Mkuu naomba tuheshimiane kabisa tafadhali,naomba usinitafutie BAN humu ndani watu wakakosa walau updates kiduchu kwa namna tunavyopata nafasi humu!
Ndio kura zinapigwa sasa....!!
Huyo mchezaji analijua soja vema kabisa. Mtajutia kumsapoti Malinzi.
Malinzi muhuni tuu hafai kuongoza soka letu...ataliuwa kama alivyouwa ngumi na upromota wake. Tatizo baadhi ya waandishi wa habari uchwara weshakula hela zake wanampigia debe kanjanja mwenzao.
Malinzi chali
Malinzi muhuni tuu hafai
kuongoza soka letu...ataliuwa kama alivyouwa ngumi na upromota wake.
Tatizo baadhi ya waandishi wa habari uchwara weshakula hela zake
wanampigia debe kanjanja mwenzao.
...oyaa mkuu acha masiala bhana,watu tumeutolea macho huu uzi balaaa...Malinzi chali