi walioingia madarakani kwa kura feki waondolewe wote. Uchaguzi Mkuu urudiwe. Ulijaa wizi wa kura ngazi zote kuanzia Urais mpaka Udiwani.
Miaka yote tunajua kuwa hakuna usawa na haki kwenye chaguzi na hali hiyo bado imeachwa kuendelea kuwepo na ndio maana sie wengine hatujisumbui kupiga kura,sasa safari hii ndio mnataka uchaguzi urudiwe sababu kulikuwa na kura feki kana kwamba vile hizo chaguzi za nyuma ccm walikuwa wanashinda kihalali.Sasa nchi inaenda kuongozwa na utawala haramu, usio na ridhaa ya wananchi kutokana na kura FEKi
Hahaha mtakubali?! Zanzibar iluwahi kutokea Sheni alishinda kwa asililimia 99.Kama watumishi wa umma waliokuwa na vyeti feki walifutwa kazini hali kadhalika viongozi walioingia madarakani kwa kura feki waondolewe wote. Uchaguzi Mkuu urudiwe. Ulijaa wizi wa kura ngazi zote kuanzia Urais mpaka Udiwani.
labda kama unaongelea uchaguzi wa Tanganyika Law SocietyKama watumishi wa umma waliokuwa na vyeti feki walifutwa kazini hali kadhalika viongozi walioingia madarakani kwa kura feki waondolewe wote. Uchaguzi Mkuu urudiwe. Ulijaa wizi wa kura ngazi zote kuanzia Urais mpaka Udiwani.
Wenye vituko ni Wana saccos usijumuishe watanzania wote.Hahaha mtakubali?! Zanzibar iluwahi kutokea Sheni alishinda kwa asililimia 99.
Au unamaanishisha warudie nini mkuu.
Yani tume ile ile, umeshasahau ya jana leo unataka kurudia uchaguzi?!
Hahaha watanzania mnavituko sana.
Wewe si unamtegemea Dictator Magu? Yeye anamtegemea Mbowe, huoni logic hapo. Wote wategemezi lakini umeona ati menzio mtumwa. Ungekaa kimya tu; stupid cantAmelaaniwa ametegemea mwanadamu we endelea kufikiri eti mbowe au Robert Amsterdam wanakupigania wewe
Pumbavu kabisa fanya kazi mpuuzi mmoja
Sasa hoja nini hapo🙄Kama watumishi wa umma waliokuwa na vyeti feki walifutwa kazini hali kadhalika viongozi walioingia madarakani kwa kura feki waondolewe wote. Uchaguzi Mkuu urudiwe. Ulijaa wizi wa kura ngazi zote kuanzia Urais mpaka Udiwani.
Kama unajua kuwa ccm huwa hawashindi kihalali, mbona hupigi kura? Au umeridhika waendelee kutawala kiharamu?Miaka yote tunajua kuwa hakuna usawa na haki kwenye chaguzi na hali hiyo bado imeachwa kuendelea kuwepo na ndio maana sie wengine hatujisumbui kupiga kura,sasa safari hii ndio mnataka uchaguzi urudiwe sababu kulikuwa na kura feki kana kwamba vile hizo chaguzi za nyuma ccm walikuwa wanashinda kihalali.
Lengo la kupiga kura ni haki ya kumchagua kiongozi unaeona kuwa ndiye anafaa,sasa uchaguzi unapokuwa hakuna usawa na haki na kufanya kuwa matokeo yawe yanajulikana kwamba lazima mgombea wa ccm tu ndio awe mshindi wa kiti cha urais, basi kwa hali hiyo maana nzima ya kupiga kura inakuwa haipo.Kama unajua kuwa ccm huwa hawashindi kihalali, mbona hupigi kura? Au umeridhika waendelee kutawala kiharamu?